Dar es Salaam City in Photos

Dar es Salaam City in Photos

ER]FROM MBUDYA ISLAND IN DAR ES SALAAM by ME




11193268_1650981941787787_3639200198284665755_n.jpg





11112446_1650981918454456_4497412012445007799_n.jpg





11175029_1650981908454457_4949190392488626357_n.jpg



11178276_1650981975121117_311929020759833113_n.jpg





11174875_1650981981787783_8588823841271360126_n.jpg





11193282_1650981948454453_5661454314031905274_n.jpg





11182058_1650982008454447_3505673762347508158_n.jpg





22307_1650982005121114_984309294767152102_n.jpg



KIJITONYAMA


11053198_1650981998454448_6889958093276587149_n.jpg
[/CENTER]
 
You can now say The Kigamboni new city is already i the making. A lot of projects are taking off now.

1. AVIC TOWN .
Kigamboni New City | 5000 Houses |2360,000㎡ Area | UC

Dar es Salaam | AVIC Town Amani Beach, Kigamboni New City | 5000 Houses |2360,000㎡ Area | UC - SkyscraperCity
AVIC TOWN within the range of New City of Kigamboni, is 30 kilometres from the Central Business District (CBD) of Dar es Salaam. Currently, the transport to AVIC TOWN is by the Kigamboni Ferry.


The plot is next to Amani Beach. With its beautiful natural scenery and roughly flat terrain, AVIC TOWN is appropriate and suitable for building extra-large residential quarters.


The new city of Kigamboni, with a total area of 64,944,000 ㎡, is located in Temeke District. According to the development information and data statistics, Tanzania government has invested about 7 Billion into planning the new city of Kigamboni to build commercial center, industrial zone, tour center, hospital, international schools and residential zones with complete facilities, making the new city of Kigamboni to be the new prosperous center and place where everyone expects to reside.




e.jpg



Site overview


3.jpg



Further renders.


2-1110x546.jpg



B-Backyard.jpg



Construction Progress.


b.jpg



d.jpg



c.jpg




17189_1615162405366830_8614468914381700055_n.jpg





11008514_1615162382033499_2876569447101032664_n.jpg







11096435_1615162365366834_3924020321017916246_n.jpg







11082470_1615160108700393_1498740143086560113_n.jpg




After a week of hard work, where do you want to go to have a relax?
Someone will choose cinema, someone will choose restaurant, however most of people will choose stay at their own home.
Built a warm and high quality home for you! All the requirement about home will come true. Here, AVIC TOWN, home.
Reserve Now win 1% discount!
Contact us: +255 766189999,+255 763500999
City Sales Office : Plot No.2470/5, SEA VIEW APARTMENT,Seaview Rd,Nr Aga Khan Hospital, Upanga







10320582_1622896101260127_4056054834751737270_n.jpg



kigamboni%2Bpix%2B2.jpg



kigamboni%2B%2B7.jpg



pix%2Bkigamboni%2B3.jpg



Images credit: Michuzi Blog MICHUZI BLOG: CBA YAHIMIZA WATANZANIA KUCHANGAMKIA MIKOPO YA NYUMBA






 
2. DEGE ECO VILLAGE

Wajumbe Bodi ya Wakurugenzi NSSF Watembelea Ujenzi Mradi wa 'Dege ECO Village Kigamboni'


Daily Mitikasi Blog


IMG_0092.jpg





WAJUMBE wa Bodi ya Wakurugenzi wa Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF) wametembelea mradi wa ujenzi wa nyumba za kisasa unaojulikana kwa jina la Dege ECO Village unaojengwa eneo la Kigamboni nje kidogo ya Jiji la Dar es Salaam.

Ujenzi huo wa mji wa kisasa ambao utakuwa na nyumba za kuishi za kisasa za watu wa kipato cha kati unajumuisha ujenzi wa nyumba zaidi ya 7,000 zikiwa na huduma zote za kujamii eneo moja.


Akizungumzia mradi huo mkubwa unaotekelezwa kati ya NSSF kwa ushirikiano na kampuni ya Azimio, Meneja Miradi wa NSSF, Mhandisi John Msemo aliwaeleza wajumbe wa Bodi ya shirika hilo kuwa ujenzi wa makazi hayo ya kisasa kwa wananchi wa kipato cha kati unaendelea vizuri.

Alisema eneo hilo litakuwa na nyumba bora na za kisasa zikiwa na huduma zote za msingi kwa jamii kama maduka, shule, hospitali, masoko, viwanja vya michezi, kituo cha polisi, kituo cha zimamoto, eneo la ujenzi wa majengo ya ibada, majengo ya burudani pamoja na miundombinu ya kisasa ya maji safi na maji taka.

Alisema ujenzi wa mradi huo wa kisasa utakapokamilika utakuwa na uwezo wa kuchukua watu takribani elfu 30 ambao watapata makazi bora na ya kisasa katika eneo hilo la Kigamboni.

Akifafanua zaidi Mhandisi Msemo alisema ujenzi wa nyumba hizo utakuwa na awamu tatu; ambapo awamu ya kwanza itakamilika mwaka 2016 ikiwa na nyumba 2,500, huku awamu ya pili ya ujenzi itakamilika 2017 ikiwa na nyumba bora na za kisasa 2,500. "…Awamu ya tatu tunatarajia ikamilike mwaka 2018 hii itakuwa na nyumba 2,460," alisema Meneja Miradi wa NSSF, Mhandisi Msemo akifafanua zaidi kwa waandishi wa habari juu ya mradi huo.



Wajumbe Bodi ya Wakurugenzi NSSF Watembelea Ujenzi Mradi wa 'Dege ECO Village Kigamboni'


Daily Mitikasi Blog


IMG_0092.jpg





WAJUMBE wa Bodi ya Wakurugenzi wa Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF) wametembelea mradi wa ujenzi wa nyumba za kisasa unaojulikana kwa jina la Dege ECO Village unaojengwa eneo la Kigamboni nje kidogo ya Jiji la Dar es Salaam.

Ujenzi huo wa mji wa kisasa ambao utakuwa na nyumba za kuishi za kisasa za watu wa kipato cha kati unajumuisha ujenzi wa nyumba zaidi ya 7,000 zikiwa na huduma zote za kujamii eneo moja.


Akizungumzia mradi huo mkubwa unaotekelezwa kati ya NSSF kwa ushirikiano na kampuni ya Azimio, Meneja Miradi wa NSSF, Mhandisi John Msemo aliwaeleza wajumbe wa Bodi ya shirika hilo kuwa ujenzi wa makazi hayo ya kisasa kwa wananchi wa kipato cha kati unaendelea vizuri.

Alisema eneo hilo litakuwa na nyumba bora na za kisasa zikiwa na huduma zote za msingi kwa jamii kama maduka, shule, hospitali, masoko, viwanja vya michezi, kituo cha polisi, kituo cha zimamoto, eneo la ujenzi wa majengo ya ibada, majengo ya burudani pamoja na miundombinu ya kisasa ya maji safi na maji taka.

Alisema ujenzi wa mradi huo wa kisasa utakapokamilika utakuwa na uwezo wa kuchukua watu takribani elfu 30 ambao watapata makazi bora na ya kisasa katika eneo hilo la Kigamboni.

Akifafanua zaidi Mhandisi Msemo alisema ujenzi wa nyumba hizo utakuwa na awamu tatu; ambapo awamu ya kwanza itakamilika mwaka 2016 ikiwa na nyumba 2,500, huku awamu ya pili ya ujenzi itakamilika 2017 ikiwa na nyumba bora na za kisasa 2,500. "…Awamu ya tatu tunatarajia ikamilike mwaka 2018 hii itakuwa na nyumba 2,460," alisema Meneja Miradi wa NSSF, Mhandisi Msemo akifafanua zaidi kwa waandishi wa habari juu ya mradi huo.


IMG_9549.jpg







Source: Michuzi Blog MICHUZI BLOG: MRADI WA NYUMBA WA DEGE ECO-VILLAGE WAANZA

Now selling :cheers:




10425882_1606161329603182_6724491786614895548_n.jpg





1904070_1606161349603180_2963910359215571364_n.jpg





10390532_1606161422936506_2133120583771734534_n.jpg



Dege%20april_zpsxgssiyrj.png



Image credit: Google Maps





infrstructer%2Bphoto.jpg
 
Ramada 5 Star Hotel, Kunduchi Dar es Salaam


7071693_5_z.jpg





7071693_2_z.jpg



7071693_3_z.jpg



7071693_4_z.jpg
 
Back
Top Bottom