Dar es Salaam has big CBD than Nairobi but a tiny Nairobi CBD is more organized

Dar es Salaam has big CBD than Nairobi but a tiny Nairobi CBD is more organized

Tanzania nipe jibu,.., weka ni weke.., makazi yenyu drone view.., moja kwa moja kama nilivyo fanya., hadithi zaq vijiweni hatutaki.., na vijisababu pia kando..,

Kibera hiyo hapo kwa hiyo clip pia kwa wapenda Kibera kama Naton na 007.., now leta makazi ya Dar..,
 
Kenya tunaanika wazi.., Tanzania ni zamu yenyu..,
 
Kuna eneo lao Zuri la kutembea kwa miguu sema haijachukua muda limechakaaa kama lilivyokua awali.
Lilikua hivi


View attachment 1845811


Wakali improve likawa hivi. Safi na lina Markings. Fresh.

View attachment 1845812

Sasa hivi [emoji1787] marking zimefutika na ranginya lami imebadilika. Je huu uchafu umetoka wapi? Umeletwa na tope za tairi kutoka barabara za Tope? Au hazifanyiwi usafi na kurushishia ? Watu gani matajiri hawajui kutunza vitu vyao hivi?

View attachment 1845813


View attachment 1845814


Hiki ni gari la Taifa nini huko? Hulikosi [emoji1787].

View attachment 1845817


Kama mna muda angalieni mitaa ya watu wenye adabu zao na mazingira na Utu [emoji41]


Leta vya Dar es salaam., moja kwa moja.., clips za kujibu above clips nimepost za residential different estates and more coming..,
 
Nairobi is well planned with a lot of straight streets, only a few areas need to be replanned. In future as our economy grows, it will be easier to build basic infrastructure and map out street addresses. ATTACH=full]1846149[/ATTACH]
Screenshot_20210708-193259.png

Screenshot_20210708-193356.png

Screenshot_20210708-194325.png
Screenshot_20210708-195709.png

Screenshot_20210708-193933.png


Screenshot_20210708-194701.png


Screenshot_20210708-195617.png
 
Meanwhile pale Dar a very big unplanned urban sprawl. They will have to do a lot of demolitions for them to great it right.
Screenshot_20210708-200014.png
Screenshot_20210708-200138.png
Screenshot_20210708-200319.png


Screenshot_20210708-200319.png
 
Picha za google zinawadanganya saa nyingine. Hapo Vingunguti pamoja na kuchoka kwake ila sasa hivi karibu asilimia 80 kuna barabara za mitaa na taa wameweka za barabarani (hii hata Masaki hakuna).
I will assume hujui Google hutumia satellites to relay data for Google Maps. Kwanza make yourself knowledgeable kisha urudi na points zinaeleweka.
 
Wakiambiwa ukweli hawapendi, kuna mkunya mmoja eti anafananisha Nairobi na Dar kwa ukubwa, utakuta anaweka vipicha vyake vya Kisutu eti ndo analinganisha na Dat [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Zaidi ya nusu ya Nairobi ni pori na mbuga, unataka kushindana na jiji ambalo ni most urbanized [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
I will assume hujui Google hutumia satellites to relay data for Google Maps. Kwanza make yourself knowledgeable kisha urudi na points zinaeleweka.
Nakwambia ninachokiona mtaani sio google maps zinasemaje. Kama kuna ndugu yako huku mwambie aende leo vingunguti kama hatokuta barabara za mitaa na taa za barabarani mitaani. Hilo eneo limebadilika sana kwa sasa.
 
Nakwambia ninachokiona mtaani sio google maps zinasemaje. Kama kuna ndugu yako huku mwambie aende leo vingunguti kama hatokuta barabara za mitaa na taa za barabarani mitaani. Hilo eneo limebadilika sana kwa sasa.
Kwa hivyo Google maps satellites zinadanganya yet it's a 2021 update? 😂😂😂
 
Nakwambia ninachokiona mtaani sio google maps zinasemaje. Kama kuna ndugu yako huku mwambie aende leo vingunguti kama hatokuta barabara za mitaa na taa za barabarani mitaani. Hilo eneo limebadilika sana kwa sasa.
Kwa hivyo Google Maps wanadanganya tu ikija kwenye picha za Dar? Mbona hampendi uhalisia?
 
Nina mashaka kama hapo ni Dar. Jangwani hakupo hivyo wala mkwajuni bondeni pale hakupo hivyo na hayo ndio maeneo ya bondeni yaliyo karibu na mjini.
Hautakuwa mtanzania wa kwanza kukana picha za Dar na najua hautakuwa wa mwisho. Hata kwenye ule uzi nyingine ya Dar vs Nairobi, watanzania wanakana picha za Dar usiku na mchana. Ni vigumu sana kuona mkenya akikana picha za kibera na maeneo mengine ya mabanda kwa sababu sisi tunakubali mapungufu yetu. Ila nyie!!!!
 
Back
Top Bottom