Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unajua shida tunayopata watu wa mbagala!?..nenda kkoo saa Tisa alasiri katafute usafiri wa mbagala,watu wa daladala uswahili mwingi,watoe makopo yao barabaraniWenye daladala wajipange serekali inataka kuingilia kila kitu sas biashara za daldalz zitakuwaje ,embu wafikiriewe jmn Ni Bora mngewapa tu hyo njia watumie siyo kila kitu serekal ifanye
Unajua maana ya majaribio?
Wekeni kwenye kumbukumbu, miezi sta itaisha na hakuna kitachofanyika, siasa kila kona
Mradi amechukuwa zabuni mwarabu
Mswahili hapendi changamoto anapendaga shortcut
Hongera sana serikali kwa kuwaweka hao waarabu. Na uhakika kutakuwa na ufanisi na pande zote mbili kufaidika Serikali na mwekezaji. Mmatumbi ukimchekeachekea anakupanda hadi mabegani. Emirates hawana upuuz
Muda wa Kulipa Fadhila umefika sasa. Ivi mnafikiri ni jambo Rahisi Rahisi Rangi za Bendera ya Tanzania kuonekana kwenye Jengo kubwa la kibiashara Duniani lililopo Dubai, tena Muda mfupi tu baada ya Chifu Hanganya kutoka huko?
Nilisema miezi sita, ila mwaka unaisha huu hakuna lililofanyika,Wenye daladala wajipange serekali inataka kuingilia kila kitu sas biashara za daldalz zitakuwaje ,embu wafikiriewe jmn Ni Bora mngewapa tu hyo njia watumie siyo kila kitu serekal ifanye
Ulionq mbali sna kiongoziWekeni kwenye kumbukumbu, miezi sta itaisha na hakuna kitachofanyika, siasa kila kona