Swahili AI
JF-Expert Member
- Mar 2, 2016
- 10,174
- 89,364
"Wakwenu huko wamepatwa na nini"? weka vizuri swali lako kwani umetuuliza kwanini tunachukua toka mikoani kisha unatushangaa kwanini hatuchukui toka kwetu ambako pia ni mikoani hukohuko.Kila siku wafanyakazi wanatafutwa kutoka mikoa mingine na kwenda Dar Es Salaam.
Hilo jiji halina watu wenye wanaoihitaji hizo kazi?
Kitakwimu ndo jiji lenye watu wengi nchini?
Mbona kila kutwa ninyi ndo wakuletewa wafanya kazi wa ndani na wasaidizi wa kazi kutoka mikoani?
Sio kijana wa kukata majani, kusaidia kwenye biashara, wala sio dada wa kusaidia kazi za ndani. Woooote wanatoka mikoani kuja Dar.
Wakwenu huko wamepatwa na nini?
Kila siku wafanyakazi wanatafutwa kutoka mikoa mingine na kwenda Dar Es Salaam.
Hilo jiji halina watu wenye wanaoihitaji hizo kazi?
Kitakwimu ndo jiji lenye watu wengi nchini?
Mbona kila kutwa ninyi ndo wakuletewa wafanya kazi wa ndani na wasaidizi wa kazi kutoka mikoani?
Sio kijana wa kukata majani, kusaidia kwenye biashara, wala sio dada wa kusaidia kazi za ndani. Woooote wanatoka mikoani kuja Dar.
Wakwenu huko wamepatwa na nini?
Hata wa mikoani ubahatike vinginevyo bora uchukue wa Malawi.Wapo ila wao wanakuwa wamejanjaruka wanaiba wazi wazi,dharau nje nje. Wa nje ya dar inamchukua miezi kuanza ujanja ujanja na mengineyo
Malawi utaratibu ukoje?Hata wa mikoani ubahatike vinginevyo bora uchukue wa Malawi.
Mimi kuna rafiki yangu ameniletea kutoka kwao MalawiMalawi utaratibu ukoje?
Ooooh sawaMimi kuna rafiki yangu ameniletea kutoka kwao Malawi
Kwani wao wakoje???Mimi kuna rafiki yangu ameniletea kutoka kwao Malawi
Waaminifu, wanafanya kazi vizuri hakuna kitu utamwambia akafanya tofauti, kingine wachangamfu na wana heshima sana sana.Kwani wao wakoje???
Hujakosea kabisa, yupo mmoja kwa Mama mwaka sasa hatujasikia kelele, nawakubali na kimombo chao.Waaminifu,wanafanya kazi vizuri hakuna kitu utamwambia akafanya tofauti kingine wachangamfu na wanaheshima sana sana.
Yaani wanajua nini maana ya kazi kwa kweli wanajua.Hujakosea kabisa, yupo mmoja kwa Mama mwaka sasa hatujasikia kelele, nawakubali na kimombo chao.
Kiruu ngoja nikaoe hukoYaani wanajua nini maan ya kazi kwa kweli wanajua.
Watoto wenu wawe mahousigeliWe ujasema unatakaje
Malawi utaratibu ukoje?