nyboma
JF-Expert Member
- Aug 29, 2021
- 2,308
- 7,366
Wanawake wengi wanaojiuza (wasimbe) wanajificha katika kivuli cha uanafunzi, wiki kadhaa zilizopita nilipata dharula nikawa nahitajika Dar es Salaam.
Baada ya kumaliza kazi zangu nikaamua kusogea katika moja ya migahawa mikubwa tu hapa katika wilaya ya Kinondoni na ndipo nikabahatika kukaa na binti mmoja mzuri sana kimuonekano na kiumbo.
Katika stori mbili tatu akajitambulisha ni mwanafunzi, nikasema si vibaya nikafanya kumlipia chakula chake nikachukua na namba ya simu.
Wikiendi kwa kuwa nilikuwa nipo bored nikasema si vibaya nikapata kampani moja kwa moja katika kupekua simu nikamtafuta mwanafunzi yule aje ajumuike nami na gharama zote za usafiri, chakula na vinywaji ni juu yangu.
Alivyofika alikuwa kawaka sana kiukweli, nikawa najiuliza huyu hana boom, hata kama ni pesa za nyumbani si kwa kuwaka hivi akafika akala samaki mzima na chips, nikaleta vinywaji akanywa katika story mbili tatu akaniambia ni mwanafunzi wa chuo X…
Bahati nzuri kuna mwenzagu ni Prof. Pale katika kumchombeza nikagundua hamfahamu moja kwa moja nikajua huyu si mwanafunzi bali ni wale wanawake wanaojiuza wanaojificha katika kivuli cha uanafunzi.
Kwa kuwa napenda kudunmbukiza nyama nikaona si vibaya nikaenda kumchakata kama kawaida kwa kweli nilikuta nyama ni ya kawaida sana.
Ila kwa kuwa nilikuwa na njaa nikaamua kuila sikususa, asubuhi nikamlipa chake nikarudi zangu kazini kuendelea na majukumu kama kawaida.
Hivyo tusidanganyike na hawa wanawake wanaojifanya wanafunzi wengi wao ni malaya wanaojificha katika kivuli cha uanafunzi.
Baada ya kumaliza kazi zangu nikaamua kusogea katika moja ya migahawa mikubwa tu hapa katika wilaya ya Kinondoni na ndipo nikabahatika kukaa na binti mmoja mzuri sana kimuonekano na kiumbo.
Katika stori mbili tatu akajitambulisha ni mwanafunzi, nikasema si vibaya nikafanya kumlipia chakula chake nikachukua na namba ya simu.
Wikiendi kwa kuwa nilikuwa nipo bored nikasema si vibaya nikapata kampani moja kwa moja katika kupekua simu nikamtafuta mwanafunzi yule aje ajumuike nami na gharama zote za usafiri, chakula na vinywaji ni juu yangu.
Alivyofika alikuwa kawaka sana kiukweli, nikawa najiuliza huyu hana boom, hata kama ni pesa za nyumbani si kwa kuwaka hivi akafika akala samaki mzima na chips, nikaleta vinywaji akanywa katika story mbili tatu akaniambia ni mwanafunzi wa chuo X…
Bahati nzuri kuna mwenzagu ni Prof. Pale katika kumchombeza nikagundua hamfahamu moja kwa moja nikajua huyu si mwanafunzi bali ni wale wanawake wanaojiuza wanaojificha katika kivuli cha uanafunzi.
Kwa kuwa napenda kudunmbukiza nyama nikaona si vibaya nikaenda kumchakata kama kawaida kwa kweli nilikuta nyama ni ya kawaida sana.
Ila kwa kuwa nilikuwa na njaa nikaamua kuila sikususa, asubuhi nikamlipa chake nikarudi zangu kazini kuendelea na majukumu kama kawaida.
Hivyo tusidanganyike na hawa wanawake wanaojifanya wanafunzi wengi wao ni malaya wanaojificha katika kivuli cha uanafunzi.