THE BOILER ROOM
JF-Expert Member
- Sep 17, 2018
- 1,054
- 3,212
Mwiba mchungu sana kwa ndg zetu ila ndo ukweli KQ ndio shirika la ndege linaloongoza kuwa na abiria wengi zaidi JNIA ila ni kwa sababu ya favor ya ATCL kutokwenda Jomo Kenyatta basiii. Hapa ni krb ni kama daladala Makumbusho-Posta.KQ makes loses year in year out hahahaha. Huu Uzi ni kuhusu jinsi gani KQ inavyotegemea "Dar route", huko kwengine kote mlikoyaja hampati faida, mnnakwenda kuuza sura tu.
Sasa nimeelewa kwa nini wakenya waliomba po kipindi kile JK na Mzee Sitta (RIP) walipopiga stop KQ kuja Dar es Salaam.
Kulingana na ripoti ya IATA, kumbe route ya DAR-NBO inaongoza kwa kuwa na wateja wengi sana na hata KQ wanalijua hilo. Sijui lini ATCL wataanzisha DAR-JRO-NBO!
Busiest passenger routes for Kenya and other cities in order are:
1. Dar es Salaam
2. Entebbe
3. Dubai
4. Addis Ababa
5. Jo'burg
For the curious ones, ripoti inaitwa 'Value of Aviation Report for Kenya'
Ulikuwa umetokomea wapi? Umeibuka all of a sudden. Welcome backSasa nimeelewa kwa nini wakenya waliomba po kipindi kile JK na Mzee Sitta (RIP) walipopiga stop KQ kuja Dar es Salaam.
Kulingana na ripoti ya IATA, kumbe route ya DAR-NBO inaongoza kwa kuwa na wateja wengi sana na hata KQ wanalijua hilo. Sijui lini ATCL wataanzisha DAR-JRO-NBO!
Busiest passenger routes for Kenya and other cities in order are:
1. Dar es Salaam
2. Entebbe
3. Dubai
4. Addis Ababa
5. Jo'burg
For the curious ones, ripoti inaitwa 'Value of Aviation Report for Kenya'
Kwa kuandika uko sawa sana lakini hayatakuja kufanyika ulivyotabiri. Umewahi fikiria kuwa mwandishi?Mkuu ulichoandika ni kweli kbs,KQ katika masoko yake muhimu na tegemezi ktk kusurvive kwake Tanzania imo,wana route nne kila siku hapa na almost zote ziko full.Tukiamua kugawana nao hawa abiria watadata interesting part ni kwamba ATCL iko na advantage nyingi sana ya kuigalagaza KQ......nyingi tu.
-Kuwa na ndege mpya za kisasa (nani atataka apande mfupa wkt kuna kitu pamba kinaenda pande hiyo hiyo π.obvious)
-KQ ina hali mbaya ya kipesa wkt ATCL ndo kwanza inashamiri,tunaweza kushusha bei kdg chini ya KQ kwa jinsi ilivyodhoofika haiezi fuata huko chini,Tunatembea tu na margin ka marathon flani lazima wasande pumzi ya kushindana na ATCL, KQ haina huo ndo ukweli.
Na kamwe hamtapata hio leseni ya kuja Nairobi. Tutawazungusha hadi mkae chini.Mwiba mchungu sana kwa ndg zetu ila ndo ukweli KQ ndio shirika la ndege linaloongoza kuwa na abiria wengi zaidi JNIA ila ni kwa sababu ya favor ya ATCL kutokwenda Jomo Kenyatta basiii. Hapa ni krb ni kama daladala Makumbusho-Posta.
Na kamwe hamtapata hio leseni ya kuja Nairobi. Tutawazungusha hadi mkae chini.
Yer hii ni Boeing ya pili...dreamlinerHii ni ile Boeing ya pili? Naomba kujua source ya hii picha!
Sawa ngoja tutaonaMtoe wapi hiyo jeuri, tukikohoa mnaitika [emoji23][emoji23][emoji23]
Kwa sababu unapenda sana maajabu yanayotokea Kenya, pale youtube umeona ile video ya Mkenya anayekula mende? πππππNa hizi mpya zilizpagizwa tumetaka ziwekwe screens na WIFI kama, nani atapanda "vyuma chakavu vya KQ?".
Wakenya piteni huku muone jinsi mnavyotutegemea.
cc. Tony254
Nahisi tukianza Maandalizi ya ATCL Kwenda Nairobi vigisu Vigisu vitaanza ili kuilinda KQ na soko lake la uhakika πHela ya madafu wakati kuna 4 flights daily za KQ kuja Dar.
Wkikuyu huwa mko 0 brain kweli....!! Kwamba Magufuli atawaangalia tu mkija huku TZ...?? πππππ€π€π€Na kamwe hamtapata hio leseni ya kuja Nairobi. Tutawazungusha hadi mkae chini.
π π π Hapana jirani sijawahi fikiria!!!Kwa kuandika uko sawa sana lakini hayatakuja kufanyika ulivyotabiri. Umewahi fikiria kuwa mwandishi?
Hahahah mikataba ya aviation inataka hivyo ukija kwangu na mimi ntakuja kwako pia ilikuwa ngumu wkt ule hatukuwa na ndege za uhakika.Waacheni Wakenya wapande vitu classic msiwacheleweshe jamani.Na kamwe hamtapata hio leseni ya kuja Nairobi. Tutawazungusha hadi mkae chini.
Ni 5 flights,KQ480,KQ482,KQ484,KQ486,KQ488 all emraer 190 models, KQ484 is on the way as we speakHela ya madafu wakati kuna 4 flights daily za KQ kuja Dar.
Subirini tuwaletee wakenya Airbus A220 wenyewe mtakimbia hiyo mikweche yenu kitu kipyaaaa brand new delivered straight from the factory!Ni 5 flights,KQ480,KQ482,KQ484,KQ486,KQ488 all emraer 190 models, KQ484 is on the way as we speakView attachment 1214953
Kweli ni tano wkt huu wa high season!!! 4 ni wkt wa low season!!!Ni 5 flights,KQ480,KQ482,KQ484,KQ486,KQ488 all emraer 190 models, KQ484 is on the way as we speakView attachment 1214953
Why fly an aircraft with a range of 7000km to a distance of 900km? Labda iende dubai na indiaSubirini tuwaletee wakenya Airbus A220 wenyewe mtakimbia hiyo mikweche yenu kitu kipyaaaa brand new delivered straight from the factory!
Hio Embraer ndio mkweche wanaoletea watalii Zanzibar kila asubuhi. Tusiwalaumu, shirika lishakufa tena, hawawezi kununua ndege mpya wao.Na nahisi moja ya hizi Airbus A220s mpya zilizoagizwa itakuwa ya Nairobi. Lazima wataomba pooh na hiyo mikweche yao sijui Embraer!
Fuel efficiency na passenger comfort ya A220 is UNMATCHED!