DAR: DART kuondoa tiketi vituo vya Mwendokasi, malipo ya kadi kurejea

DAR: DART kuondoa tiketi vituo vya Mwendokasi, malipo ya kadi kurejea

Nimepita Moroco ila mfumo utumikao ni Manual, hakuna kadi
 
Wenye daladala wajipange serekali inataka kuingilia kila kitu sas biashara za daldalz zitakuwaje ,embu wafikiriewe jmn Ni Bora mngewapa tu hyo njia watumie siyo kila kitu serekal ifanye
Unajua shida tunayopata watu wa mbagala!?..nenda kkoo saa Tisa alasiri katafute usafiri wa mbagala,watu wa daladala uswahili mwingi,watoe makopo yao barabarani
 
Wekeni kwenye kumbukumbu, miezi sta itaisha na hakuna kitachofanyika, siasa kila kona
Mradi amechukuwa zabuni mwarabu
Mswahili hapendi changamoto anapendaga shortcut
Hongera sana serikali kwa kuwaweka hao waarabu. Na uhakika kutakuwa na ufanisi na pande zote mbili kufaidika Serikali na mwekezaji. Mmatumbi ukimchekeachekea anakupanda hadi mabegani. Emirates hawana upuuz
Muda wa Kulipa Fadhila umefika sasa. Ivi mnafikiri ni jambo Rahisi Rahisi Rangi za Bendera ya Tanzania kuonekana kwenye Jengo kubwa la kibiashara Duniani lililopo Dubai, tena Muda mfupi tu baada ya Chifu Hanganya kutoka huko?
Wenye daladala wajipange serekali inataka kuingilia kila kitu sas biashara za daldalz zitakuwaje ,embu wafikiriewe jmn Ni Bora mngewapa tu hyo njia watumie siyo kila kitu serekal ifanye
Nilisema miezi sita, ila mwaka unaisha huu hakuna lililofanyika,
Siasa kila mahali
 
Huu ni mwaka 2023 . Hao wafame wameishia wapi na card zoa 😂😂😂
 
Back
Top Bottom