Suley2019
JF-Expert Member
- Oct 7, 2019
- 2,203
- 5,610
VYAMA 14 vya siasa vimesema Uchaguzi wa Serikali za Mitaa uliofanyika jana ulikuwa huru na haki.
Aidha vyama hivyo vimeipongeza serikali chini ya Rais Dk.Samia Suluhu Hassan, kwa maandalizi mazuri tangu mwanzo wa kupata wagombea, kampeni na upigaji kura.
Vyama hivyo vimetoa tamko hilo mapema leo Dar es Salaam, vilipokuwa vikitoa tathimini ya uchaguzi uliofanyika Novemba 27 mwaka huu.
Mwenyekiti wa Tanzania Labour Party (TLP) Wilaya ya Kinondoni, Bakari Makame, amesema vyama hivyo vimeridhishwa na mwenendo mzima wa uchaguzi huo na matokeo yaliyotangazwa.
"Uchaguzi uliofanyika ulikuwa wa amani, huru na kulikiwa hakuna vurugu. Kwa upande wa Wilaya ya Kinondoni uchaguzi ulikuwa mfano kwa wilaya zote," amesema Makame.
PIA SOMA
- LGE2024 - Tamko la Vyama nane vya siasa rafiki kwa CCM | vyaishambulia CHADEMA
Aidha vyama hivyo vimeipongeza serikali chini ya Rais Dk.Samia Suluhu Hassan, kwa maandalizi mazuri tangu mwanzo wa kupata wagombea, kampeni na upigaji kura.
Vyama hivyo vimetoa tamko hilo mapema leo Dar es Salaam, vilipokuwa vikitoa tathimini ya uchaguzi uliofanyika Novemba 27 mwaka huu.
Mwenyekiti wa Tanzania Labour Party (TLP) Wilaya ya Kinondoni, Bakari Makame, amesema vyama hivyo vimeridhishwa na mwenendo mzima wa uchaguzi huo na matokeo yaliyotangazwa.
"Uchaguzi uliofanyika ulikuwa wa amani, huru na kulikiwa hakuna vurugu. Kwa upande wa Wilaya ya Kinondoni uchaguzi ulikuwa mfano kwa wilaya zote," amesema Makame.
PIA SOMA
- LGE2024 - Tamko la Vyama nane vya siasa rafiki kwa CCM | vyaishambulia CHADEMA