Suzy Elias
JF-Expert Member
- Nov 9, 2021
- 1,067
- 6,200
Makala haiwezi Dar es Salaam na kamwe hatoiweza kwa sababu ni mswahili mno!
Dar es Salaam ni Jiji lihitajilo Kiongozi mafia hasa kwa sababu ya uwingi wa wakazi wake kuwa ma mafia.
Makundi kama Panya Road si ya kuyapigia ngojera kwenye mic kisiasa bali ili yakomeshwe inapasa umafia ndaniye uwepo.
Makonda pamoja na mapungufu yake lakini aliwaweza ma mafia wa Dar kwa sababu yeye pia alikuwa mafia na mbabe aliyewezeshwa kuwa.
Dar ya kiswahili ilikoma na akina Ditopile.
Siioni Dar iliyo salama kama itaendelea kuongozwa na Viongozi waswahili wanao ishi kiswahili na ma mafia waswahili wa Bongo Darisalama.
Dar es Salaam ni Jiji lihitajilo Kiongozi mafia hasa kwa sababu ya uwingi wa wakazi wake kuwa ma mafia.
Makundi kama Panya Road si ya kuyapigia ngojera kwenye mic kisiasa bali ili yakomeshwe inapasa umafia ndaniye uwepo.
Makonda pamoja na mapungufu yake lakini aliwaweza ma mafia wa Dar kwa sababu yeye pia alikuwa mafia na mbabe aliyewezeshwa kuwa.
Dar ya kiswahili ilikoma na akina Ditopile.
Siioni Dar iliyo salama kama itaendelea kuongozwa na Viongozi waswahili wanao ishi kiswahili na ma mafia waswahili wa Bongo Darisalama.