Dar city cleaning services smartest in East Africa and Central

Dar city cleaning services smartest in East Africa and Central

REDEEMER.

JF-Expert Member
Joined
Feb 22, 2015
Posts
8,925
Reaction score
14,890
IMG_20170917_094859.JPG
Hii company ya Green City nimeitambua uwepo wake nchini zaidi ya miaka mitano sasa wanayo vifaa vya kisasa
IMG_20170917_094836.JPG

ambavyo najua nchi nyingi kama sio zote hapa East Africa and Central hawana huu ni ukweli mchungu
IMG_20170917_094743.JPG


Magari yao yapo very modern and elegant sababu yana capacity kubwa ya ubora ukiongea kuhusu kuanzia kusugua lami kwa brash, kuosha lami kwa maji na sabuni na kuondoa au kuvuta vumbi na michanga yenye dimensions tofauti.
IMG_20170917_094727.JPG


Pia naona wanahusika na umwagiliaji na utunzaji wa miti na bustani za jiji vyema
IMG_20170917_094816.JPG
hili ni swala la kupongezwa na kupigiwa chapuo kwa kweli nataka watu kama hawa wenye vifaa vya kisasa ndio wawe wanapata tenders kwenye Halmashauri za Majiji kwenye swala zima la usafi wa jiji.
IMG_20170917_094616.JPG


Arusha pia nimeona wanalo gari la Halmashauri la aina hii na lipo njema kwenye usuguaji wa lami kisasa zaidi.
IMG_20170917_094711.JPG

IMG_20170917_094600.JPG
IMG_20170917_094800.JPG


Ama kwa hakika mnogo unakolea zaidi pale tunaposhuhudia utimamu wa technology yao pale wanapoukatili uchafu usiku wa manane bila hiyana hivyo kuondoa mnyukano wa foleni za magari kama wangefanya mchana
IMG_20170917_101944.JPG
IMG_20170917_101932.JPG

Mtaa wa pili Nafikiri Habari mmeipata wazee wa mafagio aka wala vumbi.
 

Attachments

  • IMG_20170917_094633.JPG
    IMG_20170917_094633.JPG
    16.1 KB · Views: 56
Usafi Tunaongoza kwa ripoti ya unicef kuhusu technology ya usafi nyie wala vumbi aka wazee wa mafagio hamtuambii kitu. Hahaha
tanzanians huwa you are very petty...sasa hii ni kitu ya kuanzisha thread?😀😀😀ati cleaning services...lol! kisha nishakuambia kwa usafi ni Kigali kwisha...hizi kelele tu...😀😀
 
lemme show you the cleanliness and orderliness of Kigali...utaangusha mkia kati kati ya miguu kisha ukimbie....if that technology makes Dar look like this, then I will respect it but as per now, kelel tu....sote EA tuna mengi ya kujifunza toka kwa kigali including nairobi
kig1.jpg
kig3.jpg
kig4.jpg
kig4.jpg
kig5.jpg
kig8.jpg
kig9.jpg
kig10.jpg
kig11.jpg
kig12.jpg
kig13.jpg
kig14.jpg
kig16.jpg
kig17.jpg
kig20.jpg
 
tanzanians huwa you are very petty...sasa hii ni kitu ya kuanzisha thread?😀😀😀ati cleaning services...lol! kisha nishakuambia kwa usafi ni Kigali kwisha...hizi kelele tu...😀😀
Kuna mkenya mwenzenu alianzisha uzi wa kuhusu vyoo halafu alivyokua fala akaandika
".... Tanzania ipo top ten ya nchi zisizotumia vyoo"

Probably we were shitting in his head for all the damn time
 
tanzanians huwa you are very petty...sasa hii ni kitu ya kuanzisha thread?😀😀😀ati cleaning services...lol! kisha nishakuambia kwa usafi ni Kigali kwisha...hizi kelele tu...😀😀
Hahaha Nairobi wazee wa matoroli na wheelbarrows hivi vitu lazima povu liwatoke endeleeni kusukuma toroli
 
Kuna mkenya mwenzenu alianzisha uzi wa kuhusu vyoo halafu alivyokua fala akaandika
".... Tanzania ipo top ten ya nchi zisizotumia vyoo"

Probably we were shitting in his head for all the damn time
then that was also a petty thread...this guy be coming with petty threads 😀😀...be a little creative...eti cleaning technology...hilarious! kisha anasema the top in East Africa to try and make it a big deal but that doesnt cover the thread's petty nature...
 
Kuna mkenya mwenzenu alianzisha uzi wa kuhusu vyoo halafu alivyokua fala akaandika
".... Tanzania ipo top ten ya nchi zisizotumia vyoo"

Probably we were shitting in his head for all the damn time
Yaani pumba tupu ndo umeandika, heri ungepita tu kimya kimya kijana.😀
 
Hahaha Nairobi wazee wa matoroli na wheelbarrows hivi vitu lazima povu liwatoke endeleeni kusukuma toroli
be creative...tulete picha za usafi huo wa Dar...sio mambo ya tulori twa kufagia barabara...lol!😀😀 which city does not have a cleaning service?? BTW, Kigali probably does not have those lorries but just see what they've done with their city...🙂🙂
 
lemme show you the cleanliness and orderliness of Kigali...utaangusha mkia kati kati ya miguu kisha ukimbie....if that technology makes Dar look like this, then I will respect it but as per now, kelel tu....sote EA tuna mengi ya kujifunza toka kwa kigali including nairobi
kig1.jpg
kig3.jpg
kig4.jpg
kig4.jpg
kig5.jpg
kig8.jpg
kig9.jpg
kig10.jpg
kig11.jpg
kig12.jpg
kig13.jpg
kig14.jpg
kig16.jpg
kig17.jpg
kig20.jpg
Hiyo miti ndio inamea sasaivi sababu hapo naona miti tu kama ni magorofa Dar yapo mara kumi ya Kigali
IMG_20170917_094600.JPG
 

Attachments

  • IMG_20170917_094616.JPG
    IMG_20170917_094616.JPG
    18.6 KB · Views: 46
Hiyo miti ndio inamea sasaivi sababu hapo naona miti tu kama ni magorofa Dar yapo mara kumi ya Kigali View attachment 589984
nani ametaja magorofa?? lol! we jamaa wacha kujiabisha...Kigali is more clean, green and orderly...yes the city is small and hence easier to manage but still we gotta give them credit for that...
 
I swear huyo REDEEMER, ni yule yule MOTOCHINI kwa I.D nyingine! Unaona hata jina aliliandika kwa CAPS? Hehe 😀 Who can second me on that motion?
lol! very true...this guy jus opened a new account with the name MOTOCHINI to be twice as annoying and petty on JF...😀😀tumemtambua tayari...kuna watz mimi nawakubali sana kwa ustaarabu wao wa kujadili mambo ila huyu jamaa...a big no no no
 
I swear huyo REDEEMER, ni yule yule MOTOCHINI kwa I.D nyingine! Unaona hata jina aliliandika kwa CAPS? Hehe Busted!😀😀 Who can second me on that motion?
Hahaha MOTOCHINI njoo tuendelee kuwanyuka hawa walalahoi wa kibera ambao mpaka leo wanaogelea kwenye vumbi naona wanatuheshimu sana mchango wetu.
 
Una hasira?
Having Tz'ian shit instead of a brain what a marvelous offer.
Hahaha ukiona hivyo ujue umempa one ton of slap that made him to feel illusions so you have to smile hahaha
 
Jamaa anaingiaga kama MOTOCHINI na mkono wake wa Kulia afu anachapa kiswahili freshi tu. REDEEMER anaingia na ule mkono haramu afu anachapa ung'eng'e gushi! Sasa hivi amejiita, 'Ladies and Gentlemen what you are about to witness is magic in the making!' Jamaa anajipigia simu afu anarisivu yeye mwenyewe!😀😀😀 Acha nitafute popcorn MK254 Amicus Curiae, njoo hapa kwa dharula.
 
Una hasira?
Having Tz'ian shit instead of a brain what a marvelous offer.
Hahaha ukiona hivyo ujue umempa one ton of slap that made him to feel illusions so you have to smile hahaha
Mnajitekenya afu mnacheka wenyewe? Simtafute room basi, hapa kuna ma under 18. Afu andikeni kwa kiswahili tu hamna haja ya kujipa high blood presha mkilazimisha ung'eng'e!
 
Mnajitekenya afu mnacheka wenyewe? Simtafute room basi, hapa kuna ma under 18. Afu andikeni kwa kiswahili tu hamna haja ya kujipa high blood presha mkilazimisha kizungu!
Kizungu ndio nini we mchuchu kirashia, kipoland, kiitalia, kireno, kijerumani, kifaransa, kihispaniola, au? Sababu hao wote ni wazungu that shows how lowlife you are
 
Back
Top Bottom