Dar Es salaam: Umebadili umiliki wa chombo chako cha moto?



Sisi wa mikoa mingine lini
 
hii huwa wanashauri cheti cha kifo na kiapo cha mahakama pamoja na mkataba wa mauziano na kadi ya chombo hicho.
Watu wanawekewa ulinzi mzuri kwenye vyombo vyao vya moto bado wanaleta ujuwaji, ngoja siku matapeli wakipita nacho na kwenda kukibadilisha jina, ndiyo atakumbuka kumbe sheria za TRA zilikua sahihi!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…