pye Chang shen
JF-Expert Member
- Jul 11, 2016
- 11,422
- 6,108
Subutuuuuu, yule jamaa ni weka mbali na watoto, ule akuone halafu upone weeeeeUnaambiwa huu mchakato ni tangu kuanza kwa mikopo hiyo , kwani huyo Magu hakuwepo ?
š¤£
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Subutuuuuu, yule jamaa ni weka mbali na watoto, ule akuone halafu upone weeeeeUnaambiwa huu mchakato ni tangu kuanza kwa mikopo hiyo , kwani huyo Magu hakuwepo ?
pesa zinapotea kwakuwa baadhi ya watumishi wa serikali wanaunda vikundi wanavyoviweka kama daraja la kupiga hela,pia kutoa mikopo kwa uchama hapa ndipo panapoleta hasara.Watumishi wa serikali manispaa wahusikao na mikopo waanze kubanwa.Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam Amos Makalla, ameagiza kufuatiliwa kwa marejesho ya mikopo ya Halmashauri inayotolewa kwa wanawake, vijana na watu wenye ulemavu huku ripoti zikionesha tangu mikopo hiyo ianze kutolewa ni bilioni 18 pekee zimerejeshwa huku bilioni 44 zikiwa hazijarejeshwa.
RC Makalla ameyasema hayo leo Septemba 28, 2022, wakati wa kikao chake na Wakuu wa wilaya, Wakurugenzi, Mameya na wadau wa mikopo hiyo ya Halmashauri huku akihimiza fedha hizo kuwafikia wanufaika waliokusudiwa na serikali.
RC Makalla amesema kuwa, tangu mikopo hiyo ianze kutolewa, mkoa huo katika Halmashauri zake zimekwishatoa zaidi ya bilioni 60.
Chanzo: EastAfrica Tv