Joseverest
JF-Expert Member
- Sep 25, 2013
- 52,812
- 71,392
Sasa mbona utekelezaji hatuuoni? Baadhi ya daladala wananchi hawavai Mask na Kujazana ndio usiseme.. Huko mwendokasini ndio balaa watu wanashonana hasa asubuhi na jioni
Hakuna kiongozi anaejali, Hao LATRA mbona hatuwaoni kwenye vituo vya mabasi, katikati ya vituo na hizo ziara mnazosema ni za kushtukiza ndio zipi, ukaguzi haupo
Hakuna kiongozi anaejali, Hao LATRA mbona hatuwaoni kwenye vituo vya mabasi, katikati ya vituo na hizo ziara mnazosema ni za kushtukiza ndio zipi, ukaguzi haupo