Dar es Salaam ina eneo kubwa zaidi ya Nairobi

Dar es Salaam ina eneo kubwa zaidi ya Nairobi

lancanshire

NGONG Racecourse

1478988465106.jpg


Koroga Festival Nairobi

CAMEROUNIAN JAZZ MUCISIAN MALIAN MUSICIANS AND CUBAN MUSICIANS


1478988483605.jpg
1478988518805.jpg
1478988524095.jpg
1478988530201.jpg
 
Nawasalimia wana JF wote.

Leo ni siku njema tumeamka salama.

Dar es salaam yaani Bongo ina eneo kubwa zaidi ya Nairobi.
Eneo la mraba la dar es salaam ni km za mraba 1590.5 huku ukubwa wa Nairobi ni kilomita za mraba 698.

Huku dar es salam estimation ya population ya dar es salaam ikiwa ni 4,360,000 huku nairobi ikiwa ni 3,200,000

Kwahiyi basi dar es salaam ipo na akiba kubwa ya eneo na haijawa na density kubwa ya watu ukilinganisha na Nairobi.
Uwezekano wa kuuendeleza na kuwa modern city ni mkubwa sana ukilinganisha na Nairobi.

Halafu jambo jingine la muhimu kuelewa. Sasa hivi Tanzania ipo na mpango kabambe wa kuhamishia shughuli zote za serikali Dodoma na tayari office ya waziri mkuu imeshahamia.

Sasa basi kuhamia Dodoma kutaifanya Dar es salaam iwe na nafasi kubwa na kubaki mji wa kibiashara Africa Mashariki na Kati.

Hayo maoni yangu.
Vipi ndugu zangu wakenya mnasemaje?

Sources
Nairobi - Wikipedia


Dar es Salaam - Wikipedia

dar...
M6bnh.jpg


Y0NVA.jpg

  1. OfyvKvU.jpg
    W4r0xWT.jpg
    U0WxX28.jpg
    kzf0F58.jpg


    Report
    Like- 1 people like+ QuoteReply
 
Below is a list of Eastern Africa's largest cities in descending order by city boundary pop

Dar city pop- 4,360,000. Dar métro pop-4,360,000 (has no metro)

Khartoum city pop- 3,400,000. Khartoum metro pop - 5,185,000

Addis city pop - 3,385,000. Addis metro pop - 4,568,000

Nai city pop- 3,200,000. Nai metro pop - 6,550,000

Kampala city pop- 1,700,000. Kampala metro pop- 2,000,000+

Mombasa city pop- 1,300,000. Mombasa metro pop- 2,000,000

From the above, Dar is the largest city in pop by city proper. But when the city metro (kwa wale hawaelewi, metro kwa kiswahili ni jiji na viunga vyake) pop is taken, Nai leads while the former plummets to fourth
 
hahahha hii mjadala wa kenye na Tz huwa haishi,by the way kwa sisi tulioishi sehemu zote Nairobi na Dar es salaam tunelewa.Tanzania tunawazidi kenye kwa kuwa na Wanawake wazuri,resources nyingi na maliasili nyingi vingine vyote kenya wapo zaidi yetu tena kwa mbali sana
 
.....Too much bird view images wacha niwape ground level
Kenyan neighbourhood views

1479018009139.jpg
1479018160089.jpg
1479018175756.jpg
1479018188869.jpg
1479018207937.jpg
1479018225907.jpg
1479018236278.jpg
1479018246767.jpg
1479018273457.jpg
1479018321452.jpg

1479018350560.jpg
1479018359350.jpg

hahahha hii mjadala wa kenye na Tz huwa haishi,by the way kwa sisi tulioishi sehemu zote Nairobi na Dar es salaam tunelewa.Tanzania tunawazidi kenye kwa kuwa na Wanawake wazuri,resources nyingi na maliasili nyingi vingine vyote kenya wapo zaidi yetu tena kwa mbali sana
 
Nawasalimia wana JF wote.

Leo ni siku njema tumeamka salama.

Dar es salaam yaani Bongo ina eneo kubwa zaidi ya Nairobi.
Eneo la mraba la dar es salaam ni km za mraba 1590.5 huku ukubwa wa Nairobi ni kilomita za mraba 698.

Huku dar es salam estimation ya population ya dar es salaam ikiwa ni 4,360,000 huku nairobi ikiwa ni 3,200,000

Kwahiyi basi dar es salaam ipo na akiba kubwa ya eneo na haijawa na density kubwa ya watu ukilinganisha na Nairobi.
Uwezekano wa kuuendeleza na kuwa modern city ni mkubwa sana ukilinganisha na Nairobi.

Halafu jambo jingine la muhimu kuelewa. Sasa hivi Tanzania ipo na mpango kabambe wa kuhamishia shughuli zote za serikali Dodoma na tayari office ya waziri mkuu imeshahamia.

Sasa basi kuhamia Dodoma kutaifanya Dar es salaam iwe na nafasi kubwa na kubaki mji wa kibiashara Africa Mashariki na Kati.

Hayo maoni yangu.
Vipi ndugu zangu wakenya mnasemaje?

Sources
Nairobi - Wikipedia


Dar es Salaam - Wikipedia

kwa uchambuzi wako basi MWANZA ndo itakuja kuwa jiji kubwa la kibiashara katika nchi za maziwa makuu. rocky city stand up
 
Mbona hapa naona Wabongo wanachanganya picha za Nairobi pangani wakisema ni Dar.. doh, kwani hawahamu jiji lao ama vipi? ama tuseme ni matamanio!! Hmm, Kenya sisi picha ni nyingi na haziishi hatakupost kwa maelfu. Hii hapa moja ya Nairobi metro, sehemu inayotwa Kiambu. Sehemu hii ni ya Kuchezea michezo tofautitofauti!!!!
CxIkQ2zXgAAMRdK.jpg
 
Tuseme kwamba Dar inayo majumba marefu mangapi? Kila mara nikiangalia naona haya manne tu! sijui Mzizima sijui nini, hakuna maeno mengine kuna majumba marefu hapo DAr..? Wajua Kenya unayapata CBD, Kilimani, Upperhill, Westilands etc. Kama hili jipya la Westlands
29862753913_005e161b63_b.jpg

Hili hapa linatazamiwa kuwa jumba smart sana.. Kenya Beauty, Swahili architecture huko kilimani
29707317474_2fcd3f8144_h.jpg
 
Ukwel ni kwamba Dar es salaam imeka vizur kama waki upanga mji vizuri.

Ila kwa sasa huwez fananisha Nairobi na Dar es salaam .Nairob city ipo juu ....Nairob wameweza kuupanga mji wao vizur sn japo wanao watu wengi wanaishi kweny slums .

Jaman tuwe wakwel WATANZANIA japo mchungu Dar es salaam ni kichefuchefu kwa kweli aslimia 75% ya makazi ya watu ni UNPLANNED sasa cjui tunajisif kwa lipi .

Hawa maafisa wa mipango miji wana takiwa wafungwe kwa kwakwel wametuharibia Dar yetu.
 
Kabla niendelee, nataka kujua kama kuna tofauti kati ya dar mkoa na dar jiji kwa usimamizi wake na eneo
 
1b3d6e5d8d67f790747b9bdd43651f90.jpg

Hayo majumba nimarefu kwa Dar....kuna machache ambayo hayapo apo CBD ambayo nimarefu pia. ....
 
hahahha hii mjadala wa kenye na Tz huwa haishi,by the way kwa sisi tulioishi sehemu zote Nairobi na Dar es salaam tunelewa.Tanzania tunawazidi kenye kwa kuwa na Wanawake wazuri,resources nyingi na maliasili nyingi vingine vyote kenya wapo zaidi yetu tena kwa mbali sana
Mimi nakubaliana kuwa Dar es Salaam ni kubwa kuliko Nairobi na pia kwa City Proper, Dar ina watu wengi kuliko Nairobi. LAKINI, ni ukweli ulio wazi kuwa kwa maendeleo, miundombinu, Nairobi hatuwawezi, huo ni ukweli ambao hatuwez kuukwepa. Ama kuhusu maudhui ya andiko hili, Dar bado tunayo fursa tukijipanga na kuwa jiji leading E&C Africa.
Nguvu, ari na uwezo huo tunao, hatujachelewa
 
Back
Top Bottom