TANZIA Dar: Ali Mohamed Kibao, kiongozi wa CHADEMA auawa na mwili kutelekezwa Ununio ukiwa umeharibika sana

TANZIA Dar: Ali Mohamed Kibao, kiongozi wa CHADEMA auawa na mwili kutelekezwa Ununio ukiwa umeharibika sana

Mbowe na genge lake walimsema sana Dkt Magufuli ndiye anaagiza waty wafe, walifanya sherehe hahaha, ngoja sasa ngoma inogile. Dkt Magufuli alikuwa mkarimu sana
Magufuli ndio muasisi wa huu uhayawani. Na wanaofanya haya ni wale aliokuwa anawatumia yeye.
 
Sasa roho zao zimefurahi nafsi zao zimeridhika kukuona ukiwa mwili mtupu usio na pumzi,Hujawahi kuwatendea baya lolote,kosa lako ni kuwa mwanachama wa CHADEMA.

Tutakutana tena Mbinguni Kamanda.😭😭😭
 
Raia Samia hajatoa kauli thabiti dhidi ya kundi hili la kigaidi linaloendelea kufanya uhalifu wa kuteka na kuua raia wasio na hatua....

Aidha polisi wameendelea kutoa kauli tata, zilizobeba mizaha, kutojali na zinazoonesha "zero responsibility" kwa Jeshi la Police kinyume kabisa na wajibu wao wa kisheria na kikatiba.......

Kwa niaba ya raia wenzangu, naomba serikali kwa ujumla (Rais Samia Suluhu Hassan) na specific Jeshi la police wajibu maswali haya muhimu ya wananchi:

1. Kazi na jukumu la msingi la Jeshi la Police ni kulinda Usalama wa raia na Mali zao. Kazi yenu polisi pia hutekekezwa kutumia intellejensia ya kunusa uhalifu, kisha kuchunguza, kudhibiti na kukamata wahalifu na kuwafikisha kwenye vyombo vya sheria. Kama hizi ndizo kazi zenu, ni kwanini mauaji haya yanaendelea na ninyi mkiwa mpo kimya tu....?

2. Circumstantial evidence inaonesha wazi kuwa polisi kwa upande wa pili ni nyie mnahusika. Mmeunda genge la utekaji na uuaji wa kuteka na kutesa watu mnaoambiwa na viongozi wenu muwaue. Haina shaka kuwa mnafadhiliwa na wanasiasa vigogo ndani ya CCM na serikalini lengo likiwa ni kulinda madaraka na influence yao ya kisiasa. Polisi mmezikana tuhuma hizi. Mmesema hamhusiki. Kama ndiyo hivi, ni nani wanahusika....?

3. Genge hili la ugaidi linaloendesha shughuli zake mchana kweupe, kila linapomlenga mtu fulani na likimfikia hujitambulisha kuwa ni "police" wakitumia magari ya kifahari sana na wakati mwingine ya Jeshi polisi kwa sura na usajili wa namba zao. Swali muhimu ni hili, kwamba, inakuwaje genge hili la kihalifu linalojitambulisha kama "police" pale linapotenda uhalifu wake mchana kweupe na nyie polisi halisi hamfanyi kuchukua hatua zozote kuwatia mikononi mwenu wauaji hawa...?

4. Serikali (Rais Samia Suluhu Hassan), TANPOL na Waziri wa mapolisi ndugu Masauni, Je mmeshindwa kulinda uhai wa raia? Mnafanya nini kwenye ofisi zetu za umma kama genge hili la ugaidi limewashinda nguvu kiasi cha kujiona lenyewe ndiyo serikali? Kwanini mnadhani mnastahili kuaminika ktk mazingira haya?

##Rais Samia Suluhu Hassan toka mafichoni, acha kuwa chura kiziwi wa Kizimkazi waambie raia kuwa wewe na serikali yako mmeshashindwa kazi, mmeshindwa kutumia vyombo vya ulinzi kutulinda uhai wa watu ili kila mtu achukue hatua binafsi za kujilinda muone kama tutashindwa....!

======================================
UPDATES:


Hatimaye Rais Samia Suluhu Hassan (Chura Kiziwi) kafunguka masikio, amesikia na kutoka huko alikojificha na kutoa kauli.....

Si kauli thabiti kivile, yenye mamlaka na kumaanisha, lakini ingalau kasikia kilio cha umma na kusema neno japo inaonekana Kuna lijamaa limemwandikia tu hii statement, likaweka picha yake na kuitoa mitandaoni👇

Si kauli ya kumaanisha na kuonesha u - serous wa tatizo lililopo kwa sababu TANPOL a.k.a Polisi na Idara ya Usalama wa Taifa (TISS) ndiyo watuhumiwa wa kuhusika na kuendesha genge hili la kigaidi linalo teka na kuua raia bila sababu...

Rais Samia Suluhu Hassan Hassan hayuko serous. Anataka kunufaika kisiasa na damu za watu hawa wanaouwawa....
View attachment 3090590
Alishasema utekaji ni drama.

Sijajua kama anamaanisha alichokosema maana haishi drama
 
Polisi wanavyokaa kimya wanaset negative precedent, matokeo yake wananchi wataanza kujichukulia sheria mkononi kwa mtu yoyote wanayemtilia shaka.

Ukisikiliza scene zote za utekaji unaona tu watu walikuja kiraia wakambeba mtu , huku watu wakibaki wanaangalia.

Mfano huyo waliomteka kwenye basi kama wananchi wangeamua kufunga basi na kusema hakuna kumchukua mtu je hao watekaji 4 wangeweza kumudu kuua watu wote 50+ kwa mkupuo?

Au polisi kutokana na kuchukua failures wengi ndio akili zimedumaa kabisa?
Usichukulie mambo kirahisi wewe ungekuwepo mle ungefanya nini au unaandika tu
 
Inawezekana serikali INAHUJUMIWA....

Iko siku hili litathibitika....

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Nakataa kabisa kwamba serikali inahujumiwa kwa sababu imekua mstari wa mbele kupinga uwepo wa matukio hayo kuanzia Rais Mwenyewe aliyesema ni drama, Speaker kuondosha swala hilo lisijadiliwe na wabunge na kuitenga polisi na kadhia hiyo. Huku viongozi waandamizi wa chama wakitamka maneno yanayoashiria uhusiono wa moja kwa moja na matukio hayo. Wakati huo huo Jeshi la polisi halijamkamata mtuhumiwa yoyote anayehisiwa au aliyehusika kwenye tukkio hata moja la utekaji ama kwa kupanga au kutekekeza moja kwa moja ili tuone kwamna serikali inahujumiwa. Then serikali inayokubali kuhujumiwa kwa damu za watu ni serikali dhaifu kabisa na haipaswi kuwepo kwani itakua imeshidwa kutimiza wajibu wake wa kulinda raia na mali zao. Leo Polisi walikua wanatumia nguvu kuzuia Wakili wa CHADEMA chama alichokua akikitumia marehemu kushiriki katika uchunguzi (postmeterm) wa maiti. Hii inafikirisha na inatoa majibu yenye mashaka kidogo kuwa serikali inahusika.
 
Hata ukianzishwa wewe, mi nipo tayari kuandamana mkuu.

Leo Mzee Ally, kesho hatujui ni zamu ya nani? Inawezekana ni zamu yako au Yangu. Ukiandamana au usipoandamana wakiamua kukuua wanakuua tu kama walivyomuua mzee wetu kikatili.
Shida Legal system ya nchi iko corrupt, unafanyiwa unyama na kesi inaisha kienyeji tu kwa maelekezo. Tuombe tu mwisho mwema
 
Raia Samia hajatoa kauli thabiti dhidi ya kundi hili la kigaidi linaloendelea kufanya uhalifu wa kuteka na kuua raia wasio na hatua....

Aidha polisi wameendelea kutoa kauli tata, zilizobeba mizaha, kutojali na zinazoonesha "zero responsibility" kwa Jeshi la Police kinyume kabisa na wajibu wao wa kisheria na kikatiba.......

Kwa niaba ya raia wenzangu, naomba serikali kwa ujumla (Rais Samia Suluhu Hassan) na specific Jeshi la police wajibu maswali haya muhimu ya wananchi:

1. Kazi na jukumu la msingi la Jeshi la Police ni kulinda Usalama wa raia na Mali zao. Kazi yenu polisi pia hutekekezwa kutumia intellejensia ya kunusa uhalifu, kisha kuchunguza, kudhibiti na kukamata wahalifu na kuwafikisha kwenye vyombo vya sheria. Kama hizi ndizo kazi zenu, ni kwanini mauaji haya yanaendelea na ninyi mkiwa mpo kimya tu....?

2. Circumstantial evidence inaonesha wazi kuwa polisi kwa upande wa pili ni nyie mnahusika. Mmeunda genge la utekaji na uuaji wa kuteka na kutesa watu mnaoambiwa na viongozi wenu muwaue. Haina shaka kuwa mnafadhiliwa na wanasiasa vigogo ndani ya CCM na serikalini lengo likiwa ni kulinda madaraka na influence yao ya kisiasa. Polisi mmezikana tuhuma hizi. Mmesema hamhusiki. Kama ndiyo hivi, ni nani wanahusika....?

3. Genge hili la ugaidi linaloendesha shughuli zake mchana kweupe, kila linapomlenga mtu fulani na likimfikia hujitambulisha kuwa ni "police" wakitumia magari ya kifahari sana na wakati mwingine ya Jeshi polisi kwa sura na usajili wa namba zao. Swali muhimu ni hili, kwamba, inakuwaje genge hili la kihalifu linalojitambulisha kama "police" pale linapotenda uhalifu wake mchana kweupe na nyie polisi halisi hamfanyi kuchukua hatua zozote kuwatia mikononi mwenu wauaji hawa...?

4. Serikali (Rais Samia Suluhu Hassan), TANPOL na Waziri wa mapolisi ndugu Masauni, Je mmeshindwa kulinda uhai wa raia? Mnafanya nini kwenye ofisi zetu za umma kama genge hili la ugaidi limewashinda nguvu kiasi cha kujiona lenyewe ndiyo serikali? Kwanini mnadhani mnastahili kuaminika ktk mazingira haya?

##Rais Samia Suluhu Hassan toka mafichoni, acha kuwa chura kiziwi wa Kizimkazi waambie raia kuwa wewe na serikali yako mmeshashindwa kazi, mmeshindwa kutumia vyombo vya ulinzi kutulinda uhai wa watu ili kila mtu achukue hatua binafsi za kujilinda muone kama tutashindwa....!

======================================
UPDATES:


Hatimaye Rais Samia Suluhu Hassan (Chura Kiziwi) kafunguka masikio, amesikia na kutoka huko alikojificha na kutoa kauli.....

Si kauli thabiti kivile, yenye mamlaka na kumaanisha, lakini ingalau kasikia kilio cha umma na kusema neno japo inaonekana Kuna lijamaa limemwandikia tu hii statement, likaweka picha yake na kuitoa mitandaoni👇

Si kauli ya kumaanisha na kuonesha u - serous wa tatizo lililopo kwa sababu TANPOL a.k.a Polisi na Idara ya Usalama wa Taifa (TISS) ndiyo watuhumiwa wa kuhusika na kuendesha genge hili la kigaidi linalo teka na kuua raia bila sababu...

Rais Samia Suluhu Hassan Hassan hayuko serous. Anataka kunufaika kisiasa na damu za watu hawa wanaouwawa....
View attachment 3090590
Imefika wakati sasa wananchi Wana kila sababu na haki kuchukua hatua mkononi kwa usalama wao na familia zao kwanza kugoma kuchukuliwa na mtu yeyote anayeitwa polisi awe amevaa uniform au hajavaa maana tulipofika huwezi kuwa na imani na jeshi hili la polisi Tanzania.maana kuna wengine wanakuja na uniform na vitambulisho at the end of the day inakujasemekana sio polisi ni mambo ya ajabu sana ndani ya nchi hii.
 
Raia Samia hajatoa kauli thabiti dhidi ya kundi hili la kigaidi linaloendelea kufanya uhalifu wa kuteka na kuua raia wasio na hatua....

Aidha polisi wameendelea kutoa kauli tata, zilizobeba mizaha, kutojali na zinazoonesha "zero responsibility" kwa Jeshi la Police kinyume kabisa na wajibu wao wa kisheria na kikatiba.......

Kwa niaba ya raia wenzangu, naomba serikali kwa ujumla (Rais Samia Suluhu Hassan) na specific Jeshi la police wajibu maswali haya muhimu ya wananchi:

1. Kazi na jukumu la msingi la Jeshi la Police ni kulinda Usalama wa raia na Mali zao. Kazi yenu polisi pia hutekekezwa kutumia intellejensia ya kunusa uhalifu, kisha kuchunguza, kudhibiti na kukamata wahalifu na kuwafikisha kwenye vyombo vya sheria. Kama hizi ndizo kazi zenu, ni kwanini mauaji haya yanaendelea na ninyi mkiwa mpo kimya tu....?

2. Circumstantial evidence inaonesha wazi kuwa polisi kwa upande wa pili ni nyie mnahusika. Mmeunda genge la utekaji na uuaji wa kuteka na kutesa watu mnaoambiwa na viongozi wenu muwaue. Haina shaka kuwa mnafadhiliwa na wanasiasa vigogo ndani ya CCM na serikalini lengo likiwa ni kulinda madaraka na influence yao ya kisiasa. Polisi mmezikana tuhuma hizi. Mmesema hamhusiki. Kama ndiyo hivi, ni nani wanahusika....?

3. Genge hili la ugaidi linaloendesha shughuli zake mchana kweupe, kila linapomlenga mtu fulani na likimfikia hujitambulisha kuwa ni "police" wakitumia magari ya kifahari sana na wakati mwingine ya Jeshi polisi kwa sura na usajili wa namba zao. Swali muhimu ni hili, kwamba, inakuwaje genge hili la kihalifu linalojitambulisha kama "police" pale linapotenda uhalifu wake mchana kweupe na nyie polisi halisi hamfanyi kuchukua hatua zozote kuwatia mikononi mwenu wauaji hawa...?

4. Serikali (Rais Samia Suluhu Hassan), TANPOL na Waziri wa mapolisi ndugu Masauni, Je mmeshindwa kulinda uhai wa raia? Mnafanya nini kwenye ofisi zetu za umma kama genge hili la ugaidi limewashinda nguvu kiasi cha kujiona lenyewe ndiyo serikali? Kwanini mnadhani mnastahili kuaminika ktk mazingira haya?

##Rais Samia Suluhu Hassan toka mafichoni, acha kuwa chura kiziwi wa Kizimkazi waambie raia kuwa wewe na serikali yako mmeshashindwa kazi, mmeshindwa kutumia vyombo vya ulinzi kutulinda uhai wa watu ili kila mtu achukue hatua binafsi za kujilinda muone kama tutashindwa....!

======================================
UPDATES:


Hatimaye Rais Samia Suluhu Hassan (Chura Kiziwi) kafunguka masikio, amesikia na kutoka huko alikojificha na kutoa kauli.....

Si kauli thabiti kivile, yenye mamlaka na kumaanisha, lakini ingalau kasikia kilio cha umma na kusema neno japo inaonekana Kuna lijamaa limemwandikia tu hii statement, likaweka picha yake na kuitoa mitandaoni👇

Si kauli ya kumaanisha na kuonesha u - serous wa tatizo lililopo kwa sababu TANPOL a.k.a Polisi na Idara ya Usalama wa Taifa (TISS) ndiyo watuhumiwa wa kuhusika na kuendesha genge hili la kigaidi linalo teka na kuua raia bila sababu...

Rais Samia Suluhu Hassan Hassan hayuko serous. Anataka kunufaika kisiasa na damu za watu hawa wanaouwawa....
View attachment 3090590
Hili kundi liki chini ya Rais na linalatibiwa na Rais. Akitaka kulifuta na dakika sifuri.
 
Hili kundi liki chini ya Rais na linalatibiwa na Rais. Akitaka kulifuta na dakika sifuri.
Absolutely, Yes...

Hata statement yake ya leo (Kama kweli yeye) haioneshi kuguswa kwa chochote...

Ni usanii tu wa kupooza mambo, baada ya hapo "business as usual"
 
Back
Top Bottom