Leta vya Dar es salaam., moja kwa moja.., clips za kujibu above clips nimepost za residential different estates and more coming..,Kuna eneo lao Zuri la kutembea kwa miguu sema haijachukua muda limechakaaa kama lilivyokua awali.
Lilikua hivi
View attachment 1845811
Wakali improve likawa hivi. Safi na lina Markings. Fresh.
View attachment 1845812
Sasa hivi [emoji1787] marking zimefutika na ranginya lami imebadilika. Je huu uchafu umetoka wapi? Umeletwa na tope za tairi kutoka barabara za Tope? Au hazifanyiwi usafi na kurushishia ? Watu gani matajiri hawajui kutunza vitu vyao hivi?
View attachment 1845813
View attachment 1845814
Hiki ni gari la Taifa nini huko? Hulikosi [emoji1787].
View attachment 1845817
Kama mna muda angalieni mitaa ya watu wenye adabu zao na mazingira na Utu [emoji41]
We all know kijitonyama looks like this from the air. Mbona unaficha uhalisia na angles za mipicha?The first two pics are of Kijitonyama View, 11kms from CBD
And the third one is Ubungo, 15ms from CBD
View attachment 1844309View attachment 1844310View attachment 1844311
Hahaha!If u don't understood keep calm bro
Nina mashaka kama hapo ni Dar. Jangwani hakupo hivyo wala mkwajuni bondeni pale hakupo hivyo na hayo ndio maeneo ya bondeni yaliyo karibu na mjini.Dar CBD mwanzo mwisho, rest ni mashambani mjini..
View attachment 1843733
Umechanganya Mwananyamala na Kijitonyama kwenye picha moja.We all know kijitonyama looks like this from the air. Mbona unaficha uhalisia na angles za mipicha?
View attachment 1846363View attachment 1846364View attachment 1846363View attachment 1846364
Mombasa Road ya Dar ndio kitu gani?Mombasa road ya Nairobi vs Mombasa road ya Dar[emoji81][emoji81][emoji706]View attachment 1844346View attachment 1844348
Picha za google zinawadanganya saa nyingine. Hapo Vingunguti pamoja na kuchoka kwake ila sasa hivi karibu asilimia 80 kuna barabara za mitaa na taa wameweka za barabarani (hii hata Masaki hakuna).Meanwhile pale Dar a very big unplanned urban sprawl. They will have to do a lot of demolitions for them to great it right.
View attachment 1846154View attachment 1846155View attachment 1846157
View attachment 1846156
I will assume hujui Google hutumia satellites to relay data for Google Maps. Kwanza make yourself knowledgeable kisha urudi na points zinaeleweka.Picha za google zinawadanganya saa nyingine. Hapo Vingunguti pamoja na kuchoka kwake ila sasa hivi karibu asilimia 80 kuna barabara za mitaa na taa wameweka za barabarani (hii hata Masaki hakuna).
pambaneni na njaa huko masikini wakubwa nyie, kanchi kenyewe chakula ni shidaMko chini yetu. Upende usipende.
Nakwambia ninachokiona mtaani sio google maps zinasemaje. Kama kuna ndugu yako huku mwambie aende leo vingunguti kama hatokuta barabara za mitaa na taa za barabarani mitaani. Hilo eneo limebadilika sana kwa sasa.I will assume hujui Google hutumia satellites to relay data for Google Maps. Kwanza make yourself knowledgeable kisha urudi na points zinaeleweka.
Kwa hivyo Google maps satellites zinadanganya yet it's a 2021 update? πππNakwambia ninachokiona mtaani sio google maps zinasemaje. Kama kuna ndugu yako huku mwambie aende leo vingunguti kama hatokuta barabara za mitaa na taa za barabarani mitaani. Hilo eneo limebadilika sana kwa sasa.
Kwa hivyo Google Maps wanadanganya tu ikija kwenye picha za Dar? Mbona hampendi uhalisia?Nakwambia ninachokiona mtaani sio google maps zinasemaje. Kama kuna ndugu yako huku mwambie aende leo vingunguti kama hatokuta barabara za mitaa na taa za barabarani mitaani. Hilo eneo limebadilika sana kwa sasa.
Kijitonyama huishia wapi kwenye hiyo picha?Umechanganya Mwananyamala na Kijitonyama kwenye picha moja.
Hautakuwa mtanzania wa kwanza kukana picha za Dar na najua hautakuwa wa mwisho. Hata kwenye ule uzi nyingine ya Dar vs Nairobi, watanzania wanakana picha za Dar usiku na mchana. Ni vigumu sana kuona mkenya akikana picha za kibera na maeneo mengine ya mabanda kwa sababu sisi tunakubali mapungufu yetu. Ila nyie!!!!Nina mashaka kama hapo ni Dar. Jangwani hakupo hivyo wala mkwajuni bondeni pale hakupo hivyo na hayo ndio maeneo ya bondeni yaliyo karibu na mjini.