Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni kweli mama kavaa chupi hilo Galina ubishiLkn you can't see a single hair. Somehow bado kajistiri
Kumbe ndiye yule anaye ota ugaidi kwenye nchi iliyo shwari! Damn you sina mama/bibi/nyanya kiazi miye araa tusitushane hapa wewe zumbukuku!Kuwa na adabu kijana, huyo ni kama Mama au Bibi yako, ni Rais wa nchi pia. Mibangi yako haitakusaidia utapowekwa kizuizini.
Sent from my TECNO KC6 using JamiiForums mobile app
Ni pisi kali lakini ushungi na 'hijab' ni mavazi yanayoficha vigezo ambavyo vijana wanataka wavione halafu wamshukuru 'Allah' kwa kazi nzuri aliyoifanya.Kwani jamani wavaao ushungi sio pisi kali?
Kwa hiyo mwanaume hawezi kuteleza??!!Jana wakati wa uzinduzi jengo la chuo yule waziri wa ulinzi alianguka kwenye red carpet pwaaa ,tulimwambia hii wizara inahitaji mwanaume ....
Ionee aibu nafsi yako mkuu....Ni kweli mama kavaa chupi hilo Galina ubishi
Ngoja itokee mission Kama kagera tuone Kama ataenda na skunaKwa hiyo mwanaume hawezi kuteleza??!!
Kazi ya waziri si kufanya kazi za medani....yeye ni daraja Kati ya JWTZ na serikali.....
Siempre JMT
Mbona magufuli mlishawahi mfananisha na mungu kwahyo mataga ni kawaida yetuUkiwa Rais tu ni zaidi ya mwanajeshi.....
Hushangai mkuu wa Majeshi ya ulinzi haitwi AMIRI JESHI isipokuwa ni rais tu?!!!!
Siempre SSH💪
Hana chembe ya uanajeshi maana yake hana mafunzo wala katika historia yake hakuwahi kuwa mwanajeshi. Ningemuona Kikwete kavaa wala nisingeshaa maana ana historia hiyoNimeisoma na kuielewa..
Wewe si umesema "akiwa hana hata chembe ya uwanajeshi"
Sasa Rais si mwanajeshi by default??..
Sent using Jamii Forums mobile app
Hiyo kufuru sasa.....yaani mtu mmoja aliteleza ulimi usio na mfupa leo iwe fimbo ya kutuchapia sote?!!! 😳😳😳🤣🤣Mbona magufuli mlishawahi mfananisha na mungu kwahyo mataga ni kawaida yetu
Hana chembe ya uanajeshi maana yake hana mafunzo wala katika historia yake hakuwahi kuwa mwanajeshi. Ningemuona Kikwete kavaa wala nisingeshaa maana ana historia hiyo
wala sio kuteleza ulimi tatizo ni njaa zenu za kutaka teuzi ndo zinawafanya mpaka mkufuruHiyo kufuru sasa.....yaani mtu mmoja aliteleza ulimi usio na mfupa leo iwe fimbo ya kutuchapia sote?!!! 😳😳😳🤣🤣
Aliyeteleza ulimi alikuwa ameshateuliwa nafasi kubwa tu....wala sio kuteleza ulimi tatizo ni njaa zenu za kutaka teuzi ndo zinawafanya mpaka mkufuru
Kwani ukishakula ukashiba ndo njaa haitouma tena?Aliyeteleza ulimi alikuwa ameshateuliwa nafasi kubwa tu....
Mbona huweki ya Kagame au Museven
Safi Sana Commander in Chief of our Armed Forces