Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa, hongera kwa hilo ila chanjo ni hiari.Tulimwomba Mungu awajalie utashi wanasayansi ili chanjo ipatikane mapema. Tumepata mapema, tena tunaanza kuhoji.
Wana wa Mungu, tumshukuru Mungu kwa kuwa amesikia sala na maombi yetu, tukachanjwe..
Nilichanjwa wiki 3 zilizopita. Nilikiuka masharti kidogo, baada ya kuchanjwa sikusubiri dakika 30 kama wanavyoshauri. Kwa sababu nilikuwa safarini, nilchanjwa na kuingia kwenye gari, nikaendesha umbali wa kilometa 600 kwa masaa 8. Nimeendelea na kazi zangu kama kawaida. Bega kidogo lilinisumbua kwa maumivu siku ya pili na ya tatu. Na siku moja nilisikia homa kidogo, otherwise I am perfect 100%.
Wewe Muumini wa Father Nkwera tuliaAskofu anatoa agizo mapadre wote wachanjwe? Hata Papa hajatoa agizo popote! Kiukweli hilo agizo linastua sana! Seems ukichanja unatamani kila mtu achanje na wala si tu kwa nia njema bali kibinadamu tuna hulka hiyo.
Askofu hili haupo sawa. Mapadre watakupinga waziwazi na kuingiza Kanisa kwenye mgogoro ambao hukuutegemea. Kwanza unawaambia waache "utoto" kweli? Unafikiri kwa nafasi yako ya uaskofu maana yake umezidi mapadre wote akili?
Nimesikiliza hiyo hotuba nikawa very disappointed [emoji20] na Askofu wetu huyu.
Chanjo ni hiari, kama serikali inasema ni hiari wewe kiongozi wa dini unasema lazima? Kesho serikali ikiongoza kwa imla utapinga wewe? Very disappointed [emoji20]
Wewe ambae hujachoma chanjo una uhakika wa kuishi miaka mingapi?wakishapata chanjo unawapa uhakika wa kuishi miaka mingapi ?
aise dunia ina mambo ...
Usibishane na huyo mfuasi wa Kayafa Jiwe,anaendeleza upumbuvu wa Mwendazake.Uko disappointed wewe mwenyewe. Ruwaichi msimamo wake dhidhi ya Corona aliuweka wazi, Mpaka JPM akamnanga Kiaina.. Jamaa alishahimiza sana Tahadhari dhidhi ya covid kitambo.. Huu ni muendelezo
Usilazimishe lisilokuhusu. Hapo anaongea na vijana wake. Yeye.kahamasisha na hajamsema mtu au hajamlazimisha mtu kuchanjwa. Mapadre ni waelewa sio wapenda sifa na ligi kuona Nani mshindi. Neno acha utoto maana yake ni umri ambao binadamu anaupenda sana. Ukiambiwa utoto unakasirika ujana unakasirika, uzee unakasirika, Sasa upo hatua gani mzee baba? Au upo hatua ya Masters katika hatua ya ukuaji.Askofu anatoa agizo mapadre wote wachanjwe? Hata Papa hajatoa agizo popote! Kiukweli hilo agizo linastua sana! Seems ukichanja unatamani kila mtu achanje na wala si tu kwa nia njema bali kibinadamu tuna hulka hiyo.
Askofu hili haupo sawa. Mapadre watakupinga waziwazi na kuingiza Kanisa kwenye mgogoro ambao hukuutegemea. Kwanza unawaambia waache "utoto" kweli? Unafikiri kwa nafasi yako ya uaskofu maana yake umezidi mapadre wote akili?
Nimesikiliza hiyo hotuba nikawa very disappointed [emoji20] na Askofu wetu huyu.
Chanjo ni hiari, kama serikali inasema ni hiari wewe kiongozi wa dini unasema lazima? Kesho serikali ikiongoza kwa imla utapinga wewe? Very disappointed [emoji20]
Now, this is HUGE!View attachment 1906131
PICHA: Askofu wa Jimbo Kuu la Dar es Salaam, Mhashamu Yuda Tadheus Ruwai’chi
Askofu wa Jimbo Kuu la Dar es Salaam, Mhashamu Yuda Tadheus Ruwai’chi ameagiza mapadri wote wa jimbo hilo kupata chanjo dhidi ya Uviko 19 kwa kuwa ugonjwa huo unaumiza na kuondoa uhai.
Ametoa agizo hilo leo Jumanne Agosti 24, 2021 katika adhimisho la Misa Takatifu ya kumuombea Padri Paul Haule aliyekuwa Paroko Msaidizi katika Parokia ya Mtakatifu Petro na Mkurugenzi wa Tumaini Media.
Ruwai’chi amesema mwaka 2020 wakati wa awamu ya kwanza ya janga la Uviko-19 watu walimuomba Mungu ajaalie kupatikana kwa chanjo, ambayo sasa imepatikana.
“Tulimuomba Mungu ajaalie kupatikana kwa chanjo sasa imepatikana badala ya kutumika watu wameingia katika malumbano ya kusema haya na yale dhidi ya chanjo,” amesema.
“Tusingojee hadi mambo haya yatutinge, tutumie vizuri fursa alizotupa Mungu kujikinga na kujihami na kwa sababu hiyo, sijui ni mapdri wangapi ambao mmeshachanjwa, lakini leo naomba nitoe agizo, kila padre akachanjwe, kila padre akachanjwe, tusifanye utoto, tusifanye lelemama, hii uviko 19 haina mjomba na shemeji na inatuondolea uhai,” amesema Ruwai’chi
Amesema ni utashi wa Mungu kwa watu wawe hai na kuwa na uhai tele hivyo ni vyema kuujali uhai waliopewa.
“Tujihami na tuendelee kumuomba Mungu, atuhurumie na tujihami na atuondolee hili janga,” amesema Ruwai’chi.
Mwananchi
Hakika tutawajua kwa matunda yao kama kweli kweli imo ndani yao. Binafsi nimeshangazwa na agizo hili. Lakini sitashangaa sana kutokana na matendo mengine ya nyuma, huu ni mwendelezo tu.Anajua anayemtumikia, naye hanaga hiari bali lazima...neno linasema, ataonekana kama kondoo lakini anaongea kama joka...
katumwa huyoView attachment 1906131
PICHA: Askofu wa Jimbo Kuu la Dar es Salaam, Mhashamu Yuda Tadheus Ruwai’chi
Askofu wa Jimbo Kuu la Dar es Salaam, Mhashamu Yuda Tadheus Ruwai’chi ameagiza mapadri wote wa jimbo hilo kupata chanjo dhidi ya Uviko 19 kwa kuwa ugonjwa huo unaumiza na kuondoa uhai.
Ametoa agizo hilo leo Jumanne Agosti 24, 2021 katika adhimisho la Misa Takatifu ya kumuombea Padri Paul Haule aliyekuwa Paroko Msaidizi katika Parokia ya Mtakatifu Petro na Mkurugenzi wa Tumaini Media.
Ruwai’chi amesema mwaka 2020 wakati wa awamu ya kwanza ya janga la Uviko-19 watu walimuomba Mungu ajaalie kupatikana kwa chanjo, ambayo sasa imepatikana.
“Tulimuomba Mungu ajaalie kupatikana kwa chanjo sasa imepatikana badala ya kutumika watu wameingia katika malumbano ya kusema haya na yale dhidi ya chanjo,” amesema.
“Tusingojee hadi mambo haya yatutinge, tutumie vizuri fursa alizotupa Mungu kujikinga na kujihami na kwa sababu hiyo, sijui ni mapdri wangapi ambao mmeshachanjwa, lakini leo naomba nitoe agizo, kila padre akachanjwe, kila padre akachanjwe, tusifanye utoto, tusifanye lelemama, hii uviko 19 haina mjomba na shemeji na inatuondolea uhai,” amesema Ruwai’chi
Amesema ni utashi wa Mungu kwa watu wawe hai na kuwa na uhai tele hivyo ni vyema kuujali uhai waliopewa.
“Tujihami na tuendelee kumuomba Mungu, atuhurumie na tujihami na atuondolee hili janga,” amesema Ruwai’chi.
Mwananchi
🤣 🤣 🤣 🤣Mbona mnateseka sana mkisikia watu wanachanjwa? Wewe ni padri? Hili agizo linakuhusu?Usichanganye Ukatoliki na agizo la Askofu labda hujui Ukatoliki ni nini! Hilo ni agizo lake binafsi kwa muono wake.
He is very wrong bora angekaa kimya na wengine tulifikiri ukimya wao una ujumbe au pengine kuna utafiti wanafanya maana nyenzo wanazo.
Mimi binafsi sikubaliani nae! Kwa ufupi hili agizo na namna alivyolitoa kama umesikiliza mapadre watampinga... Mark my word.
ndio maana najua muda wowote nasepa ina kutegemea kwamba ukichanjwa ndio umekata tiketi ya kuishi huo ni use...nge wa kiwango cha ramiWewe ambae hujachoma chanjo una uhakika wa kuishi miaka mingapi?
Ukisikia kanisa la wasomi, kanisa la kweli ndilo hili sasa. Siyo hivi vibushuti vya kuokoteza vinavyojipachika uaskofu vinavyodanganya watu wakichanjwa watageuzwa ndondocha. Askofu ni kiongozi wa kanisa na ameshuhudi kwa macho yake jinsi mapadri wake waliathirika na UVIKO. Chanjo imekuja anawahimiza kuchanja, kuna ubaya huko ng'ambo kwenu?Askofu anatoa agizo mapadre wote wachanjwe? Hata Papa hajatoa agizo popote! Kiukweli hilo agizo linastua sana! Seems ukichanja unatamani kila mtu achanje na wala si tu kwa nia njema bali kibinadamu tuna hulka hiyo.
Askofu hili haupo sawa. Mapadre watakupinga waziwazi na kuingiza Kanisa kwenye mgogoro ambao hukuutegemea. Kwanza unawaambia waache "utoto" kweli? Unafikiri kwa nafasi yako ya uaskofu maana yake umezidi mapadre wote akili?
Nimesikiliza hiyo hotuba nikawa very disappointed [emoji20] na Askofu wetu huyu.
Chanjo ni hiari, kama serikali inasema ni hiari wewe kiongozi wa dini unasema lazima? Kesho serikali ikiongoza kwa imla utapinga wewe? Very disappointed [emoji20]
Nani alikudanganya ukichoma chanjo ya corona hufi?ndio maana najua muda wowote nasepa ina kutegemea kwamba ukichanjwa ndio umekata tiketi ya kuishi huo ni use...nge wa kiwango cha rami
Mapadre na watumishi wengi wa Kanisa, wapo katika kundi linalohudumia mamia ya watu.Askofu anatoa agizo mapadre wote wachanjwe? Hata Papa hajatoa agizo popote! Kiukweli hilo agizo linastua sana! Seems ukichanja unatamani kila mtu achanje na wala si tu kwa nia njema bali kibinadamu tuna hulka hiyo.
Askofu hili haupo sawa. Mapadre watakupinga waziwazi na kuingiza Kanisa kwenye mgogoro ambao hukuutegemea. Kwanza unawaambia waache "utoto" kweli? Unafikiri kwa nafasi yako ya uaskofu maana yake umezidi mapadre wote akili?
Nimesikiliza hiyo hotuba nikawa very disappointed [emoji20] na Askofu wetu huyu.
Chanjo ni hiari, kama serikali inasema ni hiari wewe kiongozi wa dini unasema lazima? Kesho serikali ikiongoza kwa imla utapinga wewe? Very disappointed [emoji20]
Huyo siyo Gwajiuno mkuu.katumwa huyo
Anaingiliaje hayo maamuzi ya MaPadre?Chanjo ni hiari ya mtu, mbona anataka kuingilia maamuzi ya Mapadre ? Ingekuwa busara angewaomba.
Wewe hujui chochote kuhusu Kanisa katoliki. Toka lini askofu wa jimbo husika akatoa ushauri kwa mapadre wa jimbo lake. Siku zote askofu huwa anatoa 'maagizo' na sio 'ushauri' kwa walio chini yake.Kiunyenyekevu angetoa wito au ushauri mapadre wachanje sio Agizo! HAPANA!
Fuatilia mambo mkuu.Askofu anatoa agizo mapadre wote wachanjwe? Hata Papa hajatoa agizo popote! Kiukweli hilo agizo linastua sana! Seems ukichanja unatamani kila mtu achanje na wala si tu kwa nia njema bali kibinadamu tuna hulka hiyo.
Askofu hili haupo sawa. Mapadre watakupinga waziwazi na kuingiza Kanisa kwenye mgogoro ambao hukuutegemea. Kwanza unawaambia waache "utoto" kweli? Unafikiri kwa nafasi yako ya uaskofu maana yake umezidi mapadre wote akili?
Nimesikiliza hiyo hotuba nikawa very disappointed [emoji20] na Askofu wetu huyu.
Chanjo ni hiari, kama serikali inasema ni hiari wewe kiongozi wa dini unasema lazima? Kesho serikali ikiongoza kwa imla utapinga wewe? Very disappointed [emoji20]