Dar es Salaam ina eneo kubwa zaidi ya Nairobi

Dar es Salaam ina eneo kubwa zaidi ya Nairobi

Hahaaa..Dodoma...That forlorn dusty town of a few mabati houses in the name of a capital city.Acha kujiabisha
Biggest University East and Central Africa
220px-University_of_Dodoma.jpg
2016tanzaniatodaydodomauniversity7june7.jpg
cool1.jpg
IMG_9523.JPG
UDOM.4.JPG
slide-1.jpg
IMAGE01W.JPG
98144536.jpg
 
Hahaaa.Not even the biggest in Tanzania alone
Naona umechanganyikiwa unapojua ukweli wa TZ. Kwamba Mombasa yako ipo sawa na University of Dodoma. Kwikwikwi.
 
Haha duuh uko Kenya kumbe kuna vitu vya ajabu namna hyo[emoji17][emoji17][emoji17][emoji17][emoji17]
Sasa wanasumbua nn hawa wandewa...
 
Naona umechanganyikiwa unapojua ukweli wa TZ. Kwamba Mombasa yako ipo sawa na University of Dodoma. Kwikwikwi.


Tihaaaaa....acha kujitekenya.Dodoma is the size of my shopping centre.You and I know that.Pole.
 
Tihaaaaa....acha kujitekenya.Dodoma is the size of my shopping centre.You and I know that.Pole.
Hahaha hebu leta majengo ya mombasa tufananishe na haya ya UDOM.


Kwikwikwikwi. Tofauti na bandari Mombasa ni sawa na UDOM.
 
Biggest University East and Central Africa
220px-University_of_Dodoma.jpg
2016tanzaniatodaydodomauniversity7june7.jpg
cool1.jpg
IMG_9523.JPG
UDOM.4.JPG
slide-1.jpg
IMAGE01W.JPG
98144536.jpg
Sielewi hapa!!! Kaka zangu wabongo sijui kama mko serious ama mnatuenjoi, Sababu kama mtasema hii ni University kubwa, maanake kwamba hamuelewi ama mnatubeba mafala!!!? Surely hii hata haitoshi Kuitwa secondary kubwa kenya!!!!
IN11253732high-res-Brookhse.jpeg
Brookhouse Nairobi
t2.jpg

Technical College Mombasa
Sasa nikiweka university
13391287_1739794319596417_2001009051_n.jpg

Nairobi University
7995086855_9a41f63971_b.jpg

Kenyatta University Library
 
Wakenya sio kila kitu mnabisha...udom ni pakubwa sana ....ekari 6000 uwezo wakuchukua wanafunzi 50000 when full operational ....kwa sasa wapo 22k nazaidi.....
Pamejengwa kisasa sana na wana college 6...
 
Duj, jamaa wana slums nyingi kuliko nchi yoyote duniani..

Baba Ndogo
Dandora
Fuata Nyayo [7]
Gatwekera
Huruma
Kambi Muru
Kangemi
Kawangware
Kiambiu
Kianda
Kibera (Kibera has been described as the largest slum in Kenya)
Kichinjio
Kisumu Ndogo
Korogocho
Laini Saba
Lindi
Majengo, Nairobi
Makina
Makongeni
Mashimoni
Matopeni
Mathare
Mathare Valley
Mugumoini
Mukuru kwa Njenga
Mukuru slums
Nyalenda
Pumwani
Raila
Sarang'ombe
Shilanga
Siranga
Soweto East
Soweto West
Ziwa la Ng'ombe

Nipo ugenini wananishangaa navyo jichekea du!!
 
Wakenya sio kila kitu mnabisha...udom ni pakubwa sana ....ekari 6000 uwezo wakuchukua wanafunzi 50000 when full operational ....kwa sasa wapo 22k nazaidi.....
Pamejengwa kisasa sana na wana college 6...
Lakini nyinyi ndio mna mapingamizi nyingi. Kama sasa we unasema eti UDOM ina 22K students, sasa hiyo unalinganisha na Moi University Eldoret ambayo ina wanafunzi 25K, Nairobi in 60K, Kenyetta ina 40K.
Mups3-3.jpg

Moi University Tower Eldoret
 
Lakini nyinyi ndio mna mapingamizi nyingi. Kama sasa we unasema eti UDOM ina 22K students, sasa hiyo unalinganisha na Moi University Eldoret ambayo ina wanafunzi 25K, Nairobi in 60K, Kenyetta ina 40K.
Mups3-3.jpg

Moi University Tower Eldoret
Ukitoa nai varsity the rest hakuna itakayokuja igusa udom kwa ukubwa....issue za academic tuziache maana udom ndio kwanza imeshafanya graduation 7 tu mpaka sasa!! Ni chuo kikubwa mpaka sahv kuna hostel hazina wanafunzi zipo tu....hakuna student anakaa mtaani kwa kukosa room campus!! Kutoka college moja kwenda ingne unachukua usafiri. ....
 
Back
Top Bottom