Dar es Salaam City in Photos

cha ajabu ni kwamba wapo nje kila siku, sijui hawaoni kule wanakoenda, au hata hawatamani na kwao pawe vile, kazi kweli kweli

Hapa umelonga kaka, mimi nilikuwa NAIROBI juzi tu na niliingiwa na wivu sana. Yaani tuna viongozi maboga kabisa
 
Kama sikosei hawa na quality center ni kitu kimoja
 


Looks njema na ya kupendeza, shuka humo streets sasa, kaaaz kweli kwerii
 
NOJA YA MIPINI INAYONYANYUKA JIJINI DAR ES SALAA, UHURU HEIGHTS 27 FLOORS


 
parking mpya pale amani opposite royal palm movenpick hotel





 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…