TANZIA Dar es Salaam: Mhadhiri wa Law school wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) Dkt. James Jess afariki dunia

TANZIA Dar es Salaam: Mhadhiri wa Law school wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) Dkt. James Jess afariki dunia

Analogia Malenga

JF-Expert Member
Joined
Feb 24, 2012
Posts
5,108
Reaction score
10,191
53408358-8A01-48EE-A9F4-758145128935.jpeg

Mhadhiri wa Shule ya Sheria ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam Dkt. James Jess amefariki dunia ghafla akiwa nyumbani kwake Tabata Jijini Dar es Salaam mchana wa leo.

Aidha, Dkt. James Jess alikuwa miongoni mwa watia nia katika Jimbo la Segerea kupitia tiketi ya Chama cha Mapinduzi.

= Taarifa zaidi kufuatia =
Pia soma
> Dkt. James Jesse (Mhadhiri UDSM): Siku hizi unakamatwa bila kibali na huwezi kupinga
 
View attachment 1603369

Mhadhiri wa Shule ya Sheria ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam Dkt. James Jess amefariki dunia ghafla akiwa nyumbani kwake Tabata Jijini Dar es Salaam mchana wa leo.

Aidha, Dkt. James Jess alikuwa miongoni mwa watia nia katika Jimbo la Segerea kupitia tiketi ya Chama cha Mapinduzi.

= Taarifa zaidi kufuatia =
Covid 19 bado ipo, chukua tahadhali
 
Back
Top Bottom