Dar: Bilioni 44 za Mikopo ya Halmashauri hazijarejeshwa, zimeliwa

pesa zinapotea kwakuwa baadhi ya watumishi wa serikali wanaunda vikundi wanavyoviweka kama daraja la kupiga hela,pia kutoa mikopo kwa uchama hapa ndipo panapoleta hasara.Watumishi wa serikali manispaa wahusikao na mikopo waanze kubanwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…