#COVID19 Dar: Askofu Ruwai’chi aagiza mapadri wote kupata chanjo dhidi ya UVIKO-19

#COVID19 Dar: Askofu Ruwai’chi aagiza mapadri wote kupata chanjo dhidi ya UVIKO-19

Jumbe Brown Yehodaya unaongea ujinga mtupu au ni dalili ya kukurupuka,Askofu amesema mwaka jana 2020 waumini wa RC walimwomba Mwenyezi MUNGU chanjo ipatikane na imepatikana,na hvyo anawashauri mapadre wakachome chanjo-Punguza mihemuko
Hakika......

Hivi mhashamu baba Askofu akiona mapadri wanatembelewa na waumini kuhudumiwa hashtuki juu ya usalama wa afya za mapadri ?!!

Hivi Yehodaya hajui kuwa Mapadri ,Madaktari na Manesi wanakutana na watu wengi?!!

Anataka tusiwalinde watumishi hao kwa njia za CHANJO huku tukiendelea kumuomba Mungu ?!!

Kwani tukichoma chanjo ndio hatuendelei kumuomba Mungu atulinde na UVIKO?!!
 
Ficha ujinga mkuu,sala ya kuombea janga la CORONA iliidhinishwa na TEC na ilikuwa inasaliwa makanisa yote katoliki Tanzania.Sasa ulitaka waje wakusalie na huko msikitini kwako wakati wewe siyo mroma?
Mkuu Yehodaya ni mlokole.....
 
Mimi nilidhani hawa watumishi wa Mungu maisha yao na ulinzi ni kutoka kwa Mungu na hata wakifa wanapata upendeleo wa kukaa mahali pema peponi, Sasa kama wanalazimishwa kuchanjwa Ili kupata uponyaji wa Corona.... Ina maana hawamwamini Mungu ? Kama hawamwami kuwa anaweza kuwaponya hata Corona mimi muumini napata wapi ujasili wa kuamini mahubiri yao kwetu kuhusu Mungu ?....
 
Mimi nilidhani hawa watumishi wa Mungu maisha yao na ulinzi ni kutoka kwa Mungu na hata wakifa wanapata upendeleo wa kukaa mahali pema peponi, Sasa kama wanalazimishwa kuchanjwa Ili kupata uponyaji wa Corona.... Ina maana hawamwamini Mungu ? Kama hawamwami kuwa anaweza kuwaponya hata Corona mimi muumini napata wapi ujasili wa kuamini mahubiri yao kwetu kuhusu Mungu ?....
Wewe umwa alafu usiende hospitali utegemee MUNGU atakuja kukuponyesha hapo kitandani 🤣🤣🤣
 
Ficha ujinga mkuu,sala ya kuombea janga la CORONA iliidhinishwa na TEC na ilikuwa inasaliwa makanisa yote katoliki Tanzania.Sasa ulitaka waje wakusalie na huko msikitini kwako wakati wewe siyo mroma?
Issue Nini waliomba kuwa chanjo ije ? Huu uongo wa kusema ohhh tuliomba Chanjo ije haukubaliki!!!! Askofu muongo
 
Issue Nini waliomba chanjo ije ? Huu uongo wa kusema ohhh tuliomba Chanjo ije haukubaliki!!!! Askofu muongo
Wewe umeshapoteza direction,hujulikani unasimamia nn,sasa hv umebaki kueneza conspiracy Rais anashirikiana na mafisadi,ukiambiwa u-prove unaweza?
 
Wewe umeshapoteza direction,hujulikani unasimamia nn,sasa hv umebaki kueneza conspiracy Rais anashirikiana na mafisadi,ukiambiwa u-prove unaweza?
Jikite kwenye mada Iliyopo ya uongo wa Askofu Yuda Ruwaichi kusema maombi yaliombwa kuomba chanjo ije.Usitutoe nje ya maada ya uongo wa Askofu Yuda Ruwaichi

Wewe ndie unapoteza direction kwenye hii mada
 
Jikite kwenye mada Iliyopo ya uongo wa Askofu Yuda Ruwaichi kusema maombi yaliombwa kuomba chanjo ije.Usitutoe nje ya maada ya uongo wa Askofu Yuda Ruwaichi
The logic behind-Ni kwamba wewe huna credibility,unaishi kwa conspiracy theories.
 
The logic behind-Ni kwamba wewe huna credibility,unaishi kwa conspiracy theories.
Kwenye debate hutakiwi kuhama hoja

Askofu Yuda muongo watanzania wa dini zote ikiwemo Katoliki hatujawahi omba kuwa chanjo ije Ni muongo wa mchana kweupe jua linawaka
 
Wewe umwa alafu usiende hospitali utegemee MUNGU atakuja kukuponyesha hapo kitandani 🤣🤣🤣
Mimi sio Padre wala mchungaji, nikiumwa nina hiali ya kwenda hospitali au la... Silazimishwi!. Hoja yangu inawahusu hao wachungaji wa kiroho ambao wametuhubiri Tangu enzi na enzi... Je waliyotuhubiri tumtegemea Mungu ilikuwa ni ulaghai tu? Kinachoponya ni chanjo au dawa na sio Mungu?
 
Mimi sio Padre wala mchungaji, nikiumwa nina hiali ya kwenda hospitali au la... Silazimishwi!. Hoja yangu inawahusu hao wachungaji wa kiroho ambao wametuhubiri Tangu enzi na enzi... Je waliyotuhubiri tumtegemea Mungu ilikuwa ni ulaghai tu? Kinachoponya ni chanjo au dawa na sio Mungu?
Unapaswa kuelewa MUNGU aliwapa binadamu karama tofauti tofauti kupitia Roho wake Mtakatifu,Madaktari wamepewa karama ya uponyaji-Ni neema ya MUNGU katika kuendeleza uhai miongoni mwa wanadamu.MUNGU anasema tutumie utashi,akili pamoja na maarifa ili tusiangamie na upumbavu.MUNGU hupenda mwanadamu naye ajisaidie kwa njia mbalimbali na awajibike pia kwa mazingira yake.Swali ni je,Kwann tunaambiwa tumtegemee tu MUNGU kwenye magonjwa lakini kwenye CHAKULA tunaambiwa tumwombe MUNGU na tujitume kufanya kazi kwa bidii? Kwann tusijifungie tu ndani na kumwomba MUNGU ili chakula kishuke? Jibu ni kwamba-Maandiko yanasema asiyefanya kazi na asile,hivyo kutokufanya kazi kwa bidii hudhalisha mzizi wa dhambi-kwa sababu uvivu huweza kupelekea wizi na kifo kutokana na njaa.Rais wetu mpendwa aliyemtegemea MUNGU pasipo kuwajibika kibinafsi kwa mazingira yake leo yukwapi? TB Joshua aliyewaaminisha watu mambo ya uwongo kuhusiana na CORONA yukwapi? Penye Sala,juhudi na uwajibikaji MUNGU huonekana.
 
Mungu yupi maana sayansi haiamini masuala ya Mungu inaeleza mambo pasina kumuhusisha Mungu?
Ukiangalia kwa umakini nime-quote argument tu, hakuna nilichoandika japo hiyo argument kwa kutumia commonsense inaonekana iko reasonable.
NB: I don't believe in myth, hivyo hizo issues za ni Mungu yupi it's for you believers.
 
Ukiangalia kwa umakini nime-quote argument tu, hakuna nilichoandika japo hiyo argument kwa kutumia commonsense inaonekana iko reasonable.
NB: I don't believe in myth, hivyo hizo issues za ni Mungu yupi it's for you believers.
Sampuli ya wachungaji kama wakina Gwajima ni matapeli tu,mbona hawawaambii wafuasi wao wasifanye kazi wajifungie ndani wasali maana MUNGU atawaletea chakula?? Gwajima anajua MUNGU hatendi kazi kwa mtu pasipo uwajibikaji, na waumini wake wasipowajibika hatopata sadaka anazozitegemea.
 
  • Thanks
Reactions: Qwy
Unapaswa kuelewa MUNGU aliwapa binadamu karama tofauti tofauti kupitia Roho wake Mtakatifu,Madaktari wamepewa karama ya uponyaji-Ni neema ya MUNGU katika kuendeleza uhai miongoni mwa wanadamu.MUNGU anasema tutumie utashi,akili pamoja na maarifa ili tusiangamie na upumbavu.MUNGU hupenda mwanadamu naye ajisaidie kwa njia mbalimbali na awajibike pia kwa mazingira yake.Swali ni je,Kwann tunaambiwa tumtegemee tu MUNGU kwenye magonjwa lakini kwenye CHAKULA tunaambiwa tumwombe MUNGU na tujitume kufanya kazi kwa bidii? Kwann tusijifungie tu ndani na kumwomba MUNGU ili chakula kishuke? Jibu ni kwamba-Maandiko yanasema asiyefanya kazi na asile,hivyo kutokufanya kazi kwa bidii hudhalisha mzizi wa dhambi-kwa sababu uvivu huweza kupelekea wizi na kifo kutokana na njaa.Rais wetu mpendwa aliyemtegemea MUNGU pasipo kuwajibika kibinafsi kwa mazingira yake leo yukwapi? TB Joshua aliyewaaminisha watu mambo ya uwongo kuhusiana na CORONA yukwapi? Penye Sala,juhudi na uwajibikaji MUNGU huonekana.
Naona umeamua kuhubiri kabisa!. haya uliyoandika ndio tunayoyasikia kila uchwao huko makanisani,barabarani na kwenye vituo vya mabasi. Kama karama na vipawa vimetolewa kwa watu, Hao mapadre na makanisa yao kazi yao hasa ni nini?... Kukusanya sadaka?.
 
Back
Top Bottom