LGE2024 Dar es Salaam: Vyama 14 vya Siasa vyadai kuridhishwa na matokeo ya Uchaguzi

LGE2024 Dar es Salaam: Vyama 14 vya Siasa vyadai kuridhishwa na matokeo ya Uchaguzi

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

Suley2019

JF-Expert Member
Joined
Oct 7, 2019
Posts
2,203
Reaction score
5,610
VYAMA 14 vya siasa vimesema Uchaguzi wa Serikali za Mitaa uliofanyika jana ulikuwa huru na haki.

Aidha vyama hivyo vimeipongeza serikali chini ya Rais Dk.Samia Suluhu Hassan, kwa maandalizi mazuri tangu mwanzo wa kupata wagombea, kampeni na upigaji kura.

Vyama hivyo vimetoa tamko hilo mapema leo Dar es Salaam, vilipokuwa vikitoa tathimini ya uchaguzi uliofanyika Novemba 27 mwaka huu.

Mwenyekiti wa Tanzania Labour Party (TLP) Wilaya ya Kinondoni, Bakari Makame, amesema vyama hivyo vimeridhishwa na mwenendo mzima wa uchaguzi huo na matokeo yaliyotangazwa.

"Uchaguzi uliofanyika ulikuwa wa amani, huru na kulikiwa hakuna vurugu. Kwa upande wa Wilaya ya Kinondoni uchaguzi ulikuwa mfano kwa wilaya zote," amesema Makame.

PIA SOMA
- LGE2024 - Tamko la Vyama nane vya siasa rafiki kwa CCM | vyaishambulia CHADEMA
 
VYAMA 14 vya siasa vimesema Uchaguzi wa Serikali za Mitaa uliofanyika jana ulikuwa huru na haki.

Aidha vyama hivyo vimeipongeza serikali chini ya Rais Dk.Samia Suluhu Hassan, kwa maandalizi mazuri tangu mwanzo wa kupata wagombea, kampeni na upigaji kura.

Vyama hivyo vimetoa tamko hilo mapema leo Dar es Salaam, vilipokuwa vikitoa tathimini ya uchaguzi uliofanyika Novemba 27 mwaka huu.

Mwenyekiti wa Tanzania Labour Party (TLP) Wilaya ya Kinondoni, Bakari Makame, amesema vyama hivyo vimeridhishwa na mwenendo mzima wa uchaguzi huo na matokeo yaliyotangazwa.

"Uchaguzi uliofanyika ulikuwa wa amani, huru na kulikiwa hakuna vurugu. Kwa upande wa Wilaya ya Kinondoni uchaguzi ulikuwa mfano kwa wilaya zote," amesema Makame.

PIA SOMA
- LGE2024 - Tamko la Vyama nane vya siasa rafiki kwa CCM | vyaishambulia CHADEMA
Watoto wanampetipeti Mama yao. Sawa bahasha zenu zipo tayari.
 
VYAMA 14 vya siasa vimesema Uchaguzi wa Serikali za Mitaa uliofanyika jana ulikuwa huru na haki.

Aidha vyama hivyo vimeipongeza serikali chini ya Rais Dk.Samia Suluhu Hassan, kwa maandalizi mazuri tangu mwanzo wa kupata wagombea, kampeni na upigaji kura.

Vyama hivyo vimetoa tamko hilo mapema leo Dar es Salaam, vilipokuwa vikitoa tathimini ya uchaguzi uliofanyika Novemba 27 mwaka huu.

Mwenyekiti wa Tanzania Labour Party (TLP) Wilaya ya Kinondoni, Bakari Makame, amesema vyama hivyo vimeridhishwa na mwenendo mzima wa uchaguzi huo na matokeo yaliyotangazwa.

"Uchaguzi uliofanyika ulikuwa wa amani, huru na kulikiwa hakuna vurugu. Kwa upande wa Wilaya ya Kinondoni uchaguzi ulikuwa mfano kwa wilaya zote," amesema Makame.

PIA SOMA
- LGE2024 - Tamko la Vyama nane vya siasa rafiki kwa CCM | vyaishambulia CHADEMA

Mkurugenzi wa Zenga kadai kuna vyama rafiki .... Hivyo ndivyo Vyama Rafiki kwa CCM.
 
kwa matamko kama haya ndipo ubaya wa demokrasia unaonekana, hivi vyama toka mwanzo vimejipambanua ni vyama washirika wa ccm. matamko yao ni sawa na "related parties transactions in business".
 
Hivyo ni vyama vya kinafiki, si vya kisiasa vya upinzani. Havijulikani kwa wapiga kura vinafanya nini. Kazi ya vyama hivyo ni kuisindikiza CCM kushinda, vyama vya upinzani ni dhahiri vinajulikana, ndio hivyo vilivyoona dosari kwa uchaguzi huu.
 
Kwa kauli iyo kutoka ktk vyama 14 vya siasa vinatosha kuwaaminisha mabeberu kuwa uchaguzi ulikua wa huru na haki 🤣🤣🤣
 
Kuna wakati iss kuchinja watu kama kuku inakuwa ni halali kwa wasaliti kama hawa.
 
VYAMA 14 vya siasa vimesema Uchaguzi wa Serikali za Mitaa uliofanyika jana ulikuwa huru na haki.

Aidha vyama hivyo vimeipongeza serikali chini ya Rais Dk.Samia Suluhu Hassan, kwa maandalizi mazuri tangu mwanzo wa kupata wagombea, kampeni na upigaji kura.

Vyama hivyo vimetoa tamko hilo mapema leo Dar es Salaam, vilipokuwa vikitoa tathimini ya uchaguzi uliofanyika Novemba 27 mwaka huu.

Mwenyekiti wa Tanzania Labour Party (TLP) Wilaya ya Kinondoni, Bakari Makame, amesema vyama hivyo vimeridhishwa na mwenendo mzima wa uchaguzi huo na matokeo yaliyotangazwa.

"Uchaguzi uliofanyika ulikuwa wa amani, huru na kulikiwa hakuna vurugu. Kwa upande wa Wilaya ya Kinondoni uchaguzi ulikuwa mfano kwa wilaya zote," amesema Makame.

PIA SOMA
- LGE2024 - Tamko la Vyama nane vya siasa rafiki kwa CCM | vyaishambulia CHADEMA
Vyama vya kishoga hivyo
 
Back
Top Bottom