Siku hizi wengi wanagoma 50Duuuh kumbe wafanyakazi wa 35k wapo?? Naombeni connection
Me napata wa 70 kwenda juu
Aiseeee watu wa Singida vyakula vya BarYaani mie Wasambaa Wanyaturu sina hamu [emoji119]nilimtoa mdada Singida hafanyi kazi mie ndo nafanya kazi na mimba yangu ya kuzaa nikaona hapana nikaongea nae ajirekebishe akasema yeye aliambiwa kuna kazi dar ya Bar nauli hana aliposikia nataka mdada kwa shoga yake akaona aje apate kufika dar ila kazi za ndani haitaji basi nikamruhusu nikampa mshahara wa wiki 2 alizokaa tukaagana kiroho safi mpaka leo anakuja kwangu kusalimia akikaa anakuja Dada nimekuja kukuona kapendeza na kaweupe ka kinyaturu na shape MashaAllah mji umemkubali.
akikujibu ni tag 😁 😁Mhm msosi gani mnaletaga nyie bwana 90%ya billz ndani ya nyumba vidume tunawajibika.
Nyie ata luku ikiisha utasikia baba mwenye nyumba yupo safarini bado mnashindwa nunua. Kaeni tuu nyumbani hamna faida yoyote kwenye maofisi...kwanza kutega mabosi tuu na mitako yenu🤣🤣🤣🤣
Ndo watu walivyo20k aisee waoneeni huruma watoto wa watu
Afu wagogo hawapendi shule, wengi mahouse girl mjiniMimi siwezi ila nshashuhudia huku dodoma msichana wa kazi analipwa 20k na 30k,wagogo na wasandawe masikini Hawa watu balaaa
Umlipe hiyo pesa anaondoka kesho yakeBinti unakaa naye bila kumlipa ili iweje wanawake wajanja wajanja sana
Unampa mtu mshahara wa 70 hivi mtu anatoboaje ebu acheni unyonyaji watangayika H.girl mpe kuanzia 150k
Umejuaje?Umlipe hiyo pesa anaondoka kesho yake
Avatar yako nzuri.Sema Hadija kanifurahisha majibu yake...anaonekana Hana nia mbaya
Wengi wao hawajitambui, wakopata pesa wanasepaUmejuaje?
Hana cha nia wala nini hivi miaka 5 humlipi MTU??!! Kwanza alimuambia nakuhifadhia uliona wapi mshahara unahifadhiwa, haya unafikia mpaka unakopeshwa hela ya kula mahitaji na Dada akiba sake bado tu hujaona uwezo huna wa kumlipa ni mbabaifu kamtumikisha miaka 5 kwa uwongo nakuhifadhia ange kuwa muungwana angemwambia mdogo wangu hali yangu kwasasa sio nzuri najua una familia malengo yako hivyo tafuta sehemu nyingine hapo sasa mdada aamue kuishi nae yeye mwenyewe mbona mama yangu alimwambia mdada waloishi nae miaka hali hairuhusu kukulipa binti akachagua kuishi kama familia akapata mchumba baba na mama wakamfanyia bonge la harusi na zawadi na pesa za kuanza maisha wazazi wamekufa lakini mpaka leo anawwshukuru mdada angemwambia tu ukweli akatafuta hata ajira anaenda anarudi jioni kimtindo anamsaidia pia.Nmependa majibu ya mdaiwa-Bi hadija
HAKIKA NI MUUNGWANA SANA,
Nia ya kulipa anayo,Sema Mambo yamebana[emoji106]
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23]Utelezi wa uhakika mwanawane mbona unapatikana tuu cha msingi hela uwe nayo.
Hawa wanaweza kukunyima utelez ukitetereka kidogo tuu. Hapo ndio shida ilipo.
Kuna jamaa kasema kuwa siku hizi malayaz wana offer hadi services za kupikiwa...mambo mazuri soon watakuwa wanatoa kffer ya kubeba mimba. Tuwe na subira
Kujishusha vipi sasa.Mkuu hapo hiyo itakua mathina kugegeda wake wa wili ndani ya nyumba moja bora utangaze ndoa kabisa, otherwise utakua uzinufu na kujishusha mbele ya jamii na mkeo
Hata hiyo 70k ni ndogo sana kutokana na job description mnazowapa, ilitakiwa walipwe kima cha chini ...hamna hamna kwa sababu analala kwako wapewe 150k-200k.Hamna huyo ni vile tu amempata kitambo ila kwa huku mijini hamna anakuja kufanya kazi kwa 35,000 siku hizi.
Uuwiii! Mbona tunakoma siku hizi tena ukiwa na watoto wadogo ndio mtihani yaani kumpata wa kumlipa 70 tu ni kipengele.
Hii ndio roho halisi ya ma boss wa kiafricaUmlipe hiyo pesa anaondoka kesho yake
Nitumie PM basi nina nia njemaYes, mawasiliano yanapatikana.