Dar es Salaam Institute of Technology(DIT) - Special Thread

Dar es Salaam Institute of Technology(DIT) - Special Thread

B

Believe me bro.. diploma ndio watu wanaoajirika kwa sasa iv kuliko hao wa degree..
Mimi nimesoma diploma na degree zote za electrical nakwambia hiki kitu ni real.. sema kwenye kozi apo badilisha uchukue electrical au civil au mechanical.. izo zingine hazina wigo mpana.. fanya ivo bro utakuja kunishkuru tena ondoa hayo mawazo ya kukata tamaa
Big upppp sana!!! thanks!
 
basi hakuna haja ya kubishana tena...ubora wa chuo ni products zake na sio jina kama chuo flani kinachosifiwa kwa kuwa na elimu bora tz kumbe ni hewa tu....katika maswala ya uhandisi wa ujenzi na technolojia DIT wanastahili sana pongezi....
Sema UDSM unaficha ficha nini.

Hiki chuo hata sijui kimelogwa na nani. Acha nisiendelee. Naama mafisi yanajaa
 
Jamani hivi IR LED na Photodiode nivipate Duka gani hapa mjini?

Mwenyekujua anielekeze
 
Samahani!!! Nimefeli advance PCM Nimepata DEE nimeioenda kozi ya BIOMEDICAL ENGINEERING But nimekata tamaa ya kusoma tena!
nipo katika hatua za mwisho katika kufanya maamuzi hasa nikihisi nitapoteza muda kusoma kitu ambacho sina hata connection!!
Maana nshakatishwa tamaa wenzangu wanaenda Degree but mimi inaniuma nikienda Diploma !!
Sorry [emoji52] nini Ushauri wako juu ya kusoma diploma kozi hiyo???
Siku ukienda dit kusoma diploma utakutana na hao wa degree mnashare baadhi ya module ndo utagundua wewe mdo unasoma msingi wa kozi yako kuzidi wao
 
samahani jamani msaada namna ya kureset password ya dit mdogo wangu kaaply diploma sasa kasahau password yke, nimepambana kma siku tatu ila bado inasumbua , naomba msaada wenu
 
Hiki chuo pamoja na kile cha Mbeya na Arusha vilianzishwa maksusi kutengeneza mafundi mchundo Full Technician certificate aka FTC kwa ajili ya viwanda wakati wa Serikali ya Mwalimu Nyerere.

Vyuo hivi nguli 3 wakati huo vikiitwa Dar Tech, Arusha Tech na Mbeya Tech vilipokea wanafunzi toka shule za kitaifa za ufundi za Ifunda, Moshi Tech, Tanga Tech na nyingine chache ambazo zilifundisha watoto kuwa mafundi.

Tangu sera yetu ya elimu ivurugike, vyuo hivi sasa vimegeuka kutengeneza Ma-Engineer ambao ki-uhalisia ni ma-engineer wa vitabuni tu, ujuzi wa kazi hamna.

Sisi Tanzania tuna matatizo mengi.
 

The Dar es Salaam Institute of Technology (DIT) is the government Institution established in 1997 by Act of parliament."the DIT Act No 6 of 1997" to replace the Dar es Salaam Technical College which had a long history of technical training in Tanzania from 1957.

The Dar es Salaam Technical Institute was established aiming at providing vocational training in the country. The Institute later expanded its scope to offer technical secondary school courses and training for Technical Assistants before it was upgraded in 1962 to become the Dar es Salaam Technical College (DTC), the first formal technical training institution in the country.DTC was aimed to train technicians under the London City and Guilds Training Program.In order to enhance its contribution to the national capacity building in technical manpower, the College in 1964 introduced two-and-a-half-year Ordinary Technician Diploma (OTD).

Currently the institution has three (3) campuses which are; Main Campus in Dar es Salaam,Mwanza Campus in Mwanza Region and Myunga Campus in Songwe Region. The institute offers over twenty nine (29) applied science, engineering and professional training programmes leading to the awards of Basic Technical Certificate,Ordinary Diploma,Bachelor of Engineering,Bachelor of Technology and Master Degree programme.


PROGRAMMES OFFERED UNDER DIFFERENT DEPARTMENTS

DEPARTMENT OF COMPUTER STUDIES

This department offers Computer Engineering, Information Technology and Multimedia & Film Technology at Ordinary Diploma (NTA Level 4 – 6), Bachelor of Engineering (NTA Level 7 - 8) and Master of Technology in Computing and Communications (NTA Level 9) programme.
  1. Ordinary Diploma Programmes
    • Ordinary Diploma in Computer Engineering
    • Ordinary Diploma in Information Technology
    • Ordinary Diploma Multimedia and Film Technology
  2. Undergraduate Programmes
    • Bachelor of Engineering (B. Eng) in Computer Engineering
  3. Postgraduate Programmes
    • Master of Technology in Computing and Communications. (18 months)
    • Master In Computational Science and Engineering (18 months)

DEPARTMENT OF CIVIL ENGINEERING
The department offers Ordinary Diploma (OD) at NTA level 6 and Bachelor of Engineering Degree (B. Eng) at NTA Level 8. The department also offers Master degree programme of Engineering in Maintenance Management (NTA 9) by coursework and dissertation.
  1. Ordinary Diploma Programmes
    • Ordinary Diploma in Civil Engineering
    • Ordinary Diploma in Mining Engineering
  2. Undergraduate Programmes
    • Bachelor of Engineering (B. Eng) in Civil Engineering
    • Bachelor of Engineering in Oil and Gas Engineering
    • Bachelor of Engineering (B. Eng) in Mining Engineering
  3. Postgraduate Programmes
    • Master of Engineering in Maintenance Management (18 months)
    • Master of Engineering in Sustainable Energy Engineering

DEPARTMENT OF ELECTRICAL ENGINEERING
The department offers NTA Ordinary Diploma (level 4-6) in Electrical Engineering, Biomedical Equipment Engineering, and Renewable Energy Technology. It also offers (NTA level 7-8) Bachelor of Engineering program.
  1. Ordinary Diploma Programmes
    • Ordinary Diploma in Electrical Engineering
    • Ordinary Diploma Renewable Energy Technology
    • Ordinary diploma in Biomedical Equipment Engineering
  2. Undergraduate Programmes
    • Bachelor of Engineering (B. Eng) in Electrical Engineering

DEPARTMENT OF ELECTRONICS AND TELECOMMUNICATION ENGINEERING
The department offers Ordinary Diploma and Bachelor of Engineering (NTA level 4-8) programmes in Electronics and Telecommunication Engineering and Ordinary Diploma in Communication System Technology (NTA level 4-6).
  1. Ordinary Diploma Programmes
    • Ordinary Diploma in Electronics and Telecommunications Engineering
    • Ordinary Diploma Communication System Technology
  2. Undergraduate Programmes
    • Bachelor of Engineering (B.Eng) in Electronics and Telecommunications Engineering

DEPARTMENT OF MECHANICAL ENGINEERING
The department offers Ordinary Diploma and Bachelor of Engineering (NTA level 4-8) in mechanical engineering.
  1. Ordinary Diploma Programmes
    • Ordinary Diploma in Mechanical Engineering
  2. Undergraduate Programmes
    • Bachelor of Engineering (B. Eng) in Mechanical Engineering

DEPARTMENT OF SCIENCE AND LABORATORY TECHNOLOGY
Department provides services to all academic departments in teaching physical science modules.
  1. Ordinary Diploma Programmes
    • Ordinary Diploma in Science and Laboratory Technology
    • Ordinary Diploma in Food Science and Technology
    • Ordinary Diploma in Biotechnology
    • Ordinary Diploma in Leather Products Technologies
  2. Undergraduate Programmes
    • Bachelor of Technology (B. Tech) in Laboratory Science
Habari wakuu samahan naomba kuuliza,na mdogo wangu WA kike kamaliza form four alisoma masomo ya art na kapata four ya 28 ,NAMPANGO wakumpeleka veta akasome motor vehicle mechanics ,swali langu ni je akihitimu mafunzo veta akapata FTC Anaweza kuapply kusoma diploma hapo chuoni kwenu au Hakuna uwezekano huo naomba msaada wenu wakuu
 
Habari wakuu samahan naomba kuuliza,na mdogo wangu WA kike kamaliza form four alisoma masomo ya art na kapata four ya 28 ,NAMPANGO wakumpeleka veta akasome motor vehicle mechanics ,swali langu ni je akihitimu mafunzo veta akapata FTC Anaweza kuapply kusoma diploma hapo chuoni kwenu au Hakuna uwezekano huo naomba msaadamt

Habari wakuu samahan naomba kuuliza,na mdogo wangu WA kike kamaliza form four alisoma masomo ya art na kapata four ya 28 ,NAMPANGO wakumpeleka veta akasome motor vehicle mechanics ,swali langu ni je akihitimu mafunzo veta akapata FTC Anaweza kuapply kusoma diploma hapo chuoni kwenu au Hakuna uwezekano huo naomba msaada wenu wakuu
yah ndio inavyokua mpeleke VETA akimaliza level 3 sio FTC ...FTC NI DIPLOMA HIYO zamani ndio ilikua inaitwa FTC. .... hapo DIT ataanza level 4 then 5 (ndo technician) then 6)level 6 ndio DIPLOMA au FULL TECHNICIAN . KILA LA HERI
 
Tally accounting package expert available

Huduma zifuatazo zinapatikana kwa watumiaji wote wa accounting package ya tally na kwa wale ambao wanataka kuanza kutumia



- Kufanya installation ya license mpya

- Kufanya renewal ya license

- Ku setup chart of accounts na opening balance

- Ku split data according to financial years

- Kufanya data entry kwa niaba ya mteja

- Kufanya implementation ya data kwa ajili ya watumiaji wapya na wale ambao wanaitumia pia

- Ku solve connectivity issues, memory access violation etc

- Kufanya migration of data

- Ku set up Remote user

- Ku set Logo kwenye invoice



Kwa maelezo zaidi nitumie message
 
Back
Top Bottom