Uchaguzi 2020 Dar es Salaam imepatwa na nini? Mbona mpo tuli?

Juzi Mgombea ubunge Jimbo la Ubungo kwa Tiketi ya CCM alifanya mkutano na wanaCCM katika Ukumbi wa Banora,Mlimani City.Wafuasi wengi walienda wakitegemea kupewa chochote,waliishia kupewa maji ya Mia tatu.Waliouliza mambo ya mshahara walijibiwa Kama mshahara hautoshi acha kazi waajiriwe wengine.WanaCCM Dar mwaka huu wapo baridiiiiiiiiiiii hamna umateumate.Tusubiri tarehe 28/10
 
watu wa Dar tupo kimya na vichinjio vyetu hatuna shobo!
 
Kwani hukuona ilivyokuwa huko Kawe mshike mshike ulivyokuwa kati ya mmiliki mapepo na huyo bibi? Bibi alipigwa knock out. Huko kwenye majimbo mengine nako walipigwa knock out mapema na hivyo ligi ilishamalizika mapema.
Itakuwa miongoni mwa waliopigwa upofu. Mmiliki mapepo amegeuka kuwa pepo! Huyo sio size ya Halima Mdee. bahati nzuri ni kwamba Kawe hawaishi misukule...
 
Hongereni Dar mmejitambua mmeachana na waongo na matapeli wa siasa ya tundu Lisu na mbowe.
 
Wewe unaishi wapi kwani ni vibe gani unataka ivi umekatisha mitaani huko au upo kwenye mitandao ila ukiotaka kujua dar wapi vizuri subiri Magufuli aje kufanya kampeni dar ndio itakua mjomba wamepita hao watu wa blablaa na hatukustuka wala nn tupate kanda ndugu uone mambo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…