Ettore Bugatti
JF-Expert Member
- Aug 28, 2017
- 4,123
- 8,242
Labda tusubiri wafanye postmortem.amefariki dunia ghafla akiwa nyumbani kwake Tabata.
Aidha, Dkt. James Jess alikuwa miongoni mwa watia nia katika Jimbo la Segerea kupitia tiketi ya Chama cha Mapinduzi.
View attachment 1603376
Unaitukana imani yangu ama?Wewe siyo mjinga tu Bali ni mpumbavu na mshenzi pamoja...una vimelea vya ugaidi na ushetani kwa ujumla wake
Alikua miongoni mwa watia nia is misleading. Watia nia walikua utitiri. Sio kama zamani wanatia watatu wawili.View attachment 1603369
Mhadhiri wa Shule ya Sheria ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam Dkt. James Jess amefariki dunia ghafla akiwa nyumbani kwake Tabata Jijini Dar es Salaam mchana wa leo.
Aidha, Dkt. James Jess alikuwa miongoni mwa watia nia katika Jimbo la Segerea kupitia tiketi ya Chama cha Mapinduzi.
= Taarifa zaidi kufuatia =
Narudia wewe ni mjinga, mpumbavu, mshenzi na pia una vimelea vya ugaidi na ushetani...huna utu wewe..una elements za unyama au mnyama kwa hakika asiyejua mema na mabaya...Unaitukana imani yangu ama?
UtekajiBahati mbaya sana ukifa na hali yakua ni CCM inakua ngumu mno kwenda peponi.
Mungu amsamehe huyu.
Wewe siyo mjinga tu Bali ni mpumbavu na mshenzi pamoja...una vimelea vya ugaidi na ushetani kwa ujumla wake
Bahati mbaya sana ukifa na hali yakua ni CCM inakua ngumu mno kwenda peponi.
Mungu amsamehe huyu.
Mungu amlaze pema mwalimu wangu hodari wa haki za binadamu.....alama alioacha katika tasnia ya Sheria ni kubwa sanaView attachment 1603369
Mhadhiri wa Shule ya Sheria ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam Dkt. James Jess amefariki dunia ghafla akiwa nyumbani kwake Tabata Jijini Dar es Salaam mchana wa leo.
Aidha, Dkt. James Jess alikuwa miongoni mwa watia nia katika Jimbo la Segerea kupitia tiketi ya Chama cha Mapinduzi.
= Taarifa zaidi kufuatia =Pia soma
> Dkt. James Jesse (Mhadhiri UDSM): Siku hizi unakamatwa bila kibali na huwezi kupinga
Sawa lakini alikua mwana ccmMungu amlaze pema mwalimu wangu hodari wa haki za binadamu.....alama alioacha katika tasnia ya Sheria ni kubwa sana
Ana mchango mkubwa Sana katika upiganaji wa haki za binadamu Tanzania licha ya huo uccm wake....he was a great man
RIP Doctor. You will be remembered for what you have said recently.View attachment 1603369
Mhadhiri wa Shule ya Sheria ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam Dkt. James Jess amefariki dunia ghafla akiwa nyumbani kwake Tabata Jijini Dar es Salaam mchana wa leo.
Aidha, Dkt. James Jess alikuwa miongoni mwa watia nia katika Jimbo la Segerea kupitia tiketi ya Chama cha Mapinduzi.
= Taarifa zaidi kufuatia =Pia soma
> Dkt. James Jesse (Mhadhiri UDSM): Siku hizi unakamatwa bila kibali na huwezi kupinga
"Ukikamatwa bila SHERIA na ukihoji husikilizwi"amefariki dunia ghafla akiwa nyumbani kwake Tabata.
Aidha, Dkt. James Jess alikuwa miongoni mwa watia nia katika Jimbo la Segerea kupitia tiketi ya Chama cha Mapinduzi.
View attachment 1603376