Ushamba ni kuonyesha vitu kama hivi na kusema ni vya maana sana. Kila mtu anajuwa ukiwa na hela utapata kila kitu, hivi ni vitu vya kawaida, hata Dubai (desert country) wana large indoor ski slop.Sielewe kawaida kwako inamaana gani basi niambie wapi tropical Afrika umesikia kuna ice rink? Niambie kama huko Dar es salaam kuna mahali panchezwa ice hockey, ice skiing nk? Ukinionyesha basi ntakubali kuwa mi ni mshamba hakika. Usipo basi wewe uwe mshamba!!!
Panari Hotel Nairobi
Haya kazi kwako!!
Ooh! Nimekualewa lakini haikuwa haja we kusema hivyo, maana mimi sikutaja kama ni vya maana, lakini nilitaja kama vitu vinavyofanya Nairobi iwe league yake! Na tena kuwa na ice rink in the tropics sio jambo la kawaida sababu huwezi pata sehemu nyingine kama sio Nairobi. Sehemu nyingine na ambayo si tropics in Durban SA and Pretoria SA, tosha. Sasa hilo huwezi sema ni kitu cha kawaida! Lakini ni sawa nakuelewa.Ushamba ni kuonyesha vitu kama hivi na kusema ni vya maana sana. Kila mtu anajuwa ukiwa na hela utapata kila kitu, hivi ni vitu vya kawaida, hata Dubai (desert country) wana large indoor ski slop.
Umeiga ndugu tunga yako wakenya mnajifanya waswahili [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] uswahili wenyewe hamuuwezi
Dude unataka tuanze kuipambanisha Arusha na Naivasha.. Sema tu niite timu hapa uone mtakavyokimbizwa
Unaogopa?Hahaaa...I am not for those stupid games of "my dick is bigger than yours"blah blah blah!....Zinaudhi!Looks primitive and so on.
I was measuring the d****...Unaogopa?
And what were you doing from the start of this thread?
SALTY uuhh..I was measuring the d****...
Mi na wasiwasi na weledi wako kweli walimu wako walikuwa na kazi kinoma !!!Sielewe kawaida kwako inamaana gani basi niambie wapi tropical Afrika umesikia kuna ice rink? Niambie kama huko Dar es salaam kuna mahali panchezwa ice hockey, ice skiing nk? Ukinionyesha basi ntakubali kuwa mi ni mshamba hakika. Usipo basi wewe uwe mshamba!!!
Panari Hotel Nairobi
Haya kazi kwako!!
Bora mkikatae kabisa maana mnakiharibuHatutaki Kiswahili.Mbona unatulazimisha weye....Bora tunajua kidogo cha kuomba maji chatosha hicho!
Ooh! Nimekualewa lakini haikuwa haja we kusema hivyo, maana mimi sikutaja kama ni vya maana, lakini nilitaja kama vitu vinavyofanya Nairobi iwe league yake! Na tena kuwa na ice rink in the tropics sio jambo la kawaida sababu huwezi pata sehemu nyingine kama sio Nairobi. Sehemu nyingine na ambayo si tropics in Durban SA and Pretoria SA, tosha. Sasa hilo huwezi sema ni kitu cha kawaida! Lakini ni sawa nakuelewa.
Bora mkikatae kabisa maana mnakiharibu
Nyii wenyewe hamkijui utaniambi nini.....All you do is give a rhythm to the spoken Swahili but you lose it in the actual grammar.
Kwa hiyo serikali, bunge, mahakama, jeshi, polisi, shule wote hao wana weka rhythm na hawajui grammar ya Kiswahili?
Hata wakenya kingereza hawajui, ukitaka kujuwa kingereza ni kigumu Kenya, angalia bunge usikie wanavyo pronounce maneno ya kingereza. Angalau sisi Tanzania tumechukua kiswahili ambacho tuna uhuru wa kukibadilisha tunavyo taka, lakini kwa lugha ya queen of England, itabidi unasubiri mpaka wao waweke maneno yao mpya ndio na Kenya patie cha kusema.Try doind a research.Give them an exam of upto 50 on Kiswahili Lugha.Utakuja kuniambia wakati wa Krismasi.....
Hata wakenya kingereza hawajui, ukitaka kujuwa kingereza ni kigumu Kenya, angalia bunge usikie wanavyo pronounce maneno ya kingereza. Angalau sisi Tanzania tumechukua kiswahili ambacho tuna uhuru wa kukibadilisha tunavyo taka, lakini kwa lugha ya queen of England, itabidi unasubiri mpaka wao waweke maneno yao mpya ndio na Kenya patie cha kusema.
Unaanza kuki kimbia kingereza, si kila siku wakenya ndio wanatucheka sisi watanzania hatujui kingereza, na Kenya ndio master of English. Sasa sisi ndio Kiswahili na Kiswahili ndio sisi. Haijalishi tunakiongea vipi au tuna kipinduwa vipi, Tanzania itabaki kuwa nyumba ya Kiswahili.Sasa nani amesema tunajua kiingereza????Wewe ni balaa tu.We only prefer English to Kiswahili.Fullstop.Nyinyi na fitina????Ptoh!
Unaanza kuki kimbia kingereza, si kila siku wakenya ndio wanatucheka sisi watanzania hajui kingereza, na Kenya ndio master of English. Sasa sisi ndio Kiswahili na Kiswahili ndio sisi. Haijalishi tunakiongea vipi au tuna kipinduwa vipi, Tanzania itabaki kuwa nyumba ya Kiswahili.
Vinavyo rukwa unavijuwa na unaviruka kula siku.Zidi kurukaruka on the spot hapo...ukichoka ufanye hiyo research.Kwaheri ya kutoonana
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] njoo UDSM ufundishwe Kiswahili and remember wateKENYWA hamna LughaZidi kurukaruka on the spot hapo...ukichoka ufanye hiyo research.Kwaheri ya kutoonana