LGE2024 Dar: BAKWATA yahimiza ushirikiano baada ya uchaguzi

LGE2024 Dar: BAKWATA yahimiza ushirikiano baada ya uchaguzi

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
hawa ndiyo viongozi wa dini sasa, kuhimiza umoja na mshikamano baina ya waTanzania, sio wale makhalakhancha wa akina ruwaichi na kitima, wachochea chuki na migawanyiko kwa waTanzania 🐒
ELIMU ELIMU ELIMU
 
View attachment 3164608

Baraza Kuu la Waislamu Tanzania (BAKWATA) limewataka Watanzania wote kuungana na kushirikiana mara baada ya uchaguzi wa serikali kufanyika kwa amani.

Akizungumza kwa niaba ya Baraza hilo, Katibu Mkuu wa BAKWATA, Alhaji Nuhu Mruma, aliwasihi wananchi kuwapa ushirikiano viongozi waliochaguliwa kwa lengo la kuimarisha maendeleo ya nchi. Amesisitiza kuwa mshikamano wa kitaifa ni nguzo muhimu ya kuleta ustawi wa kijamii, kiuchumi, na kisiasa.

Aidha, Alhaji Mruma aliwakumbusha Watanzania kuheshimu misingi ya amani na upendo miongoni mwao ili kuepusha migawanyiko inayoweza kudhoofisha juhudi za kujenga taifa lenye mshikamano na maendeleo endelevu.

PIA SOMA
- LGE2024 - Dodoma: Katibu wa BAKWATA, Askofu wasema kuna watu hawaitakii mema Tanzania, wanasambaza habari potofu kuhusu uchaguzi
Bakwata = Rubber stamp ya ccm
 
Viongozi wa Bakwata Huwa Wana elimu Gani, kwa sababu Huwa siwaelewi.
Huwa Wana chaguliwa kupitia vigezo Gani?!
Kuna wenye elimu ya kiwango cha PhD kweli?
 
View attachment 3164608

Baraza Kuu la Waislamu Tanzania (BAKWATA) limewataka Watanzania wote kuungana na kushirikiana mara baada ya uchaguzi wa serikali kufanyika kwa amani.

Akizungumza kwa niaba ya Baraza hilo, Katibu Mkuu wa BAKWATA, Alhaji Nuhu Mruma, aliwasihi wananchi kuwapa ushirikiano viongozi waliochaguliwa kwa lengo la kuimarisha maendeleo ya nchi. Amesisitiza kuwa mshikamano wa kitaifa ni nguzo muhimu ya kuleta ustawi wa kijamii, kiuchumi, na kisiasa.

Aidha, Alhaji Mruma aliwakumbusha Watanzania kuheshimu misingi ya amani na upendo miongoni mwao ili kuepusha migawanyiko inayoweza kudhoofisha juhudi za kujenga taifa lenye mshikamano na maendeleo endelevu.

PIA SOMA
- LGE2024 - Dodoma: Katibu wa BAKWATA, Askofu wasema kuna watu hawaitakii mema Tanzania, wanasambaza habari potofu kuhusu uchaguzi
Uchaguzi wa kishenzi, watu wameuliwa, hawa bakwata, wanaona kila kitu nilikuwa poa, kisa, aliyepo ikulu ni islam mwenzao!
Siku hz sipati shida, kujua iliwezekana vipi waafrika kukamatwa, kufungwa minyororo na kupelekwa utumwani, ni akili za, makalio ni kama hz, zisizoona mbali, wanafikiria kwa vile Rais ana dini kama wao, watapata faida,
 
View attachment 3164608

Baraza Kuu la Waislamu Tanzania (BAKWATA) limewataka Watanzania wote kuungana na kushirikiana mara baada ya uchaguzi wa serikali kufanyika kwa amani.

Akizungumza kwa niaba ya Baraza hilo, Katibu Mkuu wa BAKWATA, Alhaji Nuhu Mruma, aliwasihi wananchi kuwapa ushirikiano viongozi waliochaguliwa kwa lengo la kuimarisha maendeleo ya nchi. Amesisitiza kuwa mshikamano wa kitaifa ni nguzo muhimu ya kuleta ustawi wa kijamii, kiuchumi, na kisiasa.

Aidha, Alhaji Mruma aliwakumbusha Watanzania kuheshimu misingi ya amani na upendo miongoni mwao ili kuepusha migawanyiko inayoweza kudhoofisha juhudi za kujenga taifa lenye mshikamano na maendeleo endelevu.

PIA SOMA
- LGE2024 - Dodoma: Katibu wa BAKWATA, Askofu wasema kuna watu hawaitakii mema Tanzania, wanasambaza habari potofu kuhusu uchaguzi
Anaehitaji ushirikiano zaidi ni mwananchi kuliko hata huyo Kiongozi maana Huduma za mwananchi zitamtegemeq Kiongozi wa Serikali.

By the way kwani kulikuwa na haja gani ya kukurupuka kutoa taarifa hii mapema? Hamuini mnazusha tahatuki?

Si ajabu wavaa kubasi Huwa mnaambiwa hamna akili Kwa sababu z kukirupuka 😆😆
 
Anaehitaji ushirikiano zaidi ni mwananchi kuliko hata huyo Kiongozi maana Huduma za mwananchi zitamtegemeq Kiongozi wa Serikali.

By the way kwani kulikuwa na haja gani ya kukurupuka kutoa taarifa hii mapema? Hamuini mnazusha tahatuki?

Si ajabu wavaa kubasi Huwa mnaambiwa hamna akili Kwa sababu z kukirupuka 😆😆
Lengo lao kuzima tamko la askofu ruwaichi wa TEC
 
View attachment 3164608

Baraza Kuu la Waislamu Tanzania (BAKWATA) limewataka Watanzania wote kuungana na kushirikiana mara baada ya uchaguzi wa serikali kufanyika kwa amani.

Akizungumza kwa niaba ya Baraza hilo, Katibu Mkuu wa BAKWATA, Alhaji Nuhu Mruma, aliwasihi wananchi kuwapa ushirikiano viongozi waliochaguliwa kwa lengo la kuimarisha maendeleo ya nchi. Amesisitiza kuwa mshikamano wa kitaifa ni nguzo muhimu ya kuleta ustawi wa kijamii, kiuchumi, na kisiasa.

Aidha, Alhaji Mruma aliwakumbusha Watanzania kuheshimu misingi ya amani na upendo miongoni mwao ili kuepusha migawanyiko inayoweza kudhoofisha juhudi za kujenga taifa lenye mshikamano na maendeleo endelevu.

PIA SOMA
- LGE2024 - Dodoma: Katibu wa BAKWATA, Askofu wasema kuna watu hawaitakii mema Tanzania, wanasambaza habari potofu kuhusu uchaguzi
Bakwata ni jumuia ndani ya CCM yenye jukumu mahsusi la kuwaghilbu Waislamu waiunge mkono CCM.
 
Back
Top Bottom