sure,ELIMU ELIMU ELIMU
Bakwata = Rubber stamp ya ccmView attachment 3164608
Baraza Kuu la Waislamu Tanzania (BAKWATA) limewataka Watanzania wote kuungana na kushirikiana mara baada ya uchaguzi wa serikali kufanyika kwa amani.
Akizungumza kwa niaba ya Baraza hilo, Katibu Mkuu wa BAKWATA, Alhaji Nuhu Mruma, aliwasihi wananchi kuwapa ushirikiano viongozi waliochaguliwa kwa lengo la kuimarisha maendeleo ya nchi. Amesisitiza kuwa mshikamano wa kitaifa ni nguzo muhimu ya kuleta ustawi wa kijamii, kiuchumi, na kisiasa.
Aidha, Alhaji Mruma aliwakumbusha Watanzania kuheshimu misingi ya amani na upendo miongoni mwao ili kuepusha migawanyiko inayoweza kudhoofisha juhudi za kujenga taifa lenye mshikamano na maendeleo endelevu.
PIA SOMA
- LGE2024 - Dodoma: Katibu wa BAKWATA, Askofu wasema kuna watu hawaitakii mema Tanzania, wanasambaza habari potofu kuhusu uchaguzi
nadhan ruawaichi na kitima hawana elimu ya kutosha juu ya siasa, ukilinganisha na bakwata πSio inawezekana wao na wewe unawasapoti wote elimu duni.
Au hamna elimu kabisa.
Uchaguzi wa kishenzi, watu wameuliwa, hawa bakwata, wanaona kila kitu nilikuwa poa, kisa, aliyepo ikulu ni islam mwenzao!View attachment 3164608
Baraza Kuu la Waislamu Tanzania (BAKWATA) limewataka Watanzania wote kuungana na kushirikiana mara baada ya uchaguzi wa serikali kufanyika kwa amani.
Akizungumza kwa niaba ya Baraza hilo, Katibu Mkuu wa BAKWATA, Alhaji Nuhu Mruma, aliwasihi wananchi kuwapa ushirikiano viongozi waliochaguliwa kwa lengo la kuimarisha maendeleo ya nchi. Amesisitiza kuwa mshikamano wa kitaifa ni nguzo muhimu ya kuleta ustawi wa kijamii, kiuchumi, na kisiasa.
Aidha, Alhaji Mruma aliwakumbusha Watanzania kuheshimu misingi ya amani na upendo miongoni mwao ili kuepusha migawanyiko inayoweza kudhoofisha juhudi za kujenga taifa lenye mshikamano na maendeleo endelevu.
PIA SOMA
- LGE2024 - Dodoma: Katibu wa BAKWATA, Askofu wasema kuna watu hawaitakii mema Tanzania, wanasambaza habari potofu kuhusu uchaguzi
Anaehitaji ushirikiano zaidi ni mwananchi kuliko hata huyo Kiongozi maana Huduma za mwananchi zitamtegemeq Kiongozi wa Serikali.View attachment 3164608
Baraza Kuu la Waislamu Tanzania (BAKWATA) limewataka Watanzania wote kuungana na kushirikiana mara baada ya uchaguzi wa serikali kufanyika kwa amani.
Akizungumza kwa niaba ya Baraza hilo, Katibu Mkuu wa BAKWATA, Alhaji Nuhu Mruma, aliwasihi wananchi kuwapa ushirikiano viongozi waliochaguliwa kwa lengo la kuimarisha maendeleo ya nchi. Amesisitiza kuwa mshikamano wa kitaifa ni nguzo muhimu ya kuleta ustawi wa kijamii, kiuchumi, na kisiasa.
Aidha, Alhaji Mruma aliwakumbusha Watanzania kuheshimu misingi ya amani na upendo miongoni mwao ili kuepusha migawanyiko inayoweza kudhoofisha juhudi za kujenga taifa lenye mshikamano na maendeleo endelevu.
PIA SOMA
- LGE2024 - Dodoma: Katibu wa BAKWATA, Askofu wasema kuna watu hawaitakii mema Tanzania, wanasambaza habari potofu kuhusu uchaguzi
Lengo lao kuzima tamko la askofu ruwaichi wa TECAnaehitaji ushirikiano zaidi ni mwananchi kuliko hata huyo Kiongozi maana Huduma za mwananchi zitamtegemeq Kiongozi wa Serikali.
By the way kwani kulikuwa na haja gani ya kukurupuka kutoa taarifa hii mapema? Hamuini mnazusha tahatuki?
Si ajabu wavaa kubasi Huwa mnaambiwa hamna akili Kwa sababu z kukirupuka ππ
Bakwata ni jumuia ndani ya CCM yenye jukumu mahsusi la kuwaghilbu Waislamu waiunge mkono CCM.View attachment 3164608
Baraza Kuu la Waislamu Tanzania (BAKWATA) limewataka Watanzania wote kuungana na kushirikiana mara baada ya uchaguzi wa serikali kufanyika kwa amani.
Akizungumza kwa niaba ya Baraza hilo, Katibu Mkuu wa BAKWATA, Alhaji Nuhu Mruma, aliwasihi wananchi kuwapa ushirikiano viongozi waliochaguliwa kwa lengo la kuimarisha maendeleo ya nchi. Amesisitiza kuwa mshikamano wa kitaifa ni nguzo muhimu ya kuleta ustawi wa kijamii, kiuchumi, na kisiasa.
Aidha, Alhaji Mruma aliwakumbusha Watanzania kuheshimu misingi ya amani na upendo miongoni mwao ili kuepusha migawanyiko inayoweza kudhoofisha juhudi za kujenga taifa lenye mshikamano na maendeleo endelevu.
PIA SOMA
- LGE2024 - Dodoma: Katibu wa BAKWATA, Askofu wasema kuna watu hawaitakii mema Tanzania, wanasambaza habari potofu kuhusu uchaguzi