#COVID19 Dar: Askofu Ruwai’chi aagiza mapadri wote kupata chanjo dhidi ya UVIKO-19

#COVID19 Dar: Askofu Ruwai’chi aagiza mapadri wote kupata chanjo dhidi ya UVIKO-19

Askofu anatoa agizo mapadre wote wachanjwe? Hata Papa hajatoa agizo popote! Kiukweli hilo agizo linastua sana! Seems ukichanja unatamani kila mtu achanje na wala si tu kwa nia njema bali kibinadamu tuna hulka hiyo...
Kwa hiyo kama chanjo ni hiari,inampa mtu hiyari ya kuambukiza wengine? wewe ulichanja polio kwa hiari? Rubbish
 
Askofu anatoa agizo mapadre wote wachanjwe? Hata Papa hajatoa agizo popote! Kiukweli hilo agizo linastua sana! Seems ukichanja unatamani kila mtu achanje na wala si tu kwa nia njema bali kibinadamu tuna hulka hiyo...
Hio kusema waache utoto natumaini baba askofu ameenda mbali mno!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe hujui chochote kuhusu Kanisa katoliki. Toka lini askofu wa jimbo husika akatoa ushauri kwa mapadre wa jimbo lake. Siku zote askofu huwa anatoa 'maagizo' na sio 'ushauri' kwa walio chini yake...
Pole sana sana .... huu ufahamu wa namna hii ndio baadae mkichotwa makanisa ya kitaa mnasema "mimi nilikuwa Mkatoliki kwelikweli" [emoji23][emoji23]
 
Haya sasa mapadre wa Dar, nendeni mkatege mabega mpigwe chanjo...Askofu wenu katoa amri!
 
Askofu anatoa agizo mapadre wote wachanjwe? Hata Papa hajatoa agizo popote! Kiukweli hilo agizo linastua sana! Seems ukichanja unatamani kila mtu achanje na wala si tu kwa nia njema bali kibinadamu tuna hulka hiyo...
Nyinyi ndo papa Francis alikuwa anawazungumzia mnajifungia kwenye kijiji chenu wenyewe mkiamini ujinga.Unapaswa kuelewa kwamba dunia inaelekea kwenye kuifanya chanjo mandatory.Usiaminishe ujinga hapa kwa watu wasiokuwa na uelewa.
 
Good Leadership! Cheupe kiitwe cheupe na cheusi kiwe cheusi. Kama watumishi wa kanisa wanaokutana na waumini wengi ni busara mapadri wachanje ili wajikinge wao wenyewe na waumini wao. Baba Askofu yuko sahihi. Una hiyari ya kuchanja ila huna hiyari ya kuambukiza wengine.
 
Hata Papa angetamka hilo hadharani Wakatoliki wangempinga hadharani! Askofu nae ni vizuri akakumbushwa mipaka yake. Kwanza kuwaambia mapadre waache utoto ni matusi!

Anawatafuta nini mapadre kama si kulazimisha mgogoro sababu tu ya chanjo? Chanjo imelipasua baraza la maaskofu Calfonia, akasome hiyo habari ili aongozwe kwa hekima.
Mtu yeyote anayeamini mawazo ya kijinga ya kupinga chanjo ili aambukize wengine-simple sefinition yake ni mpumbavu-Hapo askofu ametumia tena kauli ya kiungwana sana kuuita utoto-
 
Hata Papa angetamka hilo hadharani Wakatoliki wangempinga hadharani! Askofu nae ni vizuri akakumbushwa mipaka yake. Kwanza kuwaambia mapadre waache utoto ni matusi!

Anawatafuta nini mapadre kama si kulazimisha mgogoro sababu tu ya chanjo? Chanjo imelipasua baraza la maaskofu Calfonia, akasome hiyo habari ili aongozwe kwa hekim

Hata Papa angetamka hilo hadharani Wakatoliki wangempinga hadharani! Askofu nae ni vizuri akakumbushwa mipaka yake. Kwanza kuwaambia mapadre waache utoto ni matusi!

Anawatafuta nini mapadre kama si kulazimisha mgogoro sababu tu ya chanjo? Chanjo imelipasua baraza la maaskofu Calfonia, akasome hiyo habari ili aongozwe kwa hekima.
bro uwe unafuatilia mbona Papa kashazungumza on behalf kuwa watu wachanje kwani chanjo ni salama na ishara ya upendo. I wish you could be informed
Mzee mimi nalala na kuamkia kwenye habari za Kanisa. Tofautisha ushauri na agizo, Papa ameshauri hajatoa agizo! Agizo maana yake ni lazima na Padre ambaye hatochanja maana yake hamtii askofu wake! Akitoka kwa mapadre atatoa agizo kwa waamini wote! Kitu gani hiki?

Wewe hujui chochote kuhusu Kanisa katoliki. Toka lini askofu wa jimbo husika akatoa ushauri kwa mapadre wa jimbo lake. Siku zote askofu huwa anatoa 'maagizo' na sio 'ushauri' kwa walio chini yake.
Na kamwe haiwezi tokea wala haitokaa itokee chini ya jua akatokea 'Padre wa Kanisa katoliki' akampinga 'Askofu wa kanisa katoliki' HADHARANI.
Narudia haijawah tokea na wala haitokaa itokee padre ampinge Askofu wa jimbo lake. Ndivyo ilivyo na itabaki kuwa hivyo. Wamefunzwa nidhamu ya hali ya juu miaka yao yote wakiwa seminari ndogo mpaka seminari kuu.
Migogoro itabaki ndani ya madhehebu madogo madogo au taasisi nyingine lakini si ndani ya Kanisa Katoliki. Askofu Awe amekosea au awe hajakosea itabaki kuwa maoni kwako na kwa wengineo ila kwa Mapdre watatii amri yake na maisha yataendelea. Hutokaa usikie malumbano au mgogoro wa aina yoyote ile kwa kanisa katoliki. Ndo imetoka hiyo. Ni suala la nidhamu. Agizo limetoka na litatekelezwa na Mapadre wote walio chini yake. Malumbano yatabaki kwa kina Gwajima lakini si kwa Kanisa katoliki
Unakunywa bia gani agiza nakuja kulipa. Mapadri wanafundishwa royalty sana kuanzia juu mpaka chini. Kutii maagizo ya Baba askofu kwa mapadri hakuna mjadala. Kanisa katoliki wameshstraaribika kitambo. Nakumbuka Baba Askofu alimwonesha msimamo kayafa bila hofu yoyote licha yakuwa aliogopewa sa
 
Askofu anatoa agizo mapadre wote wachanjwe? Hata Papa hajatoa agizo popote! Kiukweli hilo agizo linastua sana! Seems ukichanja unatamani kila mtu achanje na wala si tu kwa nia njema bali kibinadamu tuna hulka hiyo.

Askofu hili haupo sawa. Mapadre watakupinga waziwazi na kuingiza Kanisa kwenye mgogoro ambao hukuutegemea. Kwanza unawaambia waache "utoto" kweli? Unafikiri kwa nafasi yako ya uaskofu maana yake umezidi mapadre wote akili?

Nimesikiliza hiyo hotuba nikawa very disappointed [emoji20] na Askofu wetu huyu.

Chanjo ni hiari, kama serikali inasema ni hiari wewe kiongozi wa dini unasema lazima? Kesho serikali ikiongoza kwa imla utapinga wewe? Very disappointed [emoji20]
nilichogundua ni kuwa mtu ukisha_chanjwa inakuwa syo akili yako

nina rafika angu kachanja kila kukichi ananilazimisha kuchanja ni kama convincing power wanapata pengine ndo mnyama mwenyew
 
  • Thanks
Reactions: Ame
Good Leadership! Cheupe kiitwe cheupe na cheusi kiwe cheusi. Kama watumishi wa kanisa wanaokutana na waumini wengi ni busara mapadri wachanje ili wajikinge wao wenyewe na waumini wao. Baba Askofu yuko sahihi. Una hiyari ya kuchanja ila huna hiyari ya kuambukiza wengine.
Yes.Yan waumini tumesalishwa sala ya kuombea chanjo ya CORONA kupitia sala iliyoidhinishwa rasmi na TEC ili MUNGU atie mkono,alafu chanjo inapatikana halafu mapadre hawachanji,ni ujinga mtupu.Askofu ametekeleza wajibu wake sahihi mbele za MUNGU.
 
bro uwe unafuatilia mbona Papa kashazungumza on behalf kuwa watu wachanje kwani chanjo ni salama na ishara ya upendo. I wish you could be informed



Unakunywa bia gani agiza nakuja kulipa. Mapadri wanafundishwa royalty sana kuanzia juu mpaka chini. Kutii maagizo ya Baba askofu kwa mapadri hakuna mjadala. Kanisa katoliki wameshstraaribika kitambo. Nakumbuka Baba Askofu alimwonesha msimamo kayafa bila hofu yoyote licha yakuwa aliogopewa sa
Pope Francis aliwazungumzia sana aina hii ya watu wanaopinga chanjo, akiwafananisha na kikundi cha wajinga wachache waliojifungia kwenye dunia yao wanaojiaminisha ujinga.
 
Shule ni muhimu sana kwenye maisha, hapa tunaona tofauti kati ya Askofu aliyeenda shule kuondoa ujinga na yule "Askofu mjinga na tapeli" wa mabatini Ubungo.
huyo wa mabatini ana PHD ww apo ni LY ..

ma askofu wanaongoza kuwa ingilia watoto wadogo na kuficha watoto....Sioni askofu alosoma apo , anaongea utumbo na ww unaongea mavi
 
Nyinyi ndo papa Francis alikuwa anawazungumzia mnajifungia kwenye kijiji chenu wenyewe mkiamini ujinga.Unapaswa kuelewa kwamba dunia inaelekea kwenye kuifanya chanjo mandatory.Usiaminishe ujinga hapa kwa watu wasiokuwa na uelewa.
Kwanini unafikiri napinga chanjo? Wewe kachanje, mimi ni kama waberoya ...kama huwajui nenda kafatilie walipokeaje imani! Sifati ulimwengu kiboya.
 
Hata Papa angetamka hilo hadharani Wakatoliki wangempinga hadharani! Askofu nae ni vizuri akakumbushwa mipaka yake. Kwanza kuwaambia mapadre waache utoto ni matusi!

Anawatafuta nini mapadre kama si kulazimisha mgogoro sababu tu ya chanjo? Chanjo imelipasua baraza la maaskofu Calfonia, akasome hiyo habari ili aongozwe kwa hekima.
Usiaminishe watu ujinga
The Vatican is taking Pope Francis’ pro-vaccine stance very seriously: Any Vatican employee who refuses to get a coronavirus shot without a valid medical reason risks being fired.

A Feb. 8 decree signed by the governor of the Vatican city-state says that employees who opt out of vaccination without a proven medical reason could be subject to a sanction up to and including “the interruption of the relationship of employment.”

The directive cited the need to protect Vatican employees in the workplace, as well as guidelines issued by Francis’ advisory COVID-19 commission, which said individuals have a moral responsibility to get vaccinated “given that refusing a vaccine can constitute a risk for others.”
 
Pope Francis aliwazungumzia sana aina hii ya watu wanaopinga chanjo, akiwafananisha na kikundi cha wajinga wachache waliojifungia kwenye dunia yao wanaojiaminisha ujinga.
Kwani Papa akisema inabidi nifate? Kasome vizuri katekisimu ili ujue Papa akisema nini unapaswa kufata, sembuse Askofu!
 
Back
Top Bottom