Dar: Bilioni 44 za Mikopo ya Halmashauri hazijarejeshwa, zimeliwa

Dar: Bilioni 44 za Mikopo ya Halmashauri hazijarejeshwa, zimeliwa

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam , Amos Makalla amesema Jijini humo kwamba , zaidi ya Shilingi Bilioni 44 zilizotolewa na Halmashauri kama mkopo kwa Wanawake , Vijana na Walemavu hazijarejeshwa tangu utaratibu wa kukopesha makundi hayo ulivyoanza hadi sasa .
Haha huku WIZI kule USHOGA, duh ccm Tanza-nia hamuoni haya?? Idugunde
 
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam , Amos Makalla amesema Jijini humo kwamba , zaidi ya Shilingi Bilioni 44 zilizotolewa na Halmashauri kama mkopo kwa Wanawake , Vijana na Walemavu hazijarejeshwa tangu utaratibu wa kukopesha makundi hayo ulivyoanza hadi sasa .

Hebu toeni maoni yenu kwenye hili .

Bali inafahamika kwamba Hela nyingi za mikopo hii ya Halmashauri zinapigwa na viongozi wa Halmashauri pamoja na viongozi wa Wilaya wa ccm , badala ya walengwa .

Kwa mfano , huko Temeke , RC Makalla alibaini shilingi mil 300 kukopeshwa kwa Mwenyekiti wa ccm wa Wilaya hiyo peke yake , na tena alizipiga bila kurejesha , Usanii wa kuiagiza TAKUKURU ichunguze ulifanyika , lakini ripoti ya uchunguzi huo hatukuwahi kusomewa hadi leo .

Mungu ibariki Tanzania ukipenda wewe mwenyewe
Mbona unansitua?
 
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam , Amos Makalla amesema Jijini humo kwamba , zaidi ya Shilingi Bilioni 44 zilizotolewa na Halmashauri kama mkopo kwa Wanawake , Vijana na Walemavu hazijarejeshwa tangu utaratibu wa kukopesha makundi hayo ulivyoanza hadi sasa .

Hebu toeni maoni yenu kwenye hili .

Bali inafahamika kwamba Hela nyingi za mikopo hii ya Halmashauri zinapigwa na viongozi wa Halmashauri pamoja na viongozi wa Wilaya wa ccm , badala ya walengwa .

Kwa mfano , huko Temeke , RC Makalla alibaini shilingi mil 300 kukopeshwa kwa Mwenyekiti wa ccm wa Wilaya hiyo peke yake , na tena alizipiga bila kurejesha , Usanii wa kuiagiza TAKUKURU ichunguze ulifanyika , lakini ripoti ya uchunguzi huo hatukuwahi kusomewa hadi leo .

Mungu ibariki Tanzania ukipenda wewe mwenyewe
Wivu wa nini mkuu wakati waTanzania Wenyewe hawana habari kukalia uoga,fitina na majungu wacha watu wale
 
Nimesoma weee, nimerudia mstari kwa mstari nukta kwa nukta lakini SIJAELEWA
 
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam , Amos Makalla amesema Jijini humo kwamba , zaidi ya Shilingi Bilioni 44 zilizotolewa na Halmashauri kama mkopo kwa Wanawake , Vijana na Walemavu hazijarejeshwa tangu utaratibu wa kukopesha makundi hayo ulivyoanza hadi sasa .

Hebu toeni maoni yenu kwenye hili .

Bali inafahamika kwamba Hela nyingi za mikopo hii ya Halmashauri zinapigwa na viongozi wa Halmashauri pamoja na viongozi wa Wilaya wa ccm , badala ya walengwa .

Kwa mfano , huko Temeke , RC Makalla alibaini shilingi mil 300 kukopeshwa kwa Mwenyekiti wa ccm wa Wilaya hiyo peke yake , na tena alizipiga bila kurejesha , Usanii wa kuiagiza TAKUKURU ichunguze ulifanyika , lakini ripoti ya uchunguzi huo hatukuwahi kusomewa hadi leo .

Mungu ibariki Tanzania ukipenda wewe mwenyewe
Wazilejeshe kutoka wapi, wakati walivunja mabanda yao mtaani.
 
Nimesoma weee, nimerudia mstari kwa mstari nukta kwa nukta lakini SIJAELEWA
DED wa Temeke alitaka kumuuzia mwekezaji Shule ya sekondari Kurasini , halafu shule hiyo ihamishiwe Chanika , sijui umeelewa ?
 
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam , Amos Makalla amesema Jijini humo kwamba , zaidi ya Shilingi Bilioni 44 zilizotolewa na Halmashauri kama mkopo kwa Wanawake , Vijana na Walemavu hazijarejeshwa tangu utaratibu wa kukopesha makundi hayo ulivyoanza hadi sasa .

Hebu toeni maoni yenu kwenye hili .

Bali inafahamika kwamba Hela nyingi za mikopo hii ya Halmashauri zinapigwa na viongozi wa Halmashauri pamoja na viongozi wa Wilaya wa ccm , badala ya walengwa .

Kwa mfano , huko Temeke , RC Makalla alibaini shilingi mil 300 kukopeshwa kwa Mwenyekiti wa ccm wa Wilaya hiyo peke yake , na tena alizipiga bila kurejesha , Usanii wa kuiagiza TAKUKURU ichunguze ulifanyika , lakini ripoti ya uchunguzi huo hatukuwahi kusomewa hadi leo .

Mungu ibariki Tanzania ukipenda wewe mwenyewe
Hawa watu wanatuona sisi ni viazi mbatata kabisa, kuwa kwenye system na kupata dhamana ya kuwa kwenye ofc za umma wanafanya wanavyotaka.

Hivi serious billion 44 zimwagwe dar kwa wanawake na vijana zisilete impact yyte kweli yaani bilion 44..hawapo seriously.

Ni wazi hizo pesa wanajigawia viongozi na wafanyakazi husika kwa kisikizio cha kuwawezesha wanawake na vijana... Shame!

Ushauri wangu
Jamii yetu usibobadilika na kuwachukulia watu wezi na wajanja wajanja km ndio watu wenye akili tunaenda kutumbukia kwenye shimoo kubwaa.. viongozi wa umma mnajidhalilisha mnomno na ni aibu kuiba pesa ya umma ambayo ingewasaidia ndugu zako hospitali na kusomesha watoto wa dada na kaka zako.. uo ni isaliti mkubwaa

Ushauri kwa serikali
Kama kweli mnania ya dhati kuinua wananchi wa chini kwa kutoa hizo pesa pasi badilisheni utaratibu haraka tumieni utaratibu wa makampuni km ASa na mengineyo mbona na wao wanakopesha haohao wamama na pesa zao hazipotei na faida wanapata.

Watumishi wa umma muwe seriously na kazi za umma..
 
Yaani wafanyabiashara tunakamuliwa mpaka mapumbu na hizi halmashauri, halafu ndio zinaenda kuliwa hiviii
Aah nisimuone mkusanya mapato tena kwangu
 
Wewe kima kazi yako kutetea Samia! Pambaneni na hali zenu huyo bibi yenu mwenyewe hajui afanyalo mmebaki kupiga mapambio mara Samia scholarship buku kuna bodi ya mikopo! Ndo yale yale hela za Uvico huku tozo zote kujenga madarasa na vituo bya afya! Stupid stupid!
Kwa hiyo saizi unataka kusingizia hela hizi zimeliwa wakati wa Magufuli ili Samia ionekane hakuna hela iloibiwa! Shutup your mouth!
 
Back
Top Bottom