Iblis Bin Shetan
JF-Expert Member
- Sep 24, 2018
- 1,824
- 2,445
Watu wa Dar es salam kwa kulalamika hongereeni juzi Hapa mlikuwa mnalalamika mvua Leo hii mnalamika jua ndio Mungu wenu ambae mm rafiki angu kajificha kuogopa lawama zenu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Muda kama huu wanawake wenye matako makubwa huwa wananuka nnya si mchezo!! Jasho huwa linawatoka balaaah
Muda kama huu wanawake wenye matako makubwa huwa wananuka nnya si mchezo!! Jasho huwa linawatoka balaaah
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Sasa sisi wenye vipara ni huruma ukikamuwa uso Kwa vidole kuanzia kichwani kuja usoni unamwaga Bomba la maji hatari,Hapo Sasa ndo unapitisha kitambaa kupiga polishing.Bila hivo vitambaa vote vitalowa uwe unavikamuwa.
Mwanaume hatakiwi kutembea na kitambaa au kujifuta na taulo, baada ya kuoga au kutokwa jasho unajitingisha tu kama afanyavyo Mbwa.Anatakiwa atembee na nini?
kwanza ni urofa kuwa na kipara halafu unatembea kwenye jua.Wenye vipara huwa hawatoki jasho sana
I never saw it coming,, Nimecheka sana yaani na hivi ninayo mijibwa kama ndama halafu nikaipicture hii kauli yako..DaahMwanaume hatakiwi kutembea na kitambaa au kujifuta na taulo, baada ya kuoga au kutokwa jasho unajitingisha tu kama afanyavyo Mbwa.
😎