Dar Es salaam: Umebadili umiliki wa chombo chako cha moto?

Dar Es salaam: Umebadili umiliki wa chombo chako cha moto?

View attachment 3200864
Mambo muhimu ya kuzingatia wakati wa kubadilisha umiliki wa chombo cha moto
1: Kadi ya usajili wa chombo cha moto iliyosainiwa na muuzaji na mnunuzi
2: Mkataba wa kisheria wa mauziano na risiti ya efd toka kwa mwanasheria aliyepitia mkataba huo
3:TIN ya mnunuzi
4: Kiapo cha umiliki
5: Picha ndogo 2 za mnunuzi na muuzaji
6: Barua ya maombi ya kubadili umiliki
7: Kopi ya kitambulisho cha muuzaji
Masharti makali sana TRA...huku vijijini hatujui EFD wala wakili huku mambo yote yanaishia kwa mjumbe na mwenyekiti yakiwa magumu yanamalizwa kwa Raisi wa mtaa ndugu mtendaji.
 
View attachment 3200864
Mambo muhimu ya kuzingatia wakati wa kubadilisha umiliki wa chombo cha moto
1: Kadi ya usajili wa chombo cha moto iliyosainiwa na muuzaji na mnunuzi
2: Mkataba wa kisheria wa mauziano na risiti ya efd toka kwa mwanasheria aliyepitia mkataba huo
3:TIN ya mnunuzi
4: Kiapo cha umiliki
5: Picha ndogo 2 za mnunuzi na muuzaji
6: Barua ya maombi ya kubadili umiliki
7: Kopi ya kitambulisho cha muuzaji
KUNA WATU WANAULIZA KUHUSU KODI NA HUDUMA ZENU KUTOKUWA RAFIKI.

ULE UZI HAMJIBU,MNAJIFANYA HAMJAONA,NAWEKA LINK HAPA.

 
View attachment 3200864
Mambo muhimu ya kuzingatia wakati wa kubadilisha umiliki wa chombo cha moto
1: Kadi ya usajili wa chombo cha moto iliyosainiwa na muuzaji na mnunuzi
2: Mkataba wa kisheria wa mauziano na risiti ya efd toka kwa mwanasheria aliyepitia mkataba huo
3:TIN ya mnunuzi
4: Kiapo cha umiliki
5: Picha ndogo 2 za mnunuzi na muuzaji
6: Barua ya maombi ya kubadili umiliki
7: Kopi ya kitambulisho cha muuzaji
Ikiwa mmiliki ameshatungulia mbele za haki hapa inakuwaje
 
View attachment 3200864
Mambo muhimu ya kuzingatia wakati wa kubadilisha umiliki wa chombo cha moto
1: Kadi ya usajili wa chombo cha moto iliyosainiwa na muuzaji na mnunuzi
2: Mkataba wa kisheria wa mauziano na risiti ya efd toka kwa mwanasheria aliyepitia mkataba huo
3:TIN ya mnunuzi
4: Kiapo cha umiliki
5: Picha ndogo 2 za mnunuzi na muuzaji
6: Barua ya maombi ya kubadili umiliki
7: Kopi ya kitambulisho cha muuzaji
Ni mlolongo, vitu kama barua, kiapo cha umiliki, makadirio ya kodi, ni unnecessary
 
View attachment 3200864
Mambo muhimu ya kuzingatia wakati wa kubadilisha umiliki wa chombo cha moto
1: Kadi ya usajili wa chombo cha moto iliyosainiwa na muuzaji na mnunuzi
2: Mkataba wa kisheria wa mauziano na risiti ya efd toka kwa mwanasheria aliyepitia mkataba huo
3:TIN ya mnunuzi
4: Kiapo cha umiliki
5: Picha ndogo 2 za mnunuzi na muuzaji
6: Barua ya maombi ya kubadili umiliki
7: Kopi ya kitambulisho cha muuzaji
Mnarudisha kodi ya gari?
 
Tanzania nadhani toka tumeambowa magari ni chombo ya starehe kila kukicha habari ndio hizo hizo hao TRA huku wao wakiwa kwenye Prado 150 wakiwasumbua raia wenye vipasso..
 
Mfumo huo mpya unaoanza Jan 20, Hauna muda wa kutosha kuelimisha Watanzania.

Kuondoa mfumo wa zamani Kwa haraka ni kunipotezea Serikali mapato na kumsumbua raia,

Muhimu muda uongezwe,

Mwaka huu mzima watu waoewe muda kuhakikisha magari yanabadilishwa Kwa mfumo wa zamani zikitumika ofisi za TRA kama sasa.

Jan 2026 mfumo mpya ndipo uanze rasmi.

Kufunga mfumo wa zamani ghafula ni kuleta taharuki. Halafu January hii, tuache kupeleka watoto shule Eti tubadili magari.

Ni hayo tu.
 
Mfumo huo mpya unaoanza Jan 20, Hauna muda wa kutosha kuelimisha Watanzania.

Kuondoa mfumo wa zamani Kwa haraka ni kunipotezea Serikali mapato na kumsumbua raia,

Muhimu muda uongezwe,

Mwaka huu mzima watu waoewe muda kuhakikisha magari yanabadilishwa Kwa mfumo wa zamani zikitumika ofisi za TRA kama sasa.

Jan 2026 mfumo mpya ndipo uanze rasmi.

Kufunga mfumo wa zamani ghafula ni kuleta taharuki. Halafu January hii, tuache kupeleka watoto shule Eti tubadili magari.

Ni hayo tu.
Hili swala lao inaonekana kikao kilikaliwa na watu wachache waliolewa pesa na madaraka kisha kuamua hili jambo ili mradi tu nao labda waonekane wamefanya kazi 😂😂
 
View attachment 3200864
Mambo muhimu ya kuzingatia wakati wa kubadilisha umiliki wa chombo cha moto
1: Kadi ya usajili wa chombo cha moto iliyosainiwa na muuzaji na mnunuzi
2: Mkataba wa kisheria wa mauziano na risiti ya efd toka kwa mwanasheria aliyepitia mkataba huo
3:TIN ya mnunuzi
4: Kiapo cha umiliki
5: Picha ndogo 2 za mnunuzi na muuzaji
6: Barua ya maombi ya kubadili umiliki
7: Kopi ya kitambulisho cha muuzaji
Rahisisheni mambo, najua mnataka mpate mapato tu
 
Hivi Hasara za kutobadilisha jina ni zipi? Mwenye gari anaweza kuja kulidai au?
 
View attachment 3200864
Mambo muhimu ya kuzingatia wakati wa kubadilisha umiliki wa chombo cha moto
1: Kadi ya usajili wa chombo cha moto iliyosainiwa na muuzaji na mnunuzi
2: Mkataba wa kisheria wa mauziano na risiti ya efd toka kwa mwanasheria aliyepitia mkataba huo
3:TIN ya mnunuzi
4: Kiapo cha umiliki
5: Picha ndogo 2 za mnunuzi na muuzaji
6: Barua ya maombi ya kubadili umiliki
7: Kopi ya kitambulisho cha muuzaji
TRA badala ya kurahisisha mambo, ndiyo mna complicate! masharti yote hayo ya nini? Au roho inawauma sana mkiona watanzania wanamiliki magari.

Na kama nime zawadiwa gari process yake ni nini?
 
Back
Top Bottom