Sasa ndo uanataka mapadre wafate uboya wako ambao hauko guided na wisdom?Kwanini unafikiri napinga chanjo? Wewe kachanje, mimi ni kama waberoya ...kama huwajui nenda kafatilie walipokeaje imani! Sifati ulimwengu kiboya.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa ndo uanataka mapadre wafate uboya wako ambao hauko guided na wisdom?Kwanini unafikiri napinga chanjo? Wewe kachanje, mimi ni kama waberoya ...kama huwajui nenda kafatilie walipokeaje imani! Sifati ulimwengu kiboya.
PhD ya uzinifu na utapeli labda!! Usimfananishe Ruwai'chi na vitu vya kijingahuyo wa mabatini ana PHD ww apo ni LY ..
ma askofu wanaongoza kuwa ingilia watoto wadogo na kuficha watoto....Sioni askofu alosoma apo , anaongea utumbo na ww unaongea mavi
Hiyo wisdom sababu imetoka kwa nani?Sasa ndo uanataka mapadre wafate uboya wako ambao hauko guided na wisdom?
Nimemzungumzia Pope kwa sababu wewe ulikuwa unamwingiza kwenye argument zako za kijinga,argument yoyote ambayo ni unfounded ni ya kijinga.Kwani Papa akisema inabidi nifate? Kasome vizuri katekisimu ili ujue Papa akisema nini unapaswa kufata, sembuse Askofu!
Science and permitted by Godly teachings.Hiyo wisdom sababu imetoka kwa nani?
View attachment 1906131
PICHA: Askofu wa Jimbo Kuu la Dar es Salaam, Mhashamu Yuda Tadheus Ruwai’chi
Askofu wa Jimbo Kuu la Dar es Salaam, Mhashamu Yuda Tadheus Ruwai’chi ameagiza mapadri wote wa jimbo hilo kupata chanjo dhidi ya Uviko 19 kwa kuwa ugonjwa huo unaumiza na kuondoa uhai.
Ametoa agizo hilo leo Jumanne Agosti 24, 2021 katika adhimisho la Misa Takatifu ya kumuombea Padri Paul Haule aliyekuwa Paroko Msaidizi katika Parokia ya Mtakatifu Petro na Mkurugenzi wa Tumaini Media.
Ruwai’chi amesema mwaka 2020 wakati wa awamu ya kwanza ya janga la Uviko-19 watu walimuomba Mungu ajaalie kupatikana kwa chanjo, ambayo sasa imepatikana.
“Tulimuomba Mungu ajaalie kupatikana kwa chanjo sasa imepatikana badala ya kutumika watu wameingia katika malumbano ya kusema haya na yale dhidi ya chanjo,” amesema.
“Tusingojee hadi mambo haya yatutinge, tutumie vizuri fursa alizotupa Mungu kujikinga na kujihami na kwa sababu hiyo, sijui ni mapdri wangapi ambao mmeshachanjwa, lakini leo naomba nitoe agizo, kila padre akachanjwe, kila padre akachanjwe, tusifanye utoto, tusifanye lelemama, hii uviko 19 haina mjomba na shemeji na inatuondolea uhai,” amesema Ruwai’chi
Amesema ni utashi wa Mungu kwa watu wawe hai na kuwa na uhai tele hivyo ni vyema kuujali uhai waliopewa.
“Tujihami na tuendelee kumuomba Mungu, atuhurumie na tujihami na atuondolee hili janga,” amesema Ruwai’chi.
Mwananchi
Mtu akigoma kuchanja atafukuzwa kazi lakini si kufungiwa sakramenti! Kwahiyo hizo hadithi haziwezi kunifanya niamini Vatican ndio utakatifu wenyewe. Tunalijua Kanisa ndio maana pamoja na makandokando yake tumebakia imara.Usiaminishe watu ujinga
The Vatican is taking Pope Francis’ pro-vaccine stance very seriously: Any Vatican employee who refuses to get a coronavirus shot without a valid medical reason risks being fired.
A Feb. 8 decree signed by the governor of the Vatican city-state says that employees who opt out of vaccination without a proven medical reason could be subject to a sanction up to and including “the interruption of the relationship of employment.”
The directive cited the need to protect Vatican employees in the workplace, as well as guidelines issued by Francis’ advisory COVID-19 commission, which said individuals have a moral responsibility to get vaccinated “given that refusing a vaccine can constitute a risk for others.”
![]()
Anti-vax at the Vatican? You might lose your job
ROME (AP) — The Vatican is taking Pope Francis’ pro-vaccine stance very seriously: Any Vatican employee who refuses to get a coronavirus shot without a valid medical reason risks being fired.apnews.com
Naona watu wanakushambulia na matusi juu!Kwanini unafikiri napinga chanjo? Wewe kachanje, mimi ni kama waberoya ...kama huwajui nenda kafatilie walipokeaje imani! Sifati ulimwengu kiboya.
KabisaKanisa katoriki ni taasisi imara na inayoongozwa kwa weledi wa hali juu. Tuliosoma seminary tunafahamu hilo na ndio chombo pekee kilichoonesha msimamo wakati wa vituko vya awamu ya tano. Tuna shida sana kwenye educational program zetu zinatoa half cooked personnel. Haiwezekani na kituko cha dunia watu kuendeshwa na hisia kiasi kile yaani. It is impossible to move a mountain by say '' mountain go" haiwezi kutokea. Itoshe kusoma kongole kwa baba askofu na taasisi yako
Tanzania imejaa ujinga tu, watu wanashindwa kung'amua mambo na kuwa na uelewa wa dunia inapoelekea-CORONA imeanza kuchukuliwa kama pandemic na hvyo haitaisha leo wala kesho,na hvyo nchi nyingi zimeshaanza kuifanya chanjo kama lazima na si hiyari-Hata china na ukomunisti wao-Nchini mwao huingii bila chanjo.Vatican yenyewe imepitisha decree inayowataka wafanyakazi wake wachanjwe-mtu asipochanjwa hana kazi.PhD ya uzinifu na utapeli labda!! Usimfananishe Ruwai'chi na vitu vya kijinga
Kuna wakatoliki uchwara humu ndani wanakuja na kumuhusisha pope Francis ili kutetea ujinga,Kiufupi hata Pope francis kapitisha decree-kila mfanyakazi Vatican lazima achanje-usipochanja kazi hakuna.wanasema hakuna hiyari ya mtu kwenye kuambukiza wengineNaunga mkono hoja
Hujaelewa ndugu, hilo ni agizo kwa wafanyakazi wa Vatican haina mahusiano na imani ndio maana hakuna agizo la kiulimwengu.Nimemzungumzia Pope kwa sababu wewe ulikuwa unamwingiza kwenye argument zako za kijinga,argument yoyote ambayo ni unfounded ni ya kijinga.
Nani aliyekuambia kwamba mtu akichanja hawezi kuambukiza wengine?...Kuna wakatoliki uchwara humu ndani wanakuja na kumuhusisha pope Francis ili kutetea ujinga,Kiufupi hata Pope francis kapitisha decree-kila mfanyakazi Vatican lazima achanje-usipochanja kazi hakuna.wanasema hakuna hiyari ya mtu kwenye kuambukiza wengine
Imagine ...[emoji17]Haya sasa mapadre wa Dar, nendeni mkatege mabega mpigwe chanjo...Askofu wenu katoa amri!
Kwa akili yako Mapadre,Makleri siyo watumishi wa kanisa?Hujaelewa ndugu, hilo ni agizo kwa wafanyakazi wa Vatican haina mahusiano na imani ndio maana hakuna agizo la kiulimwengu.
Ndio maana nimesema hotuba za Papa ni ushauri kwa waamini na macleri sio agizo. Tambua nafasi za papa akiwa Vatican.
Bro hakuna agizo la Papa mapadre wachome chanjo ila kuna ushauri. Askofu ametoa agizo! Very Unusual ..Kwa akili yako Mapadre,Makleri siyo watumishi wa kanisa?
Asante kwa upendo ila isiwe agizo.Chanjo ni muhimu. Tukachanjeni,
Science inasema mtu akiwa vaccinated anaweza ambukiza wengine-lakini ili kupunguza risks kwa jamii kiujimla na kuweza ku-contain huu ugonjwa-Ni lazima kuwe na international efforts za kuhakikisha watu wote wanakuwa vaccinated.Science inasema ni lazima tuchanje na pia tuvae barakoa for the mean time ambapo wengine wengi bado hawajachanja hasa wazee.Nani aliyekuambia kwamba mtu akichanja hawezi kuambukiza wengine?...