Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kabisa !Hii Nchi ngumu sana Mkuu
Bora chama cha CHAUMA kuliko hivyo vyama 14 vya mchongo
Nchi hii ina TISS Wajinga sana. Hivi unajua haya yote wana yaandaa wao???VYAMA 14 vya siasa vimesema Uchaguzi wa Serikali za Mitaa uliofanyika jana ulikuwa huru na haki.
Aidha vyama hivyo vimeipongeza serikali chini ya Rais Dk.Samia Suluhu Hassan, kwa maandalizi mazuri tangu mwanzo wa kupata wagombea, kampeni na upigaji kura.
Vyama hivyo vimetoa tamko hilo mapema leo Dar es Salaam, vilipokuwa vikitoa tathimini ya uchaguzi uliofanyika Novemba 27 mwaka huu.
Mwenyekiti wa Tanzania Labour Party (TLP) Wilaya ya Kinondoni, Bakari Makame, amesema vyama hivyo vimeridhishwa na mwenendo mzima wa uchaguzi huo na matokeo yaliyotangazwa.
"Uchaguzi uliofanyika ulikuwa wa amani, huru na kulikiwa hakuna vurugu. Kwa upande wa Wilaya ya Kinondoni uchaguzi ulikuwa mfano kwa wilaya zote," amesema Makame.
PIA SOMA
- LGE2024 - Tamko la Vyama nane vya siasa rafiki kwa CCM | vyaishambulia CHADEMA
Haya yalikuwepo hata enzi za ukoloni (divide them n rule)Hivyo ni vyama vya kinafiki, si vya kisiasa vya upinzani. Havijulikani kwa wapiga kura vinafanya nini. Kazi ya vyama hivyo ni kuisindikiza CCM kushinda, vyama vya upinzani ni dhahiri vinajulikana, ndio hivyo vilivyoona dosari kwa uchaguzi huu.