Dar es Salaam City in Photos

Dar es Salaam City in Photos

1613639232998.png
 
Huyu mshua anapost mambo ya Nairobi..anatuharibia uzi.aanzishe thread ya Nairobi tafadhali.
 
1642841228375.png

Kuna walio dharau hizi nyumba za matope na paa za makuti, hata waliposikia kuna anaeuza nyumba wasiweze kununua japo uwezo walikuwa nao. Leo hii ardhi ya hapa ni dhahabu a kama ulinunua itawatunza hata vitukuu vyako.

Mabadilikoa katika maisha hayazuiliki.
 
View attachment 2091350
Kuna walio dharau hizi nyumba za matope na paa za makuti, hata waliposikia kuna anaeuza nyumba wasiweze kununua japo uwezo walikuwa nao. Leo hii ardhi ya hapa ni dhahabu a kama ulinunua itawatunza hata vitukuu vyako.

Mabadilikoa katika maisha hayazuiliki.
Mbona kama vile kuna. Mkutano. Sokoni watu husimama namna hiyo? Hatuoni hata kikapu wala mfuko wala wauzaji
 
mnapiga posta tyuuu!! pigeni na kibonde maji huko!! tandika! kwa azizi ally kuleee!! kawe bondeni nyambaf zenu
 
Back
Top Bottom