LGE2024 Dar es Salaam: Vyama 14 vya Siasa vyadai kuridhishwa na matokeo ya Uchaguzi

LGE2024 Dar es Salaam: Vyama 14 vya Siasa vyadai kuridhishwa na matokeo ya Uchaguzi

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
VYAMA 14 vya siasa vimesema Uchaguzi wa Serikali za Mitaa uliofanyika jana ulikuwa huru na haki.

Aidha vyama hivyo vimeipongeza serikali chini ya Rais Dk.Samia Suluhu Hassan, kwa maandalizi mazuri tangu mwanzo wa kupata wagombea, kampeni na upigaji kura.

Vyama hivyo vimetoa tamko hilo mapema leo Dar es Salaam, vilipokuwa vikitoa tathimini ya uchaguzi uliofanyika Novemba 27 mwaka huu.

Mwenyekiti wa Tanzania Labour Party (TLP) Wilaya ya Kinondoni, Bakari Makame, amesema vyama hivyo vimeridhishwa na mwenendo mzima wa uchaguzi huo na matokeo yaliyotangazwa.

"Uchaguzi uliofanyika ulikuwa wa amani, huru na kulikiwa hakuna vurugu. Kwa upande wa Wilaya ya Kinondoni uchaguzi ulikuwa mfano kwa wilaya zote," amesema Makame.

PIA SOMA
- LGE2024 - Tamko la Vyama nane vya siasa rafiki kwa CCM | vyaishambulia CHADEMA
Usiseme vyama vya siasa, sema, vyama chawa wa CCM 14 vimepongeza uchaguzi ulivyofanyika.
 
VYAMA 14 vya siasa vimesema Uchaguzi wa Serikali za Mitaa uliofanyika jana ulikuwa huru na haki.

Aidha vyama hivyo vimeipongeza serikali chini ya Rais Dk.Samia Suluhu Hassan, kwa maandalizi mazuri tangu mwanzo wa kupata wagombea, kampeni na upigaji kura.

Vyama hivyo vimetoa tamko hilo mapema leo Dar es Salaam, vilipokuwa vikitoa tathimini ya uchaguzi uliofanyika Novemba 27 mwaka huu.

Mwenyekiti wa Tanzania Labour Party (TLP) Wilaya ya Kinondoni, Bakari Makame, amesema vyama hivyo vimeridhishwa na mwenendo mzima wa uchaguzi huo na matokeo yaliyotangazwa.

"Uchaguzi uliofanyika ulikuwa wa amani, huru na kulikiwa hakuna vurugu. Kwa upande wa Wilaya ya Kinondoni uchaguzi ulikuwa mfano kwa wilaya zote," amesema Makame.

PIA SOMA
- LGE2024 - Tamko la Vyama nane vya siasa rafiki kwa CCM | vyaishambulia CHADEMA
Vyama 14 vya kihuni
 
Vyama vya mikobani hivyo, vipo kwa ajili ya kusifia michezo michafu ya ccm
 
VYAMA 14 vya siasa vimesema Uchaguzi wa Serikali za Mitaa uliofanyika jana ulikuwa huru na haki.

Aidha vyama hivyo vimeipongeza serikali chini ya Rais Dk.Samia Suluhu Hassan, kwa maandalizi mazuri tangu mwanzo wa kupata wagombea, kampeni na upigaji kura.

Vyama hivyo vimetoa tamko hilo mapema leo Dar es Salaam, vilipokuwa vikitoa tathimini ya uchaguzi uliofanyika Novemba 27 mwaka huu.

Mwenyekiti wa Tanzania Labour Party (TLP) Wilaya ya Kinondoni, Bakari Makame, amesema vyama hivyo vimeridhishwa na mwenendo mzima wa uchaguzi huo na matokeo yaliyotangazwa.

"Uchaguzi uliofanyika ulikuwa wa amani, huru na kulikiwa hakuna vurugu. Kwa upande wa Wilaya ya Kinondoni uchaguzi ulikuwa mfano kwa wilaya zote," amesema Makame.

PIA SOMA
- LGE2024 - Tamko la Vyama nane vya siasa rafiki kwa CCM | vyaishambulia CHADEMA
Nchi imejaa upuuzi na wapuuzi

Ccm na mwenyekiti wao ni wapuuzi tu
 
VYAMA 14 vya siasa vimesema Uchaguzi wa Serikali za Mitaa uliofanyika jana ulikuwa huru na haki.

Aidha vyama hivyo vimeipongeza serikali chini ya Rais Dk.Samia Suluhu Hassan, kwa maandalizi mazuri tangu mwanzo wa kupata wagombea, kampeni na upigaji kura.

Vyama hivyo vimetoa tamko hilo mapema leo Dar es Salaam, vilipokuwa vikitoa tathimini ya uchaguzi uliofanyika Novemba 27 mwaka huu.

Mwenyekiti wa Tanzania Labour Party (TLP) Wilaya ya Kinondoni, Bakari Makame, amesema vyama hivyo vimeridhishwa na mwenendo mzima wa uchaguzi huo na matokeo yaliyotangazwa.

"Uchaguzi uliofanyika ulikuwa wa amani, huru na kulikiwa hakuna vurugu. Kwa upande wa Wilaya ya Kinondoni uchaguzi ulikuwa mfano kwa wilaya zote," amesema Makame.

PIA SOMA
- LGE2024 - Tamko la Vyama nane vya siasa rafiki kwa CCM | vyaishambulia CHADEMA
Vinaitwa pets party. Huwa vinaanzishwa na system
 
VYAMA 14 vya siasa vimesema Uchaguzi wa Serikali za Mitaa uliofanyika jana ulikuwa huru na haki.

Aidha vyama hivyo vimeipongeza serikali chini ya Rais Dk.Samia Suluhu Hassan, kwa maandalizi mazuri tangu mwanzo wa kupata wagombea, kampeni na upigaji kura.

Vyama hivyo vimetoa tamko hilo mapema leo Dar es Salaam, vilipokuwa vikitoa tathimini ya uchaguzi uliofanyika Novemba 27 mwaka huu.

Mwenyekiti wa Tanzania Labour Party (TLP) Wilaya ya Kinondoni, Bakari Makame, amesema vyama hivyo vimeridhishwa na mwenendo mzima wa uchaguzi huo na matokeo yaliyotangazwa.

"Uchaguzi uliofanyika ulikuwa wa amani, huru na kulikiwa hakuna vurugu. Kwa upande wa Wilaya ya Kinondoni uchaguzi ulikuwa mfano kwa wilaya zote," amesema Makame.

PIA SOMA
- LGE2024 - Tamko la Vyama nane vya siasa rafiki kwa CCM | vyaishambulia CHADEMA
Nimeona comments nyingi sehemu mbali mbali watu wakilaumu vyama kushiriki uchaguzi bila katiba mpya,
walishauri vyama hivyo ambavyo ni makini vingesusia uchaguzi hadi pale serikali itakapokubali
kuwa na tume huru ya uchaguzi.

Kwa Tamko hili la vyama ni majibu tosha kwa swali la hapo juu, Ingetokea CDM,ACT na CUF wakafanya hivyo
muda huu tungekuwa na waganga njaa kibao kutoka vyama hivi 14, ambao wangeshinda kimagumashi
ili kuonyesha kuwa demokrasia inafuata mkondo hapa nchini.Na hali ingekuwa mbaya zaidi

Kwa maoni yangu ni kwamba,msajili wa vyama vya siasa,angefuta vyama vyote
ambavyo hujitokeza wakati wa uchaguzi tuu,baada ya hapo huwezi kuwasikia popote,wakifanya chochote
hata kuipongeza serikali kwa kazi nzuri basi iliyofanyika,Huwasikii kabisa hadi uchaguzi utangazwe.
Hawa wangefutwa kabisa,labda tungeweza kupunguziwa mzigo wa kodi kwa ruzuku za bure wanazopewa kupunguzwa.
 
Kwa kauli iyo kutoka ktk vyama 14 vya siasa vinatosha kuwaaminisha mabeberu kuwa uchaguzi ulikua wa huru na haki 🤣🤣🤣
Kwani Mabeberu wanachokitaka ni Haki ??!
Wanachokitaka wao ni maslahi yao yasiguswe tu !!
Ukijichanganya ukayagusa Unanata hapo hapo 😳🙄!!

Mbona Nchi za Uarabuni hawawaambii wawe na Demokrasia ya vyama vingi. ???!
Wale wote waliotaka kuleta ujuaji leo hawapo tena !
Iko vile bandugu !
Domokasia ndio iko vile 😅😂🙌🙏👍
 
Matawi kumi na nne ya CCM yasema yameridhishwa na matokeo ya UCHAFUZI wa serikali za mitaa na vijiji.
 
VYAMA 14 vya siasa vimesema Uchaguzi wa Serikali za Mitaa uliofanyika jana ulikuwa huru na haki.

Aidha vyama hivyo vimeipongeza serikali chini ya Rais Dk.Samia Suluhu Hassan, kwa maandalizi mazuri tangu mwanzo wa kupata wagombea, kampeni na upigaji kura.

Vyama hivyo vimetoa tamko hilo mapema leo Dar es Salaam, vilipokuwa vikitoa tathimini ya uchaguzi uliofanyika Novemba 27 mwaka huu.

Mwenyekiti wa Tanzania Labour Party (TLP) Wilaya ya Kinondoni, Bakari Makame, amesema vyama hivyo vimeridhishwa na mwenendo mzima wa uchaguzi huo na matokeo yaliyotangazwa.

"Uchaguzi uliofanyika ulikuwa wa amani, huru na kulikiwa hakuna vurugu. Kwa upande wa Wilaya ya Kinondoni uchaguzi ulikuwa mfano kwa wilaya zote," amesema Makame.

PIA SOMA
- LGE2024 - Tamko la Vyama nane vya siasa rafiki kwa CCM | vyaishambulia CHADEMA
Matawi ya ccm
 
Back
Top Bottom