Faana
JF-Expert Member
- Dec 12, 2011
- 38,657
- 44,759
Swali maridhawaKAMA TUMEPEANA BURE JE?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Swali maridhawaKAMA TUMEPEANA BURE JE?
Mambo muhimu ya kuzingatia wakati wa kubadilisha umiliki wa chombo cha moto
1: Kadi ya usajili wa chombo cha moto iliyosainiwa na muuzaji na mnunuzi
2: Mkataba wa kisheria wa mauziano na risiti ya efd toka kwa mwanasheria aliyepitia mkataba huo
3:TIN ya mnunuzi
4: Kiapo cha umiliki
5: Picha ndogo 2 za mnunuzi na muuzaji
6: Barua ya maombi ya kubadili umiliki
7: Kopi ya kitambulisho cha muuzaji
Kiapo ni Cha Marehemu au Mnunuzihii huwa wanashauri cheti cha kifo na kiapo cha mahakama pamoja na mkataba wa mauziano na kadi ya chombo hicho.
Hata kama umempa free,bado kwenye mkataba wako wa kisheria utasema ni zawadi na si mauziano!!Wao wanawaza kuuziana tu. What if nimempa mtu gari FREE
Watu wanawekewa ulinzi mzuri kwenye vyombo vyao vya moto bado wanaleta ujuwaji, ngoja siku matapeli wakipita nacho na kwenda kukibadilisha jina, ndiyo atakumbuka kumbe sheria za TRA zilikua sahihi!!hii huwa wanashauri cheti cha kifo na kiapo cha mahakama pamoja na mkataba wa mauziano na kadi ya chombo hicho.