ipyax JF-Expert Member Joined Nov 1, 2010 Posts 4,247 Reaction score 6,578 Apr 13, 2021 #261 Mchina ameua biashara ya Dar coach.
Basham JF-Expert Member Joined Oct 10, 2014 Posts 743 Reaction score 434 Apr 14, 2021 #262 ipyax said: Mchina ameua biashara ya Dar coach. Click to expand... Ingekua Mchina huyu jamaa anagekua Billionaire saivi ukienda hata 100M anakutengenezea gari lako safii tuu
ipyax said: Mchina ameua biashara ya Dar coach. Click to expand... Ingekua Mchina huyu jamaa anagekua Billionaire saivi ukienda hata 100M anakutengenezea gari lako safii tuu
ze-dudu JF-Expert Member Joined Jul 26, 2014 Posts 17,640 Reaction score 22,748 Apr 14, 2021 #263 jozzeva said: YUTONG 4 sawa na SCANIA moja. Click to expand... Uongo huu
ze-dudu JF-Expert Member Joined Jul 26, 2014 Posts 17,640 Reaction score 22,748 Apr 14, 2021 #264 Msolopagazi said: Duh!! nilikuwa sijui kumbe ukiona mtu ameweka mabasi zaidi ya kumi barabarani inatakiwa kumheshimu aisee..... Click to expand... Mie akiweka basi moja tu namuheshimu kumi mengi ivyo
Msolopagazi said: Duh!! nilikuwa sijui kumbe ukiona mtu ameweka mabasi zaidi ya kumi barabarani inatakiwa kumheshimu aisee..... Click to expand... Mie akiweka basi moja tu namuheshimu kumi mengi ivyo
ipyax JF-Expert Member Joined Nov 1, 2010 Posts 4,247 Reaction score 6,578 Apr 14, 2021 #265 Basham said: Ingekua Mchina huyu jamaa anagekua Billionaire saivi ukienda hata 100M anakutengenezea gari lako safii tuu Click to expand... Kweli kabisa chief,pia serikali ilifaa kuweka incentive za kuwalinda local coach fabricators ili kuikuza hii sector. Basi ya mchina ingekuwa ghali kidogo au bei sawa na Scania ambayo body kimeundwa east Africa.
Basham said: Ingekua Mchina huyu jamaa anagekua Billionaire saivi ukienda hata 100M anakutengenezea gari lako safii tuu Click to expand... Kweli kabisa chief,pia serikali ilifaa kuweka incentive za kuwalinda local coach fabricators ili kuikuza hii sector. Basi ya mchina ingekuwa ghali kidogo au bei sawa na Scania ambayo body kimeundwa east Africa.