Dar es Salaam City in Photos

Hebu acheni kujidanganya hapa. Wekeni picha za ukweli. Be real.


Picha hii umeipigaje wakati ilikuwa ni marufuku kupiga picha eneo lolote la Tazara...
 
tatizo nini ndugu kupelekea marufuku hapo tazara?
Sasa hilo swali lako hebu kapitie notes zako za civics form 2 kama ulisoma huko.
Maana ni gumu sana ni sawa na kuuliza eti Lowasa atapitishwa na CC?😛oa
 
 
Nadhani Ndinda kapiga hizi picha kwa kuwa katika hali ya HDR,HDR ni upigaji picha za aina tatu au zaidi kwa pamoja kwa mfano picha ya kwanza inakuwa katikati yaani mwanga wake unakuwa 0 na ingine ya pili inaweza ikawa ina mwanga zaidi au pungufu kwa mfano -2 na ingine ikawa +2,halafu picha zote tatu unazichanganya kwenye photoshop au software za kuchanganya picha kama vile Photomatix,na matokeo yakawa kama hiyo picha inavyoonekana,upigaji huu wa picha hufanywa sana na wapiga picha wa ndani ya majumba,landscapes n.k
 
ishafunguliwa longtime....hivyo uonavyo ndio ilivyo! kuna lounge bar humo weekend kuko poa sana!

Nilipeleka familia last weekend..ni pazuri lakini wanahitaji kuongeza weledi kwenye service. The food is not value for money. na wahudumu bado wanafanya uswahili Swahili tuouzoea huko Sinza na kwingineko. Ila naamini kwa sababu ndo wanaanza labda wataongeza bidii. Ila in all I enjoyed THE experience.
 

kusema kweli tunatazio kubwa sana kwenye customer service nchi hii.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…