#COVID19 Dar: Askofu Ruwai’chi aagiza mapadri wote kupata chanjo dhidi ya UVIKO-19

#COVID19 Dar: Askofu Ruwai’chi aagiza mapadri wote kupata chanjo dhidi ya UVIKO-19

Kanisa katoriki ni taasisi imara na inayoongozwa kwa weledi wa hali juu. Tuliosoma seminary tunafahamu hilo na ndio chombo pekee kilichoonesha msimamo wakati wa vituko vya awamu ya tano. Tuna shida sana kwenye educational program zetu zinatoa half cooked personnel. Haiwezekani na kituko cha dunia watu kuendeshwa na hisia kiasi kile yaani. It is impossible to move a mountain by say '' mountain go" haiwezi kutokea. Itoshe kusoma kongole kwa baba askofu na taasisi yako
Hata mwendazake alikua ni product ya seminary za katoliki lakini alicopy thesis ya Phd, kwenye msimamo sawa maana alikataa chanjo za corona kwa kuendeshwa na hisia lakini kwa kipindi kile tuliona wote na hao maaskofu tulicheza alichotaka mwendazake hakuna aliyenyanyua mdomo ila Sasa hivi tune imebadilika tunaona nao wanabadilika maana yake nini
 
Bro hakuna agizo la Papa mapadre wachome chanjo ila kuna ushauri. Askofu ametoa agizo! Very Unusual ..
Unapaswa kuelewa maagizo ya pope huweza kuwa enforced na decrees.Hivyo hivyo,Maaskofu wa Jimbo wamepewa mamlaka ya kutoa maagizo kwendana na maono yao kwa kuzingatia sheria za kanisa-Swali;Unafikiri Askofu Ruwaichi ni foolish na asiyeelewa miongozo ya kanisa kwa alichokisema? Unafikiri mawazo yake yana-lack wisdom hasa ukizingatia jimbo limepoteza mapadre,na watumishi wengine wengi sana katika Jimbo? Unajua kwamba jimbo limekuwa na uhaba mkubwa sana wa mapadre miaka ya hivi karibuni na tatizo limekuwa very catastrophic sana hasa wakati huu wa corona hivyo uenezaji wa injili unakuwa mgumu? Unataka mpaka mapadre na watumishi wengine wa kanisa waishe ndo Askofu azinduke usingizini na ukizingatia upatikanaji wa mapadre ni changamoto dunia ya leo?
 
Hata mwendazake alikua ni product ya seminary za katoliki lakini alicopy thesis ya Phd, kwenye msimamo sawa maana alikataa chanjo za corona kwa kuendeshwa na hisia lakini kwa kipindi kile tuliona wote na hao maaskofu tulicheza alichotaka mwendazake hakuna aliyenyanyua mdomo ila Sasa hivi tune imebadilika tunaona nao wanabadilika maana yake nini
Hapana Mweusi-Huyu askofu Ruwaichi alimpinga sana magufuli kwenye vita ya CORONA.Na kama utakumbuka hadi magufuli akaenda kanisani kumponda Ruwaichi kama mtu asiyekuwa na imani kwa sababu alikuwa anahamasisha waumini na mapadre wavae barakoa ili kujikinga,ingawa mwishoni matokeo tuliyaona.
 
Haya sasa mapadre wa Dar, nendeni mkatege mabega mpigwe chanjo...Askofu wenu katoa amri!
Mapadre wasomi, usomi wao pia unawafanya wachanganue lipi ni jema kwao na lipi ni baya, kuna madaktari speshalisti walioshauri pia.

Achana na akina 'chidi' mkuu, kadunge chanjo!
 
Hata mwendazake alikua ni product ya seminary za katoliki lakini alicopy thesis ya Phd, kwenye msimamo sawa maana alikataa chanjo za corona kwa kuendeshwa na hisia lakini kwa kipindi kile tuliona wote na hao maaskofu tulicheza alichotaka mwendazake hakuna aliyenyanyua mdomo ila Sasa hivi tune imebadilika tunaona nao wanabadilika maana yake nini
Kama huna kumbukumbu pole sana, Askofu Ruwa'ichi alipingana sana na mwendazake kwenye suala la corona.

Rudi maktaba ujiridhishe mkuu.
 
Hujaelewa ndugu, hilo ni agizo kwa wafanyakazi wa Vatican haina mahusiano na imani ndio maana hakuna agizo la kiulimwengu.

Ndio maana nimesema hotuba za Papa ni ushauri kwa waamini na macleri sio agizo. Tambua nafasi za papa akiwa Vatican.
Papa ni Askofu Mkuu wa Rome kama ilivyo Baba askofu mkuu Ruwa'ichi akiwa ni askofu mkuu wa dar es salaam

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hata mwendazake alikua ni product ya seminary za katoliki lakini alicopy thesis ya Phd, kwenye msimamo sawa maana alikataa chanjo za corona kwa kuendeshwa na hisia lakini kwa kipindi kile tuliona wote na hao maaskofu tulicheza alichotaka mwendazake hakuna aliyenyanyua mdomo ila Sasa hivi tune imebadilika tunaona nao wanabadilika maana yake nini
Aakofu Mkuu Ruwaichi tangu mwanzo msimamo wake haujabadilika

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni mapadre wa Jimbo Kuu la Dar es Salaam, hao ndio wapo chini ya mamlaka yake. Ingekuwa ni agizo la TEC hapo ndio ingekuwa mapadre wote nchini
Itakuja kwa majimbo yote kumbuka papa Kaagiza watu wachome chanjo na katoliki wazo la papa huwa linatekelezwa sio kujadiliwa
 
Bibie kitulize basi.

Unataka na wewe uingiliwe?
Jamaa anaongea ujinga sana, Angejua historia ya Mtakatifu Paulo asingeongea huu ujinga-Licha ya Paulo kuwa na historia ya kuua wafuasi wa KRISTU,lakini KRISTU alimchagua yeye ndo aeneze injili yake.YESU mwenyewe alisema mwema mkamilifu ni MUNGU pekee.
 
Chanjo ni hiari ya mtu, mbona anataka kuingilia maamuzi ya Mapadre ? Ingekuwa busara angewaomba.
Ruwaichi amewahi kupata hitilafu ya ubongo hali ilyopelekea kufanyiwa upasuaji wa kichwa Muhimbili. Sina hakika kama afya ya ubongo wake imeshatengemaa.
 
Ruwaichi amewahi kupata hitilafu ya ubongo hali ilyopelekea kufanyiwa upasuaji wa kichwa Muhimbili. Sina hakika kama afya ya ubongo wake imeshatengemaa.
Sasa kama mtu mwenye hitilafu ya ubongo anaweza kuongea jambo sahihi kabisa la kisayansi,Je,itakuwaje kwa mtu kama wewe mwenye akili timamu lakini unaongea upuuzi ambao hata mtoto mdogo hawezi sikiliza? 🤣 🤣
 
Sasa kama mtu mwenye hitilafu ya ubongo anaweza kuongea jambo sahihi kabisa la kisayansi,Je,itakuwaje kwa mtu kama wewe mwenye akili timamu lakini unaongea upuuzi ambao hata mtoto mdogo hawezi sikiliza? 🤣 🤣
Huo usahihi kisayansi umeupima kwa kipimo gani? What is the level of your education!
 
A disgrace to your parents. A kindergarten kid is intellectually better than you.
🤣 🤣 🤣 Sasa na university graduate kama wewe akiwa na mawazo,hoja, maswali,na majibu ya kijinga kuliko mtoto wa kindergarten tunamwiteje?
 
Mtu yeyote anayeamini mawazo ya kijinga ya kupinga chanjo ili aambukize wengine-simple sefinition yake ni mpumbavu-Hapo askofu ametumia tena kauli ya kiungwana sana kuuita utoto-
Ila wewe nae ni mjinga, aliyekwambia chanjo hii ya Corona inazuia kupata Corona na kuambukiza wengine ni nani?
Acha uzuzu, huwezi kuamua juu ya mwili wa mtu mwingine, especially watu wazima wenye uwezo wa kupambanua na kufanya maamuzi.
 
Back
Top Bottom