TANZIA Dar es Salaam: Mhadhiri wa Law school wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) Dkt. James Jess afariki dunia

TANZIA Dar es Salaam: Mhadhiri wa Law school wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) Dkt. James Jess afariki dunia

amefariki dunia ghafla akiwa nyumbani kwake Tabata.

Aidha, Dkt. James Jess alikuwa miongoni mwa watia nia katika Jimbo la Segerea kupitia tiketi ya Chama cha Mapinduzi.

View attachment 1603376
Labda tusubiri wafanye postmortem.

Rest in easy Dr James.
Screenshot_20201017-202933_1602955824173.jpg
 
View attachment 1603369

Mhadhiri wa Shule ya Sheria ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam Dkt. James Jess amefariki dunia ghafla akiwa nyumbani kwake Tabata Jijini Dar es Salaam mchana wa leo.

Aidha, Dkt. James Jess alikuwa miongoni mwa watia nia katika Jimbo la Segerea kupitia tiketi ya Chama cha Mapinduzi.

= Taarifa zaidi kufuatia =
Alikua miongoni mwa watia nia is misleading. Watia nia walikua utitiri. Sio kama zamani wanatia watatu wawili.
My first impression nilikua najua ni mgombea Ubunge.
 
Nakuunga mkono, hawa ccm wanashirikiana na genge TISS linalotesa sana watu.

...Mfano, uko singida wamemsimamisha Ramadhan Inghondu wa TISS suspect namba1 ktk waloshiriki kutaka kumuua Dr Ulimboka, nadhan mnalijua hilo.

Sasa kushirikiana na hili genge la ccm kweli Mungu inabidi akulaze pahala panapokustahili.
Bahati mbaya sana ukifa na hali yakua ni CCM inakua ngumu mno kwenda peponi.
Mungu amsamehe huyu.
 
View attachment 1603369

Mhadhiri wa Shule ya Sheria ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam Dkt. James Jess amefariki dunia ghafla akiwa nyumbani kwake Tabata Jijini Dar es Salaam mchana wa leo.

Aidha, Dkt. James Jess alikuwa miongoni mwa watia nia katika Jimbo la Segerea kupitia tiketi ya Chama cha Mapinduzi.

= Taarifa zaidi kufuatia =
Pia soma
> Dkt. James Jesse (Mhadhiri UDSM): Siku hizi unakamatwa bila kibali na huwezi kupinga
Mungu amlaze pema mwalimu wangu hodari wa haki za binadamu.....alama alioacha katika tasnia ya Sheria ni kubwa sana
 
Aisee Rest in peace Human Rights Fighter...
Tuta baki na memories za compendium ya Human Right regional na international laws.
 
RIP James Jess Dr. Poleni walioguswa na msiba huu.
 
View attachment 1603369

Mhadhiri wa Shule ya Sheria ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam Dkt. James Jess amefariki dunia ghafla akiwa nyumbani kwake Tabata Jijini Dar es Salaam mchana wa leo.

Aidha, Dkt. James Jess alikuwa miongoni mwa watia nia katika Jimbo la Segerea kupitia tiketi ya Chama cha Mapinduzi.

= Taarifa zaidi kufuatia =
Pia soma
> Dkt. James Jesse (Mhadhiri UDSM): Siku hizi unakamatwa bila kibali na huwezi kupinga
RIP Doctor. You will be remembered for what you have said recently.
 
amefariki dunia ghafla akiwa nyumbani kwake Tabata.

Aidha, Dkt. James Jess alikuwa miongoni mwa watia nia katika Jimbo la Segerea kupitia tiketi ya Chama cha Mapinduzi.

View attachment 1603376
"Ukikamatwa bila SHERIA na ukihoji husikilizwi"

Maneno hayo aliyatamka LINI?

Isijekuwa ndiyo sababu ya KIFO CHA GHAFLA.

R.I.P DR.
 
Back
Top Bottom