Dar es Salaam inataka kiongozi mbabe na mafia hasa siyo huyo mswahili

Suzy Elias

JF-Expert Member
Joined
Nov 9, 2021
Posts
1,067
Reaction score
6,200
Makala haiwezi Dar es Salaam na kamwe hatoiweza kwa sababu ni mswahili mno!

Dar es Salaam ni Jiji lihitajilo Kiongozi mafia hasa kwa sababu ya uwingi wa wakazi wake kuwa ma mafia.

Makundi kama Panya Road si ya kuyapigia ngojera kwenye mic kisiasa bali ili yakomeshwe inapasa umafia ndaniye uwepo.

Makonda pamoja na mapungufu yake lakini aliwaweza ma mafia wa Dar kwa sababu yeye pia alikuwa mafia na mbabe aliyewezeshwa kuwa.

Dar ya kiswahili ilikoma na akina Ditopile.

Siioni Dar iliyo salama kama itaendelea kuongozwa na Viongozi waswahili wanao ishi kiswahili na ma mafia waswahili wa Bongo Darisalama.
Your browser is not able to display this video.
 
Ujinga ndio mzzigo mkuu kwa nchi hii..
Kati ya watanzania wore tuliopo no u..pumbavu was PhD kuamini KTM
 
Naogopa mno kauli zinazoashiria tunaishi in a police state why kila kitu kitatuliwa kwa violence?,tunaleta taifa la chuki na visasi
 
Kama alichemsha Mbeya na Katavi ataliweza Jiji la Dar ambalo ni sawa na Kokoro limebeba mambo MAZURI na matakataka karibia kwa uwiano unaolingana.
 
Lusungo anadai hakuna mtu poa na mtu wa watu kama Makalla. Ndo maana nyota inamfuata popote aendapo.
 
RC wa DSM anapaswa apokeee ushauri unao tolewa bure kabisa, ni kweli jiji limepwaya, Panya rodi wana chezea sharabu wanavyo taka.
Kamati ya ulinzi ya mkoa inafanya nini hadi wahalifu waibuke kwa kasi?!!

Hatuhitaji maneno mengi bali wakazi wa DSM wanataka matendo zaidi.
viongozi wetu wa mkoa wanapoteza muda mwingi kudili na mambo ambayo sio serious, lkn inapokuja mambo serious.....hawaeleweki.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…