#COVID19 Dar: Askofu Ruwai’chi aagiza mapadri wote kupata chanjo dhidi ya UVIKO-19

#COVID19 Dar: Askofu Ruwai’chi aagiza mapadri wote kupata chanjo dhidi ya UVIKO-19

Hata Papa angetamka hilo hadharani Wakatoliki wangempinga hadharani! Askofu nae ni vizuri akakumbushwa mipaka yake. Kwanza kuwaambia mapadre waache utoto ni matusi!

Anawatafuta nini mapadre kama si kulazimisha mgogoro sababu tu ya chanjo? Chanjo imelipasua baraza la maaskofu Calfonia, akasome hiyo habari ili aongozwe kwa hekima.
 
Kanisa katoriki ni taasisi imara na inayoongozwa kwa weledi wa hali juu. Tuliosoma seminary tunafahamu hilo na ndio chombo pekee kilichoonesha msimamo wakati wa vituko vya awamu ya tano. Tuna shida sana kwenye educational program zetu zinatoa half cooked personnel. Haiwezekani na kituko cha dunia watu kuendeshwa na hisia kiasi kile yaani. It is impossible to move a mountain by say '' mountain go" haiwezi kutokea. Itoshe kusoma kongole kwa baba askofu na taasisi yako
Usichanganye Ukatoliki na agizo la Askofu labda hujui Ukatoliki ni nini! Hilo ni agizo lake binafsi kwa muono wake.

He is very wrong bora angekaa kimya na wengine tulifikiri ukimya wao una ujumbe au pengine kuna utafiti wanafanya maana nyenzo wanazo.

Mimi binafsi sikubaliani nae! Kwa ufupi hili agizo na namna alivyolitoa kama umesikiliza mapadre watampinga... Mark my word.
 
Hata Papa angetamka hilo hadharani Wakatoliki wangempinga hadharani! Askofu nae ni vizuri akakumbushwa mipaka yake. Kwanza kuwaambia mapadre waache utoto ni matusi!

Anawatafuta nini mapadre kama si kulazimisha mgogoro sababu tu ya chanjo? Chanjo imelipasua baraza la maaskofu Calfonia, akasome hiyo habari ili aongozwe kwa hekima.
Kasema "tuache utoto".
SIO
"Muache utoto"
Angalia tofauti mkuu
 
Kanisa katoriki ni taasisi imara na inayoongozwa kwa weledi wa hali juu. Tuliosoma seminary tunafahamu hilo na ndio chombo pekee kilichoonesha msimamo wakati wa vituko vya awamu ya tano. Tuna shida sana kwenye educational program zetu zinatoa half cooked personnel. Haiwezekani na kituko cha dunia watu kuendeshwa na hisia kiasi kile yaani. It is impossible to move a mountain by say '' mountain go" haiwezi kutokea. Itoshe kusoma kongole kwa baba askofu na taasisi yako
Eti weledi.mapadri wanaongoza kwa kashfa za kuwalawiti watoto na kanisa lipo kimya unasema wanaweledi.sema upo upande wao wala hawana kitu
 
Maneno mazito sana haya toka kwake baba askofu:

Tulimuomba Mungu ajaalie kupatikana kwa chanjo sasa imepatikana badala ya kutumika watu wameingia katika malumbano ya kusema haya na yale dhidi ya chanjo."

“Tusingojee hadi mambo haya yatutinge, tutumie vizuri fursa alizotupa Mungu kujikinga na kujihami na kwa sababu hiyo, sijui ni mapdri wangapi ambao mmeshachanjwa, lakini leo naomba nitoe agizo, kila padre akachanjwe, kila padre akachanjwe, tusifanye utoto, tusifanye lelemama, hii uviko 19 haina mjomba na shemeji na inatuondolea uhai."

Inasikitisha sana kuwa jiwe na genge lake waliomba kufukuza Corona badala kuomba kupatikane chanjo au tiba.

Kama vile haikutosha wakajikita kwenye utoto huku watu wakipukutika.

Abarikiwe sana baba askofu.
 
Chanjo ni hiari ya mtu, mbona anataka kuingilia maamuzi ya Mapadre ? Ingekuwa busara angewaomba.
Mkuu, mbona unataka kununua kesi? Subiri kwanza labda wajitokeze mapadre watakaolalamika, ndio ulete kauli yako hii. Kwa sasa jiangalie wewe maana Ruwa'ichi hajasema lazima wewe ukapate chanjo
 
Askofu anatoa agizo mapadre wote wachanjwe? Hata Papa hajatoa agizo popote! Kiukweli hilo agizo linastua sana! Seems ukichanja unatamani kila mtu achanje na wala si tu kwa nia njema bali kibinadamu tuna hulka hiyo.

Askofu hili haupo sawa. Mapadre watakupinga waziwazi na kuingiza Kanisa kwenye mgogoro ambao hukuutegemea. Kwanza unawaambia waache "utoto" kweli? Unafikiri kwa nafasi yako ya uaskofu maana yake umezidi mapadre wote akili?

Nimesikiliza hiyo hotuba nikawa very disappointed [emoji20] na Askofu wetu huyu.

Chanjo ni hiari, kama serikali inasema ni hiari wewe kiongozi wa dini unasema lazima? Kesho serikali ikiongoza kwa imla utapinga wewe? Very disappointed [emoji20]
Uko disappointed wewe mwenyewe. Ruwaichi msimamo wake dhidhi ya Corona aliuweka wazi, Mpaka JPM akamnanga Kiaina.. Jamaa alishahimiza sana Tahadhari dhidhi ya covid kitambo.. Huu ni muendelezo
 
Eti weledi.mapadri wanaongoza kwa kashfa za kuwalawiti watoto na kanisa lipo kimya unasema wanaweledi.sema upo upande wao wala hawana kitu

Weledi na kulawiti wapi na wapi mkuu. Kama shehe na padre na wachungaji wamelawiti Basi juu Hapo wanapoishi watu wa kawaida wanfanya Mara kumi yake. Fanya tu uchunguzi wako. Sema rahisi kitamkika mashehe wachungaji na mapdre.

Huku ulaya Kuna watu wengi wana Depression sana kwa kuwa wazazi wao waliwatenda utotoni na hawashtaki popote Sema inawatesa sana. And out of 2 wachungaji waliotenda hayo kuna watu wa kawaida 15.
 
Usichanganye Ukatoliki na agizo la Askofu labda hujui Ukatoliki ni nini! Hilo ni agizo lake binafsi kwa muono wake.

He is very wrong bora angekaa kimya na wengine tulifikiri ukimya wao una ujumbe au pengine kuna utafiti wanafanya maana nyenzo wanazo.

Mimi binafsi sikubaliani nae! Kwa ufupi hili agizo na namna alivyolitoa kama umesikiliza mapadre watampinga... Mark my word.
Bro experience ya ant vaccine protest inayo. Kama mtu unafuatilia juzi Papa aliwaasa watu kuwa chanjo ni salama na ishara ya upendo utesema Papa katoa msimamo wake binafsi au amekuwa manipulated na watu wachache. Kugawanyika na kawaida labda kwa watu ambao hawawezi kuvumilia diversities. Kuwaambia surbodinates waache utoto sio tusi labda kwa tafsiri yako. Kwa experience yangu katoriki wanaendeshwa na sheria sio mtu mmoja alichokisema baba askofu ndio msimamo wa kanisa
 
Back
Top Bottom