Wewe kafiri askofu wako Yupi?Askofu anatoa agizo mapadre wote wachanjwe? Hata Papa hajatoa agizo popote! Kiukweli hilo agizo linastua sana! Seems ukichanja unatamani kila mtu achanje na wala si tu kwa nia njema bali kibinadamu tuna hulka hiyo...
Hiari wewe na mumeo ila ktk himaya yake ametoa agizo.
Sasa tuone atakayenyanyua mdomo.
Kwanza ujue katoliki hawana ujinga kama wenu, hata wakichukia wataupiga kimya na ndivyo walivyofunzwa.