Mkuu achana na hilo zwazwa.Ila wewe nae ni mjinga, aliyekwambia chanjo hii ya Corona inazuia kupata Corona na kuambukiza wengine ni nani?
Acha uzuzu, huwezi kuamua juu ya mwili wa mtu mwingine, especially watu wazima wenye uwezo wa kupambanua na kufanya maamuzi.