Dar es Salaam Institute of Technology(DIT) - Special Thread

Dar es Salaam Institute of Technology(DIT) - Special Thread

Habar za mda huuu wakuu naitaji msaada mi ni mwalimu naitaji kujiunga na DIT mwaka huuu bachelor of laboratory science and technology miaka 4 Kwa ambao hatujasoma diploma ya maabara nimefuatilia sijaelewa maelezo ya jumla ya ada Kwa tunaojilipia ili nijipange vizuri naombeni anae jua anielekeze
 
Mwl. Matobo wa DIT idara ya umeme Mungu anakuona....kuwapa wanafunzi robo tatu ya darasa retake si sawa.
 
Jamani hapo DIT tunapata shida kusaini boom, inaonyesha nipo km 856 wakati nipo chuoni shida nini???
 
Habar za mda huuu wakuu naitaji msaada mi ni mwalimu naitaji kujiunga na DIT mwaka huuu bachelor of laboratory science and technology miaka 4 Kwa ambao hatujasoma diploma ya maabara nimefuatilia sijaelewa maelezo ya jumla ya ada Kwa tunaojilipia ili nijipange vizuri naombeni anae jua anielekeze
Salama mwalimu unasoma hyo ukimaliza ukirudi kituoni kwako kazi zake utafanyia wapi ufafanuzi kidogo niijue hii kozi
 
Back
Top Bottom