Hahaha halafu tamko wameandikiwa na ccm.Tena watapewa na airtime za kutosha TBC.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahaha halafu tamko wameandikiwa na ccm.Tena watapewa na airtime za kutosha TBC.
Usiseme vyama vya siasa, sema, vyama chawa wa CCM 14 vimepongeza uchaguzi ulivyofanyika.VYAMA 14 vya siasa vimesema Uchaguzi wa Serikali za Mitaa uliofanyika jana ulikuwa huru na haki.
Aidha vyama hivyo vimeipongeza serikali chini ya Rais Dk.Samia Suluhu Hassan, kwa maandalizi mazuri tangu mwanzo wa kupata wagombea, kampeni na upigaji kura.
Vyama hivyo vimetoa tamko hilo mapema leo Dar es Salaam, vilipokuwa vikitoa tathimini ya uchaguzi uliofanyika Novemba 27 mwaka huu.
Mwenyekiti wa Tanzania Labour Party (TLP) Wilaya ya Kinondoni, Bakari Makame, amesema vyama hivyo vimeridhishwa na mwenendo mzima wa uchaguzi huo na matokeo yaliyotangazwa.
"Uchaguzi uliofanyika ulikuwa wa amani, huru na kulikiwa hakuna vurugu. Kwa upande wa Wilaya ya Kinondoni uchaguzi ulikuwa mfano kwa wilaya zote," amesema Makame.
PIA SOMA
- LGE2024 - Tamko la Vyama nane vya siasa rafiki kwa CCM | vyaishambulia CHADEMA
Vyama 14 vya kihuniVYAMA 14 vya siasa vimesema Uchaguzi wa Serikali za Mitaa uliofanyika jana ulikuwa huru na haki.
Aidha vyama hivyo vimeipongeza serikali chini ya Rais Dk.Samia Suluhu Hassan, kwa maandalizi mazuri tangu mwanzo wa kupata wagombea, kampeni na upigaji kura.
Vyama hivyo vimetoa tamko hilo mapema leo Dar es Salaam, vilipokuwa vikitoa tathimini ya uchaguzi uliofanyika Novemba 27 mwaka huu.
Mwenyekiti wa Tanzania Labour Party (TLP) Wilaya ya Kinondoni, Bakari Makame, amesema vyama hivyo vimeridhishwa na mwenendo mzima wa uchaguzi huo na matokeo yaliyotangazwa.
"Uchaguzi uliofanyika ulikuwa wa amani, huru na kulikiwa hakuna vurugu. Kwa upande wa Wilaya ya Kinondoni uchaguzi ulikuwa mfano kwa wilaya zote," amesema Makame.
PIA SOMA
- LGE2024 - Tamko la Vyama nane vya siasa rafiki kwa CCM | vyaishambulia CHADEMA
Nchi imejaa upuuzi na wapuuziVYAMA 14 vya siasa vimesema Uchaguzi wa Serikali za Mitaa uliofanyika jana ulikuwa huru na haki.
Aidha vyama hivyo vimeipongeza serikali chini ya Rais Dk.Samia Suluhu Hassan, kwa maandalizi mazuri tangu mwanzo wa kupata wagombea, kampeni na upigaji kura.
Vyama hivyo vimetoa tamko hilo mapema leo Dar es Salaam, vilipokuwa vikitoa tathimini ya uchaguzi uliofanyika Novemba 27 mwaka huu.
Mwenyekiti wa Tanzania Labour Party (TLP) Wilaya ya Kinondoni, Bakari Makame, amesema vyama hivyo vimeridhishwa na mwenendo mzima wa uchaguzi huo na matokeo yaliyotangazwa.
"Uchaguzi uliofanyika ulikuwa wa amani, huru na kulikiwa hakuna vurugu. Kwa upande wa Wilaya ya Kinondoni uchaguzi ulikuwa mfano kwa wilaya zote," amesema Makame.
PIA SOMA
- LGE2024 - Tamko la Vyama nane vya siasa rafiki kwa CCM | vyaishambulia CHADEMA
Vinaitwa pets party. Huwa vinaanzishwa na systemVYAMA 14 vya siasa vimesema Uchaguzi wa Serikali za Mitaa uliofanyika jana ulikuwa huru na haki.
Aidha vyama hivyo vimeipongeza serikali chini ya Rais Dk.Samia Suluhu Hassan, kwa maandalizi mazuri tangu mwanzo wa kupata wagombea, kampeni na upigaji kura.
Vyama hivyo vimetoa tamko hilo mapema leo Dar es Salaam, vilipokuwa vikitoa tathimini ya uchaguzi uliofanyika Novemba 27 mwaka huu.
Mwenyekiti wa Tanzania Labour Party (TLP) Wilaya ya Kinondoni, Bakari Makame, amesema vyama hivyo vimeridhishwa na mwenendo mzima wa uchaguzi huo na matokeo yaliyotangazwa.
"Uchaguzi uliofanyika ulikuwa wa amani, huru na kulikiwa hakuna vurugu. Kwa upande wa Wilaya ya Kinondoni uchaguzi ulikuwa mfano kwa wilaya zote," amesema Makame.
PIA SOMA
- LGE2024 - Tamko la Vyama nane vya siasa rafiki kwa CCM | vyaishambulia CHADEMA
Nimeona comments nyingi sehemu mbali mbali watu wakilaumu vyama kushiriki uchaguzi bila katiba mpya,VYAMA 14 vya siasa vimesema Uchaguzi wa Serikali za Mitaa uliofanyika jana ulikuwa huru na haki.
Aidha vyama hivyo vimeipongeza serikali chini ya Rais Dk.Samia Suluhu Hassan, kwa maandalizi mazuri tangu mwanzo wa kupata wagombea, kampeni na upigaji kura.
Vyama hivyo vimetoa tamko hilo mapema leo Dar es Salaam, vilipokuwa vikitoa tathimini ya uchaguzi uliofanyika Novemba 27 mwaka huu.
Mwenyekiti wa Tanzania Labour Party (TLP) Wilaya ya Kinondoni, Bakari Makame, amesema vyama hivyo vimeridhishwa na mwenendo mzima wa uchaguzi huo na matokeo yaliyotangazwa.
"Uchaguzi uliofanyika ulikuwa wa amani, huru na kulikiwa hakuna vurugu. Kwa upande wa Wilaya ya Kinondoni uchaguzi ulikuwa mfano kwa wilaya zote," amesema Makame.
PIA SOMA
- LGE2024 - Tamko la Vyama nane vya siasa rafiki kwa CCM | vyaishambulia CHADEMA
Kwani Mabeberu wanachokitaka ni Haki ??!Kwa kauli iyo kutoka ktk vyama 14 vya siasa vinatosha kuwaaminisha mabeberu kuwa uchaguzi ulikua wa huru na haki 🤣🤣🤣
Hivi vyama vipo nchi gani? Hatuvijui, ni CCM imewapata wenye njaa na kuwapa pesa ili wakae pale waonge pumba zao. Hivi vyama vimeanzishwa na CCM.Usiseme vyama vya siasa, sema, vyama chawa wa CCM 14 vimepongeza uchaguzi ulivyofanyika.
Ili mkono uende kinywani Mkuu 😳🙄😅🙌👍Vipi wao walisimamisha Wagombea wangapi kwa pamoja??
Siasa za hii Nchi ni ngumu kuliko tunavyodhani
Matawi ya ccmVYAMA 14 vya siasa vimesema Uchaguzi wa Serikali za Mitaa uliofanyika jana ulikuwa huru na haki.
Aidha vyama hivyo vimeipongeza serikali chini ya Rais Dk.Samia Suluhu Hassan, kwa maandalizi mazuri tangu mwanzo wa kupata wagombea, kampeni na upigaji kura.
Vyama hivyo vimetoa tamko hilo mapema leo Dar es Salaam, vilipokuwa vikitoa tathimini ya uchaguzi uliofanyika Novemba 27 mwaka huu.
Mwenyekiti wa Tanzania Labour Party (TLP) Wilaya ya Kinondoni, Bakari Makame, amesema vyama hivyo vimeridhishwa na mwenendo mzima wa uchaguzi huo na matokeo yaliyotangazwa.
"Uchaguzi uliofanyika ulikuwa wa amani, huru na kulikiwa hakuna vurugu. Kwa upande wa Wilaya ya Kinondoni uchaguzi ulikuwa mfano kwa wilaya zote," amesema Makame.
PIA SOMA
- LGE2024 - Tamko la Vyama nane vya siasa rafiki kwa CCM | vyaishambulia CHADEMA
Hii Nchi ngumu sana MkuuIli mkono uende kinywani Mkuu 😳🙄😅🙌👍
Zipo tayari au tayari wameshapata. Ila ndiyo Demokrasia yetu Afrika upipokuwa mtemi upati uongozi.Watoto wanampetipeti Mama yao. Sawa bahasha zenu zipo tayari.