DAR: DART kuondoa tiketi vituo vya Mwendokasi, malipo ya kadi kurejea

Yale mabasi ambayo yaliwekewa guarantee na serikali, mwendeshaji wa sasa alishamalizana na serikali kulipa ule mkopo wa NMB!?
Yale ni mabasi ya mradi...
Mwendeshaji atayatumia huku akiilipa serikali na NMB
 
Wenye daladala wajipange serekali inataka kuingilia kila kitu sas biashara za daldalz zitakuwaje ,embu wafikiriewe jmn Ni Bora mngewapa tu hyo njia watumie siyo kila kitu serekal ifanye
Mwendokasi wana barabara zao maalumu
 

Kwaio umemaind kuona mchongo umeenda kwa muarabu
 
Yale ni mabasi ya mradi...
Mwendeshaji atayatumia huku akiilipa serikali na NMB
Kama mabasi ni ya mradi , nani atakuwa na uchungu nayo!? Maana mwendeshaji anaweza asiyape matunzo ipasavyo, kwani hana hasara nayo. Hii haiwezi kuwa kweli.
 
Hawa waarabu ni mijitu ya hovyo ajabu inapewa tenda kubwa hivi

Tutegemee kifo chw mende
 
Hawa waarabu ni mijitu ya hovyo ajabu inapewa tenda kubwa hivi

Tutegemee kifo chw mende
Kampuni iko pale uae, ila unaweza kuta wamiliki na waendeshaji ni wazungu au hata wahindi, uchumi wa pale umeshikwa na wageni wenyeji wapo wapo tu
 
Wenye daladala wajipange serekali inataka kuingilia kila kitu sas biashara za daldalz zitakuwaje ,embu wafikiriewe jmn Ni Bora mngewapa tu hyo njia watumie siyo kila kitu serekal ifanye
Waende route za pembezoni mwa Jiji, huduma zao ni mbovu mabasi ni machafu, lugha chafu, wanakata muda mrefu vituoni nk. Hata hivyo Wana nafasi ya kuboresha huduma zao, wajifunze kwa wakenya.

Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app
 
Kama mabasi ni ya mradi , nani atakuwa na uchungu nayo!? Maana mwendeshaji anaweza asiyape matunzo ipasavyo, kwani hana hasara nayo. Hii haiwezi kuwa kweli.
Yeye ndiye operator, yakiharibika atashindwa safirisha watu atafukuzwa
 
Wenye daladala wajipange serekali inataka kuingilia kila kitu sas biashara za daldalz zitakuwaje ,embu wafikiriewe jmn Ni Bora mngewapa tu hyo njia watumie siyo kila kitu serekal ifanye
BRT system ipo ili kuondoa mfumo wa hovyo wa madaladala, wajipange kwenda kutoa huduma nje ya mji, jiji la dar es salaam haliitaji tena ma dala dala
 
Hapa sasa safi naipa heko serikali
Siipendi CCM, simkubali aliyepita na tuliyenaye, lakini panapobidi kusifia tunasifia. Kampuni ipo vema nimeifuatilia binafsi.
Kwa hili heko kwa serikali 👏
 
Waarabu wamepewa waendeshe huu mradi??
 
Waanze kwanza na kuwa na kadi janja vinginevyo kule mbagala ndio watapigwa mpaka watajua hawajui, waswahili uswahili mwingi sana ndiomaana biashara zetu hazifanikiwi
 
Hivi serikali ndo imeshindwa kufanya biashara yenyewe kama yenyewe mpaka ipate mzabuni?
 
Alaaaa, lakini naona hao watanzania weupe ndio mahodari kwa michongo🤣
Hao waTz weupe hiyo michongo wanayopiga inafanikishwa na sisi waswahili. Kwa kuwa wanaujua udhaifu wetu. Wengi wao wanafaidika kutokana na kuwakumbatia viongozi wanaokula nao.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…