Dar es Salaam Institute of Technology(DIT) - Special Thread

Jamani hapo DIT hakuna majina mapya yaliyoongezeka kwenye loan allocation? mi nilipata 1 batch ila allocation yangu haikutoka kwenye majina ya kwanza
 
kwenye list ya batch 3 jina halipo. nimeona SUA wametoa list ya allocation batch 1 addition na batch 3. Vip hapo kuna new list on advert board?
Chuo gani umepepata ,maana walisema hivo kama ikishindikana nenda ofisin kwako
 
Nina Shahada ya Elimu(Sanaa), Advance nilisoma HKL. Je, naweza kusoma Electrical ngazi ya Diploma?
 
Wakibandika list ya best student this year muweke humu
 
Jaman msaada cfa za kujiunga na vyuo vya ICT {information Communication Technology} na n vyuo gan vinatowa iyo coz
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…