Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
SwadaktaKimya kingi kina mshindo......
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
SwadaktaKimya kingi kina mshindo......
Sasa kuna haja gani ya kununua michina mitano kwa mwaka kwa kila mchina 20000 wakati ungejichanga na kuvumilia ungeweza kumiliki simu nzuri itakayodumu zaidi ya miaka hata mitanoMazingira ya kiuchumi kaka ndo yanachangia kupenda cheapest..
Ilasi bado kiongozi.... masaa ya mbele kwenda TDMIlasi imerudi tena????
Acha uongo badilisha hiyo elha kuja bongo alafu ndio utajua yutong moja ni almost milion mia tatu za kibongo sasa hapo tatu zinatokea wapi???Bado sana.Yaani hiyo $ 217,000 napata YUTONG tatu mpya kali kabisa
Hiyo unayozungumzia wewe ni model gani?Mmeshazoea kupigwa tabu yenuAcha uongo badilisha hiyo elha kuja bongo alafu ndio utajua yutong moja ni almost milion mia tatu za kibongo sasa hapo tatu zinatokea wapi???
Nionyeshe mahali ninapo weza pata yutong tatu kwa usd 217000Hiyo unayozungumzia wewe ni model gani?Mmeshazoea kupigwa tabu yenu
Mbona pesa ya madafu sasa? Kaulize bei ya zile dar express mpya au Kilimanjaro express mpya zile...bei ni kuanzia mil 900 per bus.Nimeona hii kitu nikawa nafikiria bila kupata majibu yaani bus moja ni tshs.484milioni!? ASA utapata faida kweli!? Labda kama walikosea hizo figure
Kwa pesa hiyo huwezi pata yutong tatu mkubwaBado sana.Yaani hiyo $ 217,000 napata YUTONG tatu mpya kali kabisa
mzee usizungumze habar ya KE achana nayo Dar coach shughul hamna bod zke za kiboya em angalia tahmeed vyuma alivyoingiza mzeDar coach wanastahili kupongezwa, bodi zao wanatengeneza bora na zenye mwonekano mzuri kuliko zile za kikenya. huwezi amini kama zinatengenezwa hapa bongo. magari yao yanakimbia balaa na ni imara kuliko ya wachina hayo. kwa wale wa mwanza kahama bukoba watakuwa wanazijua kisbo na kina leina.
Tahmeed mpya zimetengenezewa Kenya "Master". Siti zipo comfortable sana, na wana customer care nzuri ajabumzee usizungumze habar ya KE achana nayo Dar coach shughul hamna bod zke za kiboya em angalia tahmeed vyuma alivyoingiza mze
tahmeed coach ndo utamu ulipojificha japo mnasimamaga hotel mbovu liverpool
germilangView attachment 954892Kuna Scania fulani hivi za Route ya Tanga-Dar-Mtwara(na Vive Versa) za mabasi ya Kampuni ya Tashrif,daa wale jamaa ni kiboko,ni hapa Dar au Mombasa? Maana jamaa wametengeneza Body utafikiri Marcopolo au Yutong. Jamaa wako njema sana.
usifananishe scania na mambo ya ajabuMkuu mm si mjuz sana wa haya mambo ila nisikiavyo 300 unapata bas jipya zongtong
Ulasi kachemsha tayariIlasi bado kiongozi.... masaa ya mbele kwenda TDM
Siyo baiskeli uliza magari ya maana.Toa basi ukweli wako?hivi umeshawahi kununua hata baiskeli kwa pesa yako?
hivi kuna engine mpya za scania 113 zinapatikana?Kazi mojawapo ya dar coach.